< Isaya 30 >

1 Ole wa watoto waasi, ''Hili ni tamko la Yahwe. ''Wataweka mipango, lakini haitatoka kwangu; wataungana na mataifa mengine, lakini hawakuongozwa na Roho wangu, hivyo wanongeza dhambi baada ya dhambi.
Biada upartym synom, mówi PAN, którzy naradzają się, ale nie ze mną, i zasłaniają nakryciem, ale nie z mojego ducha, aby dodawać grzech do grzechu;
2 Wanapanga kushuka chini Misri, lakini hawajaniomba niwaelekeze. Wanatafuta ulinzi kutoka kwa Farao kuchukua kimbilio katika kivuli cha Misri.
Którzy wyruszają, by zejść do Egiptu, nie radząc się moich ust, aby umocnić się siłą faraona i schronić się w cieniu Egiptu.
3 Hivyo basi ulinzi wa Farao utakuwa aibu yenu, na kimbilio lenu katika kivuli cha Misri, kitakuwa udhalilishaji wenu,
Dlatego siła faraona będzie dla was zawstydzeniem, a schronienie w cieniu Egiptu waszą hańbą.
4 japo wakuu wako Sayuni, na wajumbe wao wamekuja Hanesi.
Jego książęta bowiem byli w Soan i jego posłowie dotarli do Chanes.
5 Watahaibika kwa sababu ya watu ambao hawawezi kuwasaidia, wala kuwa na faida, lakini ni aibu, na fedheha.
Wszyscy zawstydzili się przez lud, który nie był dla nich użyteczny ani pomocny i nie [przynosił żadnych] korzyści, lecz tylko wstyd i hańbę.
6 Tamko kuhusu mnyama wa Negevi: kupitia kwenye mlango wa mateso na hatari, wa simba jike na simba dume, nyoka na nyoka wa moto aneyepaa, wamebeba utajiri wao kwenye mgongo wa punda, na hazina yao katika mabega ya ngamia, kwa watu ambao hawana msaada kwao.
Brzemię zwierząt południa. Do ziemi ucisku i utrapienia, skąd pochodzi lew i lwiątko, żmija i ognisty smok latający, zaniosą swoje bogactwa na grzbietach osłów i swe skarby na garbach wielbłądów do ludu, który im nic nie pomoże;
7 Maana msaada Misri hauna maana; hivyo basi nimemwita Rahabu, aliyekaa bado.
Bo pomoc Egipcjan będzie daremna i próżna. Dlatego ogłaszam, że ich siłą jest siedzieć w pokoju.
8 Sasa nenda, andika hili mbele yao juu ya meza, na uyaandike katika kitabu, iliyaifadhiwe kwa mda mrefu kama ushuhuda.
Teraz idź, napisz to na tablicy przy nich i utrwal w księdze, aby zostało to zachowane na przyszłość i aż na wieki wieków:
9 Maana ni watu waasi, watoto waongo, watoto ambao hawaskilizi maelekezo ya Yahwe.
Że ten lud jest uparty, że to synowie kłamliwi, synowie, którzy nie chcą słuchać prawa PANA;
10 Wanawambia waonaji, ''msiangalie; na kwa manabii, ''msitabiri yaliyoyakweli kwetu; zungumza maneno ya kujipendeza kwetu, tabiri udanganyifu. Geukeni katika njia,
Którzy mówią do widzących: Nie miejcie widzenia; a prorokom: Nie prorokujcie nam, co jest prawe; mówcie nam rzeczy przyjemne, prorokujcie oszustwa;
11 ondokeni kwenye njia; maana Mtakatifu wa Israeli amesitisha kuongea mbele ya uso wetu.
Zejdźcie z drogi, zejdźcie ze ścieżki, zabierzcie sprzed nas Świętego Izraela.
12 Hivyo basi mtakatifu wa Israeli asema, ''Kwa sababu umekataa maneno haya na kujifunza ukandamizaji na udanganyifu,
Dlatego tak mówi Święty Izraela: Ponieważ gardzicie tym słowem, a pokładacie ufność w krzywdzie i przewrotności i na nich polegacie;
13 hivyo dhambi hii itakuwa kwenu kama kitu kilichovunjika tayari kwa kuanguka, kama kitu katika ukuta mrefu ambao anguko lake linakaribia, papo kwa hapo.''
