< Isaya 23 >

1 Tamko kuhusu Tiro, Ombolezeni, enyi kondoo wa Tarishishi;
L’oracle sur Tyr. Hurlez, navires de Tarsis, car elle est dévastée, de sorte qu’il n’y a pas de maisons, personne qui entre. Du pays de Kittim cela leur est révélé.
2 maana hakuna nyumba wala bandari; kutoka katika nchi ya Kyprusi wamefunuliwa hilo.
Tenez-vous en silence, habitants de l’île! Les marchands de Sidon qui passent par la mer t’ont remplie!
3 Na juu ya maji mengi ni nafaka za shiho, mazao ya Nile, na uzalishaji wao; mlikuwa wafanya biashara wa kimataifa.
Et sur de grandes eaux la semence du Shikhor, la moisson du Nil, était son revenu; et elle était le marché des nations.
4 Kuwa na aibu, Sidoni; maana bahari imenena, mkuu wa bahari. Amesema, ''Sijafanya kazi wala kuzaa wala kukuza vijana wadogo wala kuwalea mabinti.
Aie honte, Sidon, car la mer a parlé, la force de la mer, disant: Je n’ai pas été en travail d’enfant, je n’ai pas enfanté, et je n’ai pas nourri de jeunes hommes, ni élevé de vierges. –
5 ''Pale taarifa ilipofika Misri, watauzunika kuhusu Tire.
Quand la rumeur est arrivée en Égypte, ils ont été dans l’angoisse à [l’ouïe des] nouvelles de Tyr.
6 Katiza juu ya Tarshishi; Ole wenu, enyi wakazi wa pwani.
Traversez vers Tarsis, hurlez, vous, les habitants de l’île!
7 Je hili limeshawahi kuwatokea, mji wenye furaha, ambao kwa asili yake umetoka katika kipindi cha kale. Ambapo miguu yake imempeleka mbali kuishi kwenye maeneo ya ugenini?
Est-ce là votre [ville] joyeuse, qui avait son origine dès les jours d’autrefois? Ses pieds la porteront pour demeurer au loin en étrangère.
8 Ni nani aliyepanga haya dhidi ya Tire, mtoa mataji, ambao wafanyabiashara wake ni wakuu, ambao wafanyabiashara ni watu wa kuheshimika duniani?
Qui a pris ce conseil à l’égard de Tyr, distributrice de couronnes, dont les négociants étaient des princes, dont les marchands étaient les nobles de la terre?
9 Yahwe wa majeshi amepanga kuharibu kiburi chake na utukufu wake, na kuwahaibisha waheshimiwa wote wa dunia.
L’Éternel des armées a pris ce conseil, pour profaner l’orgueil de toute gloire, pour réduire à néant tous les nobles de la terre.
10 Lima katika shamba lako, kama mtu alimavyo Nile, ewe binti Tarishishi. Maana hakuna tena eneo la soko huko Tite.
Répands-toi sur ton pays comme le Nil, fille de Tarsis; il n’y a plus rien qui retienne!
11 Yahwe amenyoosha mkono wake juu ya bahari, na ametingisha falme; na amepewa amri juu ya Fonensia, kuziharibu ngome.
Il a étendu sa main sur la mer; il a fait trembler les royaumes. L’Éternel a commandé contre Canaan, d’en détruire les forteresses,
12 Amesema, ''Hamtofurahia tena, binti bikira wa Sidoni uliyenyanyasika; nyanyuka, pitia Kyprusi; lakini wala hapatakuwa na punziko.''
et il a dit: Tu ne t’égaieras plus, vierge opprimée, fille de Sidon! Lève-toi, passe à Kittim; là encore il n’y aura pas de repos pour toi.
13 Tazama nchi ya Wakaldayo. Hawa watu wamesitisha kuishi pale; Waasiria wamelifanya jangwa la wanyama pori. Wameizingira minara; wameliharibu eneo lao; wamelifanya kuwa chungu cha uharibifu.
Vois le pays des Chaldéens: ce peuple n’existait pas; Assur l’a fondé pour les habitants des déserts: ils ont élevé leurs tours, ils ont renversé ses palais; il en a fait des ruines.
14 Omboleza ewe kondoo wa Tarishishi; maana kimbilio lako limeharibiwa.
Hurlez, navires de Tarsis, car votre forteresse est détruite.
15 Katika siku hiyo, Tire itasaulika kwa miaka sabini, kama siku za mfalme. Baada ya miaka sabini kuisha huko Tire kutatokea kitu kama wimbo wa malaya.
Et il arrivera, en ce jour-là, que Tyr sera oubliée 70 ans, selon les jours d’un roi. Au bout de 70 ans, ce sera pour Tyr comme la chanson d’une prostituée.
16 Chukua kinubi, nenda zunguka mji, mmewasahau malaya; cheza kinubi vizuri, imba nyimbo nyingi, ili uweze kukumbuka.
Prends la harpe, fais le tour de la ville, prostituée oubliée! Touche habilement les cordes, multiplie tes chansons, afin qu’on se souvienne de toi.
17 Itatokea baada ya miaka sabini, Yahwe ataisaidia Tire, na wataanza kututafuta pesa tena kwa kufanya kazi ya umalaya, na atafanya utumishi wake katika falme za dunia.
Et il arrivera qu’au bout de 70 ans, l’Éternel visitera Tyr; et elle reviendra à ses présents et se prostituera avec tous les royaumes de la terre, sur la face du sol.
18 Faida yake na mapato yake yatatengwa kwa ajili ya Yahwe. Hayatahifadhiwa wala hayatakuwa na hazina, maana faida yao watapewa wale wanoishi mdhebauni mwa Yahwe na yatatumika kuwasambazia chakula cha kutosha na kupata mavazi yenye viwango bora.
Et ses marchandises et les présents qu’on lui fera seront saints, [consacrés] à l’Éternel; ils ne seront pas accumulés et ils ne seront pas amassés; car sa marchandise sera pour ceux qui demeurent devant l’Éternel, afin qu’ils mangent et soient rassasiés, et afin qu’ils aient des vêtements magnifiques.

< Isaya 23 >