< Isaya 33 >

1 Ole wenu, waharibifu ambao hamjaharibiwa! Ole wao wasaliti ambao hamjaslitiwa! Pindi mtakapoacha uaribifu, nanyi mtaharibiwa. Pindi mtakapoacha usaliti, nayi mtasalitiwa.
Ve dig, du Hærværksmand, selv ikke hærget, du Ransmand, skaanet for Ran! Naar dit Hærværk er endt, skal du hærges, naar din Ranen har Ende, skal der ranes fra dig!
2 Yahwe, tuurumie sisi; tumekusubiri wewe; umekuwa mkono wetu kila asubuhi, na wokovu wetu katika kipindi cha mateso.
HERRE, vær os naadig, vi bier paa dig, vær du vor Arm hver Morgen, vor Frelse i Nødens Stund!
3 Watu wamekimbia kwa kusikia sauti kubwa; uliponyanyuka, mataifa yametawanyika,
For Bulderet maa Folkeslag fly; naar du rejser dig, splittes Folkene.
4 Mateka wako wamejikusanya kama mkasanyiko wa nzige; kama nzige warukavyo, watu wataruka juu yake.
Som Græshopper bortriver, bortrives Bytte, man styrter derover som Græshoppesværme.
5 Yahwe ameinuliwa. Anaishi mahali pa juu. Ataijaza Sayuni kwa haki na usawa.
Ophøjet er HERREN, thi han bor i det høje, han fylder Zion med Ret og Retfærd.
6 Atakuwa imara katika kipidi chenu, wingi wa wokovu, busara, na maarifa; hofu ya Yahwe iko katika hazina yake.
Trygge Tider skal du have, en Frelsesrigdom er Visdom og Indsigt, HERRENS Frygt er din Skat.
7 Tazama, wujumbe wanalia mtaani; wanadiplomasia wanamatumaini ya amani kwa kulia kwa uchungu.
Se, deres Helte skriger derude, Fredens Sendebud græder bittert;
8 Barabara kuu imeachwa faragha; hakuna wasafiri tena. Maagano yamevujika, mashahidi wanadharaulika, na utu wa mtu hauheshimiki.
Vejene er øde, vejfarende borte. Han brød sin Pagt, agted Byer ringe, Mennesker regned han ikke.
9 Nchi imeomboleza na kunyaukia mbali; Lebanoni inaibisha na kunyaukia mbali; Sharoni imekuwa kama jangwa wazi; Bashani na Kermeli zimepuputisha majani yake.
Landet blegner og sygner, Libanon skæmmes og visner; Saron er som en Ørken, Basan og Karmel uden Løv.
10 ''Sasa nitanyanyuka, ''asema Yahwe; '' sasa nitanyanyuliwa juu; sasa nitainuliwa.
Nu staar jeg op, siger HERREN, nu vil jeg rejse mig, nu træde frem!
11 Utashika mimba ya makapi na utazaa mabua; na punzi yako ni moto ambao utakuunguza wewe.
I undfanger Straa og føder Halm, eders Aande er Ild, der fortærer jer selv;
12 Watu watachomwa na kuwa kama chokaa, kama miiba ya porini inavyokatwa na kuchomwa.
til Kalk skal Folkene brændes som afhugget Torn, der brænder i Ild.
13 Enyi mlio mbali sana, sikiliza nilicho kifanya; na enyi mlio karibu, kirini ukuu wangu.''
Hvad jeg gør, skal rygtes til fjerne Folk, nære skal kende min Vælde.
14 Watenda zambi wa Sayuni wanogopa; tetemeko limewakuta wasio na Mungu. Ni nani miongoni mwetu anayeweza kukaa kwenye moto mkali? Na ni nani miongoni mwetu anayeweza kukaa kwenye moto wa milele?
Paa Zion skal Syndere bæve, Niddinger gribes af Skælven: »Hvem kan bo ved fortærende Ild, hvem kan bo ved evige Baal?«
15 Nyie mnaotembe katika haki na kuongea kw uaminifu; yeye anayedharau mapato ya ukandamizaji, yeye anayekataa kuchuka rushwa, ambaye hausiki kwenye kupanga vurugu za kihalifu, na ambaye haangali maovu-
Den, der vandrer i Retfærd og taler oprigtigt, ringeagter Vinding, vundet ved Uret, vægrer sig ved at tage mod Gave, tilstopper Øret over for Blodraad og lukker Øjnene over for det onde —
16 Ataiweka nyumba yake juu; sehemu yake ya ulinzi itakuwa ni ngome ya mwamba; chakula na maji yake hayataisha.
højt skal en saadan bo, hans Værn skal Klippeborge være; han faar sit Brød, og Vand er ham sikret.
17 Macho yako yatamuona mfalme katika uzuri wake; watatazama nchi kubwa.
Dine Øjne faar Kongen at se i hans Skønhed, de skuer et vidtstrakt Land.
18 Moyo wako utakumbuka hofu; yuko wapi mwandishi, yuko wapi yule aliayepima pesa? na yuko wapi yeye aesabue minara?
Dit Hjerte skal tænke paa Rædselen: »Hvor er nu han, der talte og vejede, han, der talte Taarnene?«
19 Hautawaona watu wanaopinga, watu weye lugha ya ajabu ambayo hautaweza kuielewa.
Du ser ej det vilde Folk med dybt, uforstaaeligt Maal, med stammende, ufattelig Tunge.
20 Itazame Sayuni, mji wa sikukuu yetu; macho yako yataiona Yerusalemu kama makao tulivu, hema ambalo halitatolewa, vigingi vyake havitatolewa wala kamba zake hazitakatika.
Se paa Zion, vore Højtiders By! Dine Øjne skal skue Jerusalem, et sikkert Lejrsted, et Telt, der ej flytter, hvis Pæle aldrig rykkes op, hvis Snore ej rives over.
21 Badala yake Yahwe katika ukuu wake atakuwa pamoja na sisi, katika eneo la maji mengi na mifereji mingi. Hakuna manuari na mpiga makasia watakayepita hapo, na hakuna mashua itakayopita uko.
Nej, der træder HERRENS Bæk for os i Floders og brede Strømmes Sted; der kan ej Aareskib gaa, ej vældigt Langskib sejle.
22 Maana Yahwe ni hakimu wetu, Yahwe ni mwanasheria wet, Yahwe ni mfalme wetu; atatukomboa sisi.
Thi HERREN er vor Dommer, HERREN er vor Hersker, HERREN er vor Konge, han bringer os Frelse.
23 Kamba zako zimelegea; haziwezi kushika mlingoti katika eneo lake; haziwezi kuzunguka meli; pindi mateka wanavyogawanyika, hata vilema watawatoa nje kama mateka.
Slapt hænger dit Tovværk, det holder ej Raaen og spænder ej Sejlet. Da uddeles røvet Bytte i Overflod, halte tager Del i Rovet.
24 Na wenyeji watasema, ''Ninaumwa;'' watu wanaoishi pale watasamehewa maovu yao.
Ingen Indbygger siger: »Jeg er syg!« Folket der har sin Synd forladt.

< Isaya 33 >