< Isaya 27 >

1 Katika siku hiyo Yahwe kwa upanga wake ulio mgumu, mkubwa na mkali, atamadhibu Leviathani na nyoka yule anayetambaa kwa kupenya, na atamuua mnyama anayeishi baharini.
In that day, Adonai with his hard and great and strong sword will punish leviathan, the fleeing serpent, and leviathan the twisted serpent; and he will kill the dragon that is in the sea.
2 Siku hiyo: Shamba la zabibu, litawaimbia.
In that day, sing to her, “A pleasant vineyard!
3 ''Mimi Yahwe ni mlinzi wake; Ninalimwagia maji kila wakati; hivyo hakuna anayelimiza, Ninalilinda usiku na mchana.
I, Adonai, am its keeper. I will water it every moment. Lest anyone damage it, I will keep it night and day.
4 Sina hasira, Oh, kama mbigiri na miiba! Katika vita nitatembea dhidi yao; Nitawachoma wote kwa pamoja;
Wrath is not in me, but if I should find briers and thorns, I would do battle! I would march on them and I would burn them together.
5 labda wafahamu ulinzi wangu na wafanye amani na mimi, waache wafanye amani na mimi.
Or else let him take hold of my strength, that he may make peace with me. Let him make peace with me.”
6 Kwa siku inayokuja, Yakobo atachukua mzizi; Israeli itatoa maua na kuchipua; na itaijaza aridhi yote kwa matunda.''
In days to come, Jacob [Supplanter] will take root. Israel [God prevails] will blossom and bud. They will fill the surface of the world with fruit.
7 Je Yahwe alimshambulia Yakobo na Israeli na hayo mataifa yaliyomshambulia? Je Yakobo na Israeli waliuliwa na wao kama mliowachinja katika mataifa mliowauwa wao?
Has he struck them as he struck those who struck them? Or are they killed like those who killed them were killed?
8 Kitika kipimo halisi cha kuridhisha, watume Yakobo na Israeli mbali; aliwaondosha mbali kwa upepo mkali, katika siku ya upepo wa mashariki.
In measure, when you send them away, you contend with them. He has removed them with his rough blast in the day of the east wind.
9 Hivyo kwa njia hii, maovu ya Yakobo yatalipiwa, maana hii itakuwa matunda yote yakuomdolewa dhambi zake: pale atakapofanya mathebau ya mawe kama chokaa na kuviangamiza katika vipande vipande, na hakuna nguzo za Ashera au madhebau itakayoachwa imesimama.
Therefore by this the iniquity of Jacob [Supplanter] will be forgiven, and this is all the fruit of taking away his sin: that he makes all the stones of the altar as chalk stones that are beaten in pieces, so that the Asherah poles and the incense altars shall rise no more.
10 Maana mji imara umeharibiwa, makao yake na faragha yake yameachwa kama jangwa. Kuna ndama wanachungwa, na huko ndiko atakapo lala na kuyala matawi yake.
For the fortified city is solitary, a habitation deserted and forsaken, like the wilderness. The calf will feed there, and there he will lie down, and consume its branches.
11 Matawi yake yatakaponyauka yatanguka. Wanawake watakuja na kuyatumia kutengeneza moto, maana hawa sio watu waelewa. Hivyo basi Muumba wao hatakuwa na huruma juu yao, na yeye aliyewaumba atakuwa na huruma juu yao.
When its boughs are withered, they will be broken off. The women will come and set them on fire, for they are a people of no understanding. Therefore he who made them will not have racham ·compassionate love· on them, and he who formed them will show them no favor.
12 Na siku hiyo itakuwa kwamba Yahwe atapururua kutoka mto Efrate mpaka Wadi ya Misri na njie, watu wa Israeli, tutakusanyika mahali pamoja mmoja mmoja.
It will happen in that day, that Adonai will thresh from the flowing stream of the Euphrates [Fruitful] to the brook of Egypt [Abode of slavery]; and you will be gathered one by one, children of Israel [God prevails].
13 Siku hiyo tarumbeta kubwa litapulizwa; na watu waliopotea katika nchi ya Asiria watakuja, na waliotupwa katika nchi ya Misri, watamuabudu Yahwe katika mlima mtakatifu huko Yerusalemu.
It will happen in that day that a great shofar ·ram horn· will be blown; and those who were ready to perish in the land of Assyria [Level plain], and those who were outcasts in the land of Egypt [Abode of slavery], shall come; and they will worship Adonai in the holy mountain at Jerusalem [City of peace].

< Isaya 27 >