< Isaya 36 >

1 Katika mwaka wa kumi na nne wa mfalme Hezekia, Senacherebi, mfalme wa Asiria, alivamia miji yote ya Yuda na kuwakamata.
В четиринадесетата година на цар Езекия, асирийският цар Сенахирим възлезе против всичките укрепени Юдови градове и ги превзе.
2 Halafu mfalme wa Asiria akamtuma kamanda mkuu na jeshi kubwa kutoka Lachishi mpaka Yerusalemu kwa mfalme Hezekia. Alipofika kwenye mfereji katika kisima cha juu, katika njia kuu na katika shamba la dobi na akasimama pale.
И асирийският цар изпрати Рапсака от Лахис в Ерусалим с голяма войска при цар Езекия. И той застана при водопровода на горния водоем по друма към тепавичарската нива.
3 Maofisa wa Israeli waliotumwa kuzungumza nao walikuwa ni Eliakimu mtoto wa Hilkia, kiongozi wa jumba, Shebna katibu wa mfalme, na Joa mtoto wa Asapha, anayeandika makubaliano ya serekali.
Тогава излязоха при него управителя на двореца Елиаким, Хелкиевия син, и секретаря Шевна, и летописецът Иоах Асафовият син.
4 Kamanda mkuu wa jeshi akawaambia wao, ''Mwambieni Hezekia kwamba mfalme mkuu, mfalme Asiria, asema, 'Nini chanzo cha ujasiri wako?
Тогава им рече Рапсак: Кажете сега на Езекия: Така казва великият цар, асирийският цар: Каква е тая увереност, на която уповаваш?
5 Unaongea maneno yasiyo na maana tu, nasema kama kuna shauri na nguvu za vita. Sasa ni nani unayemuamini? na ni nani aliyekupa ujasiri wa kuniasi mimi.
Казвам ти, че твоето благоразумие и сила за воюване са само лицемерни думи. На кого, прочее, се надяваш та си въстанал против мене?
6 Tazama, umeweka imani yako Misri, maana banzi la mwanzi unalolitumia kama fimbo ya kutembelea, ikiwa mtu ataiegemea na kuishika kwenye mkono wake itamchoma. Hivyo ndovyo jinsi Farao mfalme wa Misri alivyo kwa yeyote anayemuamini.
Виж, ти се надяваш като че ли на тояга, на оная строшена тръстика, на Египет, на която ако се опре някой ще се забучи в ръката му та ще я промуши. Такъв е египетския цар Фараон за всички, които се надяват на него.
7 Lakini ikiwa utasema nami, ''Tunamwamini Yahwe Mungu wetu,''Je sio yeye ambaye Hezekia ameondosha mahali palipoinuka na madhebau, asema kwa Yuda na Yerusalemu, ''Lazima tuabudu mbele ya madhebau hii katika Yerusalemu''?
Но ако ми речеш: На Господ нашия Бог уповаваме, то Той не е ли Оня, Чиито високи места и жертвеници премахна Езекия, като рече на Юда и на Ерусалим: Пред тоя олтар се покланяйте?
8 Hivyo sasa, nataka kukufanya wewe kuwa zawadi nzuri kwa Bwana mfalme Asiria. Nitakupa farasi elfu mbili, kama utaweza kuwatafutia dereva.
Сега, прочее, дай човеци в залог на господаря ми асирийския цар; а аз ще ти дам две хиляди коне, ако можеш от твоя страна да поставиш на тях ездачи.
9 Ni kwa jinsi gani unaweza kumpinga moja kati ya nahodha aliye mdogo katika watumishi wa Bwana wangu? Mmeweka imani yenu Misri katika gari na farasi!
Как тогава ще отблъснеш един военачалник измежду най-ниските слуги на господаря ми? Но пак уповаваш на Египет за колесници и за конници!
10 Halafu sasa, Je nimewezaje kusafiri mpaka hapa pasipo Yahwe kupigana dhidi ya nchi hii na kuhiaribu? Yahwe asema nami, Vamia nchi hii na uhiharibu.
Без волята на Господа ли възлязох сега на това място за да го съсипя? Господ ми рече: Възлез против тая земя та я съсипи.
11 Halafu Eliakimu mtoto wa Hilkia, na Shebna na Joa asema kwa kamanda mkuu, Tafadhali zungumza na watu wako kwa lugha ya kiashuru, maana kiashuru tunakielewa. Usiongee na sisi kwa lugha kiyahudi katika masikio ya watu ambao wako ukutani.''
