< Isaya 26 >

1 Siku hiyo wimbo huu utaimbwa katika nchi ya Yuda: Tuna mji imara; Mungu amefanya wokovu katika kuta na ngome zake.
En ce jour-là sera chanté ce cantique dans le pays de Juda: Nous avons une ville forte: il a mis le salut pour murailles et pour remparts.
2 Fungua lango, ili mataifa yenye haki yaweze na yenye kutunza imani yaweze kuingia ndani.
Ouvrez les portes, et qu’elle entre, la nation juste qui garde la fidélité!
3 Akili mlionayo, mtamuhifadhi yeye katika amani kamili, maana anawamini ninyi.
Tu garderas dans une paix parfaite l’esprit qui s’appuie [sur toi], car il se confie en toi.
4 Mwamini Yahwe daima; maana Yaha, Yahwe, ni mwamba wa milele.
Confiez-vous en l’Éternel, à tout jamais; car en Jah, Jéhovah, est le rocher des siècles.
5 Maana atawashusha wale wote wenye kiburi; mji ulio juu atushusha chini, ataushusha chini kwenye aridhi; na ataulinganisha na mavumbi.
Car il abat ceux qui habitent en haut; il abaisse la ville haut élevée, il l’abaisse jusqu’en terre, il la fait descendre jusque dans la poussière:
6 Utakanyagwakanyagwa chini na miguu ya walio masikini na wahitaji.
le pied la foulera, les pieds des affligés, les pas des misérables.
7 Mapito ya mwenye haki yamenyooka, Wenye haki; mapito ya wenye haki umeyanyoosha.
Le chemin du juste est la droiture. Toi qui es droit, tu aplanis le sentier du juste.
8 Ndio, kaika mapito ya hukumu yako, Yahwe, tunakusubiri wewe; jina lako na sifa zako ni matamanio yetu.
Oui, dans le chemin de tes jugements, ô Éternel, nous t’avons attendu; le désir de notre âme est après ton nom et après ton souvenir.
9 Nimekutamani wewe wakati wa usiku; ndio, roho iliyo ndani yangu ina kutafuta kwa bidii. Pindi hukumu yako itakapokuja duniani, wenyeji wa duniani watajua kuhusu haki.
Mon âme te désire de nuit; oui, mon esprit, au-dedans de moi, te cherche diligemment; car, lorsque tes jugements sont sur la terre, les habitants du monde apprennent la justice.
10 Na tuonyeshe upendeleo kwa waovu, lakini hawatajifunza haki. katika nchi ya wanyofu anatenda maovu na haoni ukuu wa Yahwe.
Si l’on use de grâce envers le méchant, il n’apprend pas la justice; dans le pays de la droiture il fait le mal, et il ne voit pas la majesté de l’Éternel.
11 Yahwe, mkono wako umenyanyuliwa juu, lakini hawapati hizo taarifa. Lakini wataona bidii kwa watu na wataona aibu, kwa sababu idadi ya maadui watawatafuna.
Ô Éternel, ta main est élevée, mais ils ne voient point; [mais] ils verront [ta] jalousie pour le peuple et seront honteux. Oui, le feu [qui attend] tes adversaires les dévorera.
12 Yahwe, utaleta amani kwetu, maana kweli, umekamilisha kazi zetu zote.
Éternel, tu établiras la paix pour nous; car aussi toutes nos œuvres, tu les as opérées pour nous.
13 Yahwe Mungu wetu, viongozi wengine badala yako wametutawala sisi; Lakini tunalitukuza jina lako.
Éternel, notre Dieu, d’autres seigneurs que toi ont dominé sur nous: par toi seul nous ferons mention de ton nom.
14 Wamekufa, hawataishi tena; ni maremu hao, hawatafufuka tena. Kweli, umekuja kuwahukumu na kuwaharibu wao, na umefanya kila kumbukumbu kutoweka.
Les morts ne vivront pas, les trépassés ne se relèveront pas; car tu les as visités, et tu les as exterminés, et tu as détruit toute mémoire d’eux.
15 Umeliongeza taifa, Yahwe, umeliongeza taifa; umeheshimiwa; umeinuliwa katika mipaka yote ya nchi.
Tu as augmenté la nation, ô Éternel; tu as augmenté la nation; tu as été glorifié: tu l’avais éloignée jusqu’à tous les bouts de la terre.
16 Yahwe, katika mateso yao walikuangalia wewe; walipatwa na wasiwasi katika maombi yao maana adhabu yako ilikuwa juu yao.
Éternel, dans la détresse ils t’ont cherché; ils ont épanché [leur] prière à voix basse, lorsque tu les as châtiés.
17 Kama mwanamke mjamzito anayekaribia kujifungua, hupatwa na uchungu na hulia kwa uchungu, hivyo ndivyo tulivyokuwa kabla, Bwana.
Comme une femme enceinte, près d’enfanter, est dans les douleurs [et] crie dans ses peines, ainsi nous avons été devant toi, ô Éternel:
18 Tulikuwa wajawazito, tumekuwa katika mateso, lakini ni kama tumeshajifungua katika akili zetu. Hatujauleta wokovu duniani, na wakazi wa duniani hawakuanguka.
nous avons conçu, nous avons été dans les douleurs, nous avons comme enfanté du vent; nous n’avons pas opéré le salut du pays, et les habitants du monde ne sont pas tombés…
19 Wafu wenu wataishi; watu wenu walio kufa watafufuka. Amka na uimbe kwa furaha, njie muishio mavumbini; maana umande wenu ni umande wa mwanga, na dunia itawaleta mbele wafu wake.
Tes morts vivront, mes corps morts se relèveront. Réveillez-vous et exultez avec chant de triomphe, vous qui habitez dans la poussière; car ta rosée est la rosée de l’aurore, et la terre jettera dehors les trépassés.
20 Enendeni, watu wangu, ingieni katika vyumba vyenu na mfunge mlango nyuma yenu; jificheni kwa mda mfupi, mpaka hasira itakapopita.
Viens, mon peuple, entre dans tes chambres et ferme tes portes sur toi; cache-toi pour un petit moment, jusqu’à ce que l’indignation soit passée.
21 Maana, angalia, Yahwe anakaribia kutoka katika eneo lake kuwahadhibu watu waishio duniani kwa ajili ya makosa yao; dunia itaachia umwagaji wa damu, na hawatawaficha tena waliokufa.
Car voici, l’Éternel sort de son lieu pour visiter l’iniquité des habitants de la terre sur eux, et la terre révélera son sang, et ne cachera plus ses tués.

< Isaya 26 >