< Isaya 3 >

1 Ona, Bwana, Yahwe wa majeshi, anakaribia kuwachukua kutoka Yerusalema na Yudawasaidizi na wafanyakazi: wasambazaji wote wa mikate, wasambazaji wote wa maji;
زیرا اینک خداوند یهوه صبایوت پایه ورکن را از اورشلیم و یهودا، یعنی تمامی پایه نان و تمامی پایه آب را دور خواهد کرد،۱
2 mtu mwenye nguvu, shuja, hakimu, nabii, dalili za msomaji, na mzee;
وشجاعان و مردان جنگی و داوران و انبیا وفالگیران و مشایخ را،۲
3 naodha wa hamsini, raia husika, mshauri, fundi mtarajiwa, na mchawi stadi.
و سرداران پنجاهه وشریفان و مشیران و صنعت گران ماهر و ساحران حاذق را.۳
4 Nitamuweka kijana tu kama kiongozi wenu, kijana atawaongoza wao.
و اطفال را بر ایشان حاکم خواهم ساخت و کودکان بر ایشان حکمرانی خواهندنمود.۴
5 Watu watanyanyasika, kila mmoja mmoja na kila mmoja na jirani yake; watoto watawatusi wazee, na mivutano itawapa changamoto waheshimiwa.
و قوم مظلوم خواهند شد، هرکس ازدست دیگری و هرشخص از همسایه خویش. واطفال بر پیران و پستان بر شریفان تمرد خواهندنمود.۵
6 Mwanaume atamshikilia ndugu yake katika nyumba ya baba yake na kusema, 'Unayo kanzu; uwe kiongozi wetu, na uharibifu huu uwe mikononi mwako.
چون شخصی به برادر خویش در خانه پدرش متمسک شده، بگوید: «تو را رخوت هست پس حاکم ما شو و این خرابی در زیر دست تو باشد»،۶
7 'Siku hiyo atapaza sauti na kusema, 'hautakuwa mganga; sina mkate wala mavazi. Hatanifanya kuwa kiongozi wa watu.
در آن روز او آواز خود را بلند کرده، خواهد گفت: «من علاج کننده نتوانم شد زیرا درخانه من نه نان و نه لباس است پس مرا حاکم قوم مسازید.»۷
8 Kwa maana Yerusalemu kuna mashaka, na Yuda imeanguka, kwa sababu mazungumzo yao na matendo yao yako kinyume na Yahwe, wanayapinga macho ya utukufu wake.
زیرا اورشلیم خراب شده و یهودامنهدم گشته است، از آن جهت که لسان و افعال ایشان به ضد خداوند می‌باشد تا چشمان جلال اورا به ننگ‌آورند.۸
9 Angalia nyuso zao zinashudia kinyume nao; na watasema dhambi zao kama Sodoma; hawatazificha, Ole wao! Maana wanakamilisha janga lao wenyewe.
سیمای رویهای ایشان به ضدایشان شاهد است و مثل سدوم گناهان خود رافاش کرده، آنها را مخفی نمی دارند. وای برجانهای ایشان زیرا که به جهت خویشتن شرارت را بعمل آورده‌اند.۹
10 Mwambie mtu mwenye haki kwamba itakuwa vizuri, maana watakula matunda ya matendo yao.
عادلان را بگویید که ایشان را سعادتمندی خواهد بود زیرا از ثمره اعمال خویش خواهند خورد.۱۰
11 Ole kwa wakosaji! itakuwa vibaya kwa yeye, maana malipo ya mikono yake yatafanyika kwake pia.
وای بر شریران که ایشان را بدی خواهد بود چونکه مکافات دست ایشان به ایشان کرده خواهد شد.۱۱
12 Watu wangu-watoto wangu wanawakandamiza, na wanawake wanawaongoza wao. Watu wangu, wale wanaowaongoza wanawaongoza vibaya na kuchanganya muelekeo wa nja yenu.
