< Isaya 47 >

1 Njoo chini na ukae kwenye mavumbi, binti bikira wa Babeli; kaa juu ya aridhi pasipo enzi, ewe binti wa Wakaldayo. Hautaitwa tena mpenda anasa na maisha ya anasa.
Babylon nu, oila suntla lamtah laipi dongah ngol lah. Khalden nu loh ngolkhoel om kolla diklai ah ngol laeh. Nang te mongkawt neh hlangcong la koep ng'khue uh mahpawh.
2 Chukua jiwe la kusagia na usage unga; ondoa pazia lako, ondoa mavazi yako, ondoa viatu miguuni, na vuka mkondo wa maji.
Kuelhsum te lo lamtah vaidam kuelh laeh. Na samtum te poelyoe lamtah na hniboeng te khawn laeh. Na laeng hil khawn lamtah tuiva te kat lah.
3 Uchi wako utafunuliwa, ndio, na aibu yako itaonekana; Nitachukua kizazi na sitamuacha mtu,
Na yah loh n'yan vetih nang kokhahnah te a phoe ni. Phulohnah kang khuen vetih hlang te ka doo mahpawt nim?
4 Mkombozi, Yahwe wa majeshi ndilo jina lake, Mtakatifu wa Israeli.
Kaimih aka tlan tah caempuei BOEIPA, a ming tah Israel kah a cim ni.
5 Kaa kimya na nenda katika giza, ewe binti wa Wakaldoyo; maana hautaitwa tena malikia wa falme.
Khalden nu te om duem lamtah a hmuep te paan laeh. Nang te ram kah boeinu a ti te na khoep voel mahpawh.
6 Nilikuwa na hasira na watu wangu; Nimeunajisi urithi wangu na kuwakabidhi nyie katika mkono wenu, lakini hamkuomyesha huruma; umeweka nira kubwa kwa wazee.
Ka pilnam taengah ka thintoek. Kamah rho mai nang kut dongah kam paek he rho ni ka poeih. Patong soah haidamnah na khueh pawt tih na hnamkun neh mat na nan.
7 Umesema, ''Nitaongoza daima kama malikia huru.'' Haukuvichukua vitu hivi katika moyo, wala hakutafakari jinsi hivi vitu vitakavyojeuka.
“Kumhal boeinu la ka om yoeyah ni,” na ti cakhaw na lungbuei ah na khueh pawt tih a hmailong khaw na poek hae moenih.
8 Hivyo sasa sikiliza hili, Ewe upendae anasa na kukaa salama; ewe usemae katika moyo wako, 'Ninaishi, na hakuna mwingine kama mimi; Sitakaa kama mjane wala sitazoea kufiwa na watoto.
Te dongah he he hnatun laeh. Khosak aka yahuem loh ngaikhuek la a thinko khuiah, “Kai khaw kamah ah ka bawt mahpawh, nuhmai la koep ka om mahpawh, polpainah khaw ka ming voel mahpawh,” a ti.
9 ''Lakini vitu hivi vitakuja kwako siku moja katika kipindi cha siku moja; kwa nguvu za kutosha yatakuja kwako, japo uchawi wako na dua zako na hirizi.
Tedae he rhoi he mikhaptok ah ni nang taengla ha pawk eh. Khohnin pakhat dongah polpai neh hmairho loh a thincaknah neh nang soah ha pawk ni. Sungrhai neh na baetawt cakhaw, na hloih kah thaomnah te yet tangkik mai cakhaw.
10 Umeweka imani katika mapungufu yako; na kusema, ''Hakuna anayeniona mimi''; hekima na maarifa yako yanakupoteza, lakini unasema katika moyo wako, ''Nipo na hakuna hata mmoja kama mimi.''
Na boethae dongah na pangtung tih, “Kai m'hmuh moenih,” na ti. Na cueihnah neh na mingnah loh namah m'balkhong sak vaengah a na lungbuei neh, “Kamah phoeiah tah kai ka bawt pueng aya,” na ti.
11 Maafa yatakuzidi wewe; hautaweza kuyaondoa kwa dua zako mwenyewe. Uharibifu utakuwa juu yako; hautaweza kuukata. Maafa yatakuangamiza ghafla, kabla haujajua kitu.
Tedae nang soah yoethaenah ha pawk vetih nang n'toem te na ming mahpawh. Lucik loh nang n'cuhu thil vetih a dawth ham khaw coeng mahpawh. Na ming noek pawh khohli rhamrhael loh nang te buengrhuet m'paan ni.
12 Endeleni kutoa uganga wako na wachawi wengi ambao mlioaminishwa kusoma toka utotoni mwao; labda utafanikiwa, labda utayashinda maafa.
Na hloih nen khaw paa laeh. Na camoe lamkah na kohnue thil namah kah sungrhai aka hawn uh nen te na rhoeh khaming. Na hoeikhang ham na sarhing khaming.
13 Umejaribu sana kwa kushauriwa sana; waache hao watu wasimame na kukuokoa wewe- wale wanaoangalia mbingu na wanoangalia nyota, wale wanotangaza mwenzi mpya- waache wawaokoe nyie kutoka kwenye yaliyowapata.
Na cilsuep a len nen khaw na ngak coeng dongah paa laeh. Vaan aka caekboe la aka caekboe, aisi dongkah aka hmu, hlasae dongah nang taengah aka pawk ham aka ming loh nang te ng'khang saeh.
14 Tazama, watakuwa kama mabua. Moto utayachoma juu. Hayataweza kujisaidia yenyewe kutoka kwenye mkono wa moto. Hakuna makaa kuwapa joto wao na hakuna moto uliowekwa pembeni kwa ajili yao!
Divawt hmai bangla tarha om uh. Amih te a hoeh vetih a hinglu te hmaisai kut lamloh huul uh thai mahpawh. A taengah ngol ham khaw, hmaipuei phabae te hmai-alh om pawh.
15 Hivi ndio wamekuwa kwako, wale unaofanya nao kazi, na unauza na kununua na wao toka ulipo kuwa mdogo, na wale wanaendelea kufanya mambo yao ya kijinga; na unapolia kuhitaji msaada, hakuna hata mmjoa ambaye atakukomboa wewe.''
Na camoe lamkah na thimpom puei rhoek na kohnue thil hnap te khaw namah taengah ni a om uh te. Hlang loh amah khongan ah kho a hmang uh coeng tih nang aka khang a om moenih.

< Isaya 47 >