Dlatego ta nieprawość będzie dla was jak pęknięcie grożące zawaleniem i jak wygięcie na wysokim murze, który zawala się nagle, w mgnieniu oka;
14 Atavunja kama chombo cha mfinyanyanzi kivunjavyo, hivyo basi hakitabaki kitu, hivyo hakuna vipande vyovyote vya kigae kitoshacho kutwaa moto jikoni, kuchota maji kisimani.
I rozbije ją, jak rozbija się gliniane naczynie stłuczone tak bezlitośnie, że nie znajdzie się wśród jego odłamków skorupki, aby nabrać ognia z ogniska lub zaczerpnąć wody ze zbiornika.
15 Maana Bwana Yahwe, Mtakatifu wa Israeli asema hivi, ''Kwa kurudi na kwa kupumzika mtaokolewa; katika utulivu na imani itakuwa ni nguvu zako, Lakini hamkuwa tayari.
Tak bowiem mówi Pan BÓG, Święty Izraela: W nawróceniu i spokoju będziecie zbawieni; w ciszy i ufności będzie wasza siła. Ale nie chcieliście;
16 Amesema, 'Hapana, maana kukimbia kwa farasi; hivyo tutakimbia; tutakimbia kwa kutumia farasi mwepesi; hivyo basi watakaojingiza watakuwa wepesi.
Przeciwnie, powiedzieliście: Nie tak, ale na koniach uciekniemy! Dlatego będziecie uciekać. Na szybkich koniach pojedziemy! Dlatego będą szybsi ci, którzy będą was ścigać.
17 Watu eflu moja watakimbia kwa kumuhofia mtu mmoja; kwa vitisho vya watu watano mtakimbia mpaka mtakuwa kama nguzu ya bendera iliyoko juu ya mlima, au kama bendera kwenye kilima.''
Tysiąc was ucieknie przed groźbą jednego, a przed groźbą pięciu wszyscy uciekniecie, aż zostaniecie jak maszt na szczycie góry i jak sztandar na pagórku.
18 Lakini Bwana anawasubiri ili awape neema yake, Hivyo basi yuko tayari kuwaonyesha huruma. Maana Yahwe na Mungu wa haki; Huwabarikiwe wale wanaomsubiri yeye.
I dlatego PAN będzie czekać, aby okazać wam łaskę, i dlatego będzie wywyższony, aby się zlitować nad wami. PAN bowiem jest Bogiem sądu. Błogosławieni wszyscy, którzy na niego czekają.
19 Maana watu wataishi Sayuni, na Yerusalemu na hawatalia tena. Hakika atakuwa neema kwenu kwa sauti ya kilio chenu. Atakaposikia tu, atawajibu ninyi.
Lud bowiem będzie mieszkał na Syjonie, w Jerozolimie, nie będziesz już płakał. Na pewno zlituje się nad tobą na głos twego wołania, a gdy tylko [cię] usłyszy, odezwie się.
20 Kupitia Yahwe tunapata mkate wa shida na maji ya mateso, hata sasa, mwalimu wako hatajifisha mwenyewe tena, lakini utamuona mwalimu wako kwa macho yako mwenyewe.
A choć Pan dał wam chleb niedoli i wodę ucisku, to jednak twoi nauczyciele nie będą już usunięci, ale twoje oczy zobaczą twoich nauczycieli;
21 Masikio yako yatasikia maneno yanayosemwa nyuma, Hii ndio njia, pitia hii, ''utakapogeuka upande wa kulia au utakageuka upande wa kushoto.
Twoje uszy usłyszą słowo wołające za tobą: To jest droga, chodźcie nią – gdybyście zboczyli na prawo lub na lewo.
22 Mtakinajisi kifuniko chenu mlichokiweka juu ya pesa na dhahabu na kukitupa. Mtakitupa mbali kama hedhi kali, '''utawambia wao, ''Ondokeni hapa.''
Wtedy uznasz za nieczyste obicie swoich rzeźbionych posągów ze srebra i odzienie swoich odlanych posągów ze złota. Wyrzucisz je jako nieczystość miesiączkującej kobiety i powiesz im: Precz stąd.
23 Naye atatoa mvua kwanye mbegu zenu mtakapopanda kwenye aridhi, na mkate utakuwa kwa wingi kutoka kwenye aridhi na mazao yatazaa kwa wingi. Katika siku hizo ng'ombe zako zitachungwa katika eneo kubwa.