و اما قوم من، کودکان بر ایشان ظلم می‌کنند و زنان بر ایشان حکمرانی می‌نمایند. ای قوم من، راهنمایان شماگمراه کنندگانند و طریق راههای شما را خراب می‌کنند.۱۲
13 Yahwe simama juu ya mashitaka; yeye amesimama kuwashaki watu.
خداوند برای محاجه برخاسته و به جهت داوری قومها ایستاده است.۱۳
14 Yahwe atakuja na hukumu juu ya wazee na watu wao na viongozi wao: ''Umeharibu shamba; nyara kutoka kwa masikni ziko kwenye nyumba zako.
خداوند بامشایخ قوم خود و سروران ایشان به محاکمه درخواهد آمد، زیرا شما هستید که تاکستانها راخورده‌اید و غارت فقیران در خانه های شمااست.۱۴
15 Kwa nini unaponda watu wangu na kusaga nyuso za masikini?'' Hili ni tamko Bwana, Yahwe wa majeshi.
خداوند یهوه صبایوت می‌گوید: «شمارا چه شده است که قوم مرا می‌کوبید و رویهای فقیران را خرد می‌نمایید؟»۱۵
16 Yahwe anasema hivyo kwa sababu mabinti wa Sayuni wanajigamba, wanatembea pekee yao vichwa vyao vikiwa juu, na kutaniana kwa macho yao, na kutakata kokote waendako na kuamua upatu kwa miguu yao,
و خداوند می‌گوید: «از این جهت که دختران صهیون متکبرند و با گردن افراشته وغمزات چشم راه می‌روند و به ناز می‌خرامند و به پایهای خویش خلخالها را به صدا می‌آورند.»۱۶
17 Kwa hiyo Bwana atafanya magonjwa ya mapele kwenye kishwa cha mabinti wa Sayuni, na Yahwe atawafanya upaa.
بنابراین خداوند فرق سر دختران صهیون را کل خواهد ساخت و خداوند عورت ایشان را برهنه خواهد نمود.۱۷
18 Siku hiyo Bwana ataondoa mapambo mazuri yaliyoko kwenye kifundo cha miguu, bendi za kichwa chao, kaya zao; bangili za masikio,
و در آن روز خداوند زینت خلخالها و پیشانی بندها و هلالها را دور خواهدکرد.۱۸
19 bangili za miguu na taji zao;
و گوشواره‌ها و دستبندها و روبندها را،۱۹
20 kitambaa cha kichwa, chaini za miguu, mafurungu na maboksi ya marashi na na haiba ya bahati.
و دستارها و زنجیرها و کمربندها و عطردانها وتعویذها را،۲۰
21 Atatoa bangili na kipini kwenye pua;
و انگشترها و حلقه های بینی را،۲۱
22 sherehe za mavazi, mapazia na mabegi ya mkononi;
و رخوت نفیسه و رداها و شالها و کیسه‌ها را،۲۲
23 vioo vya mkononi, sanda nzuri, vilemba vya kichwa na taji.
و آینه‌ها و کتان نازک و عمامه‌ها و برقع‌ها را.۲۳
24 Badala ya manukato mazuri kutakuwa na arufu mbaya; na badala ya ukunda, kamba, kufunika kwa vazi la gunia; kitia alama mwilini kwa moto badala ya uzuri. wanaume wao wataanguka kwa upanga,
و واقع می‌شود که به عوض عطریات، عفونت خواهد شد و به عوض کمربند، ریسمان و به عوض مویهای بافته، کلی و به عوض سینه بند، زنار پلاس و به عوض زیبایی، سوختگی خواهدبود.۲۴
25 na wanaume wenye nguvu wataanguka kwenye vita.
مردانت به شمشیر و شجاعانت در جنگ خواهند افتاد.۲۵
26 Lango la Yerusalemu litaomboleza na kuomboleza; na atakuwa peke yake amekaa chini ya ardhi.
و دروازه های وی ناله و ماتم خواهند کرد، و او خراب شده، بر زمین خواهدنشست.۲۶

< Isaya 3 >