< Isaya 31 >

1 Ole wao washukao Misri kuomba msaada na kutegemea farasi, kuweka imani katika magari (maana wako wengi) na ( maana faras haziesabiki). Lakini hawausiani na Mtakatifu wa Israeli, wala hawamtafuti Yahwe!
Woe to them that go down to Egypt for help, and rely on horses, and trust in chariots, because they are many, and in horsemen, because they are exceeding mighty; but they look not unto the Holy One of Israel, neither seek the LORD!
2 Lakini ni mwenye busara, na ataleta maafa na atakanusha maneno yake. Na atakuja juu ya nyumba zitendazo maovu, na dhidi ya wale wanaowasaidia kuteda dhambi.
Yet He also is wise, and bringeth evil, and doth not call back His words; but will arise against the house of the evil-doers, and against the help of them that work iniquity.
3 Misri ni mtu na sio Mungu, ni farasi wa mwili na sio wa roho. Yahwe atakapota nje kwa mkono wake, wote waliowasaidia watakuwa na mashaka, na yeyote atakayesidia atanguka; wote kwa pamoja watatoweka.
Now the Egyptians are men, and not God, and their horses flesh, and not spirit; so when the LORD shall stretch out His hand, both he that helpeth shall stumble, and he that is helped shall fall, and they all shall perish together.
4 Hivi ndivyo Yahwe alivyosema na mimi, '' kama simba, na hata mtoto wa simba, hunguruma juu ya mawindo yake, pale makundi ya wachungaji yanapoita dhidi yake, lakini hatatemeka kwa sauti zao, wala hatakwenda kwa sababu ya kelele zao, hivyo Yahwe wa majeshi atashuka kupigana kwenye mlima Sayuni, katika kilima hicho.
For thus saith the LORD unto me: Like as the lion, or the young lion, growling over his prey, though a multitude of shepherds be called forth against him, will not be dismayed at their voice, nor abase himself for the noise of them; so will the LORD of hosts come down to fight upon mount Zion, and upon the hill thereof.
5 Kama ndege apaavyo, hivyo Yahwe wa majeshi atailinda Yerusalemu; atailinda na kuiokoa kama apitavyo juu na kuilinda.
As birds hovering, so will the LORD of hosts protect Jerusalem; He will deliver it as He protecteth it, He will rescue it as He passeth over.
6 Mrudieni yeye kutoka huyo mliyemgeukia, watu wa Israeli.
Turn ye unto Him against whom ye have deeply rebelled, O children of Israel.
7 Maana katika siku hiyo kila mmoja ataondoa miungu ya fedha na miungu ya dhahabu iliyotegenezwa kwa mikono yenu yenye dhambi.
For in that day they shall cast away every man his idols of silver, and his idols of gold, which your own hands have made unto you for a sin.
8 Asiria atangamizwa kwa upanga; na upanga usioshikiwa na mtu utumaliza yeye. Ataukimbia upanga, na vijana wake wadogo watafanyishwa kazi ngumu.
Then shall Asshur fall with the sword, not of man, and the sword, not of men, shall devour him; and he shall flee from the sword, and his young men shall become tributary.
9 Na watashindwa kujiani kwa sababu ya hofu, na mkuu wao ataogopa mbele ya bendera ya jeshi la Yahwe.''- Hili ni tamko la Yahwe, ambao moto uko Sayuni na ambayo sufuria ya moto iko Yerusalemu.
And his rock shall pass away by reason of terror, and his princes shall be dismayed at the ensign, saith the LORD, whose fire is in Zion, and His furnace in Jerusalem.

< Isaya 31 >