< Isaya 20 >

1 Katika mwaka ambao Tartani alipofika kwa Ashdodi, alipotumwa na Sarjoni mfalme wa Asiria, nae akapigana na Ashdodd na akachukua.
El año cuando el Tartán vino a Asdod enviado por Sargón, rey de Asiria, la atacó y la conquistó.
2 Mda huo Yahwe alizungumza na Isaya mwana wa Amozi, ''Nenda ukaondoe nguo za magunia katika kiuno chako, na ondoeni viatu vyenu kwenye miguu.'' Alifanya hivyo, tembeeni uchi na miguu wazi.
En aquel tiempo Yavé habló por medio de Isaías, hijo de Amoz: Vé, despójate de la tela áspera que tienes en la cintura y quita las sandalias de tus pies. Lo hizo así y andaba desnudo y descalzo.
3 Yahwe asema, ''Kama ilivyokuwa kwa mtumishi wangu Isaya alivyotembea uchi na pasipo kuvaa viatu kwa miaka mitatu, ni ishara na dalili kuhusu Misri na kuhusu Ethiopia—
Después Yavé dijo: Así como mi esclavo Isaías anduvo desnudo y descalzo tres años como señal y pronóstico contra Egipto y Etiopía,
4 katika njia hii mfalme wa Asiria atawaongoza mateka wa Misri, na walioko uhamishoni Ethiopia, watoto kwa wazee, waliouchi na wasio na viatu, na ambao hawajajisitiri kuiweka Misri katika aibu.
el rey de Asiria conducirá a los cautivos de Egipto y a los desterrados de Etiopía, jóvenes y ancianos, desnudos y descalzos, con las nalgas descubiertas, para vergüenza de Egipto.
5 Watafadhaika na kuona aibu, kwa sababu ya Ethiopia ni matumaini yao na Misri ni utukufu wao.
Entonces serán atemorizados y avergonzados por causa de Etiopía, su esperanza, y de Egipto, su jactancia.
6 Wenyeji wa pwani hiiwatasema siku hiyo, 'Kweli, hichi ndicho chanzo chetu cha matumaini, tulipokimbilia kuhitaji msaada kutoka kwa mfalme wa Asiria, je ni kwa jisi gani tunaweza kupona?''
Aquel día el habitante de esta costa dirá: ¡Miren! ¡Esto es lo que sucedió a aquellos en los cuales confiábamos y esperábamos, a los cuales huiríamos en busca de auxilio para que nos libraran del rey de Asiria! [Ahora], ¿cómo escaparemos?

< Isaya 20 >