Bóg ześle deszcz na twój siew, którym obsiewasz ziemię, i chleb z plonów ziemi będzie syty i obfity. W tym dniu twoje bydło będzie się pasło na rozległych pastwiskach.
24 Ng'ombe na punda, wanaolima kwenye aridhi, watakula chakula cha majira kilicho tawnywa kwa koleo na uma.
Także woły i osły uprawiające ziemię będą się karmić czystą paszą, która została przesiana wiejadłem i szuflą.
25 Juu ya mlima mrefu na juu ya kilima kirefu, kutapitasha vijito na mifereji ya maji, katika siku siku ya machinjio makuu pale minara yote itakapoanguka.
Na każdej wysokiej górze i na każdym wyniosłym pagórku będą strumienie i potoki wód, w dniu wielkiej rzezi, gdy wieże upadną.
26 Mwanga wa mwenzi utakuwa kama mwanga wa jua, na mwanga wa jua utang'aa mara saba, kama mwanga wa siku saba. Yahwe atakapofunga kuvujwa kwa watu wake na kuyaponya majeraha waliyoyapata.
Światło księżyca będzie jak światło słońca, światło słońca będzie siedmiokrotnie [jaśniejsze], jakby światło siedmiu dni – w dniu, kiedy PAN obwiąże złamanie swego ludu i uleczy zadaną mu ranę.
27 jina la Yahwe limekuja kutoka sehemu ya mbali, Linawaka kwa hasira yake na katika moshi mnene. Midomo yake imejaa hasira, na lugha yake nia kama moto unaoangamiza.
Oto imię PANA przybywa z daleka, jego gniew płonie, jego brzemię ciężkie. Jego wargi są pełne gniewu, a jego język jak trawiący ogień.
28 Punzi yake ni kama maji yaliyojaa yanayofika mpaka katikati ya shingo, kwa ajili kuchuja mataifa kwa kuhamasisha uharibifu. Pumzi yake ni mzabuni katika taya za watu wanowasababisha kutangatanga mbali.
A jego tchnienie jest jak wezbrana rzeka, która aż po gardła sięga, aby przesiewać narody rzeszotem zniszczenia i włożyć na szczęki narodów zwodnicze wędzidło.
29 Utakuwa na wimbo kama usiku pale sherehe takatifu itakapofanyika, na moyo wenye furaha, pindi mmoja atakopo kwenda na katika mlima wa Yahwe, katika mwamba wa Israeli.
Wtedy zaśpiewacie jak w noc, gdy obchodzi się uroczyste święto, a rozweselicie się w sercu jak ten, który idzie wśród [dźwięków] fletu na górę PANA, do Skały Izraela;
30 Yahwe atafanya mapambo ya sauti yake inayosikika na atawaonyesha jinsi mkono wake ushukavyo na dhouba ya hasira yake na moto uwakao, pamoja na upepo mkubwa, mvua kubwa, na mvua ya mawe.
Gdy PAN da usłyszeć swój wspaniały głos i pokaże swoje wyciągnięte ramię w zapalczywości swego gniewu, w płomieniu trawiącego ognia, z rozproszeniem, wśród nawałnic i gradu.
31 Maana kwa sauti ya Yahwe, Asiria itanyamazishwa; atahiaribu kwa fimbo.
Bo głosem PANA zostanie starty Asyryjczyk, który bił kijem.
32 Na kila adhabu iliyochaguliwa amechagua fimbo ambayo Yahwe ataiweka juu yao na wakisidikizwa na mziki wa kigoma na kinubi kama wataanzisha vita na kupgana nao.
I każde uderzenie utwierdzoną rózgą, którą go PAN uderzy, [zadane] będzie z bębnami i harfami. A w srogich bitwach będzie walczyć z nim.
33 Maana sehemu ya kuchoma iliandaliwa toka zamani. kweli, imeandaliwa kwa mfalme, na Mungu amelifanya kuwa na kina na upana. Rundo liko tayari kwa moto na kuni za kutosha. Punzi ya Yahwe, ni kama mkondo kiberiti, na utawsha moto.
Od dawna bowiem przygotowane jest piekło, także dla samego króla jest przygotowane; uczynił je głębokim i szerokim, jego stos to ogień i wiele drew. Tchnienie PANA, jak strumień siarki, rozpala je. (questioned)

< Isaya 30 >