Тогава Елиаким, и Шевна, и Иоах рекоха на Рапсака: Говори, молим, на слугите си на сирийски, защото го разбираме; недей ни говори на юдейски, та да чуят людете, които са на стената.
12 Lakini kamanda mkuu akasema, ''Je bwana wenu ametuma kwa bwana wako na kuzungumza haya maneno? Je hajanituma kwa watu walio kaa kwenye ukuta, ili wale kinyesi chaao mwenyewe na kunywa mkojo waomwenyewe?
Но Рапсак рече: Дали ме е пратил господарят ми само при твоя господар и при тебе да говоря тия думи? Не ме ли е изпратил при мъжете, които седят на стената, за да ядат с вас заедно нечистотиите си и да пият пикочта си?
13 Halafu kamanda mkuu akasimama na kupiga kelele kwa sauti kubwa kwa lugha ya kiyahudi, na akisema,
Тогава Рапсак застана та извика на юдейски със силен глас като рече: Слушайте думите на великия цар, асирийския цар:
14 ''Mfalme asema, ' Msimruhusu Hezekia awadanganye ninyi, maana hataweza kuwaokoa ninyi.
Така казва царят: Да ви не мами Езекия. Защото той не ще може да ви избави.
15 Msimruhusu Hezekia awafanye muumuamini Yahwe, Nawambieni Hakika Yahwe atatukomboa sisi; mjii huu hautachukuliwa na mfalme wa Asiria.''
И да ви не прави Езекия да уповавате на Господа, като казва: Господ непременно ще ни избави; тоя град няма да бъде предаден в ръката на асирийския цар.
16 Msimsikilize Hezekia, maana hivi ndivyo mfalme wa Asiria anavyosema: 'Fanyeni amani na mimi na mje kwangu. Halafu kila mmoja wenu atakula kwenye mzabibu wake mwenyewe na tunda la mti wake mwenyewe, na kunjwa maji ya kisima chake mwenyewe.
Не слушайте Езекия; защото така казва асирийският цар: Направете спогодба с мене и излезте при мене; и яжте всеки от лозето си, и всеки от смокинята си, и пийте всеки от водата на щерната си,
17 Mtafanya hivi mpaka nije kuwachukua na kuwapeleka kwenye nchi kama ya kwenu. nchi ya mavuno na mvinyo mpya, nchi ya mkate na shamba.
докле дойда и ви заведа в земя подобна на вашата земя, земя изобилваща с жито и вино, земя изобилваща с хляб и лозя.
18 Msimruhusu Hezekia awapotoshe nyie, akisema, Yahwe atatuokoa nyie; Je kuna miungu ya aina yeyote ya watu iliyowakomboa kutoka mikononi mwa mfalme wa Asiria?
Внимавайте да не би ви убеждавал Езекия като казва: Господ ще ни избави. Някой от боговете на народите избавил ли е земята си от ръката на асирийския цар?
19 Wako wapi miungu wa Hamathi na Arpadi? Iko wapi miungu ya Sefarvaimu? Je wameikomboa Samaria kutoka kwenye nguvu zangu?
Где са боговете на Емат и Арфад? Где са боговете на Сефаруим? Избавиха ли те Самария от ръката ми?
20 Miongoni mwa miungu yote ya nchi hii, Je kuna miungu ya aina yeyote iliyoikomboa nchi yao kutoka kwenye nguvu yangu, ni kama Yahwe anaweza kuawokoa Yerusalemu kutoka kwenye nguvu yangu?''
Кой измежду всичките богове на тия страни са избавили земята си от моята ръка, та да избави Иеова Ерусалим от ръката ми?
21 Lakini watu wanabaki kimya na hawataki kujibu, maana amri ya mfalme ilikuwa, ''Msimjibu''.
А те мълчаха, и не му отговориха ни дума; защото царят беше заповядал, казвайки: Да му не отговаряте.
22 Halafu Eliakimu mtoto wa Hilkia, yeye aliye juu ya kaya, Shebna mwandishi, na Joa mtoto wa Asafu, na mtunza kumbukumbu, walikuja kwa Hezekia na nguo zilizotoboka na wakapeleka maneno ya kamanda mkuu.
Тогава управителят на двореца Елиаким Халкиевият син, и секретаря Шевна, и летописецът Иоах Асафовият син, дойдоха при Езекия с раздрани дрехи та му известиха Рапсаковите думи.

< Isaya 36 >