< Isaya 20 >

1 Katika mwaka ambao Tartani alipofika kwa Ashdodi, alipotumwa na Sarjoni mfalme wa Asiria, nae akapigana na Ashdodd na akachukua.
In the year that Tartan came to Ashdod, when Sargon the king of Assyria [Level plain] sent him, and he fought against Ashdod and took it;
2 Mda huo Yahwe alizungumza na Isaya mwana wa Amozi, ''Nenda ukaondoe nguo za magunia katika kiuno chako, na ondoeni viatu vyenu kwenye miguu.'' Alifanya hivyo, tembeeni uchi na miguu wazi.
at that time Adonai spoke by Isaiah [Salvation of Yah] the son of Amoz, saying, “Go, and loosen the sackcloth from off your waist, and take your shoes from off your feet.” He did so, walking naked and barefoot.
3 Yahwe asema, ''Kama ilivyokuwa kwa mtumishi wangu Isaya alivyotembea uchi na pasipo kuvaa viatu kwa miaka mitatu, ni ishara na dalili kuhusu Misri na kuhusu Ethiopia—
Adonai said, “As my servant Isaiah [Salvation of Yah] has walked naked and barefoot three years for a sign and a wonder concerning Egypt [Abode of slavery] and concerning Ethiopia,
4 katika njia hii mfalme wa Asiria atawaongoza mateka wa Misri, na walioko uhamishoni Ethiopia, watoto kwa wazee, waliouchi na wasio na viatu, na ambao hawajajisitiri kuiweka Misri katika aibu.
so the king of Assyria [Level plain] will lead away the captives of Egypt [Abode of slavery] and the exiles of Ethiopia, young and old, naked and barefoot, and with buttocks uncovered, to the shame of Egypt [Abode of slavery].
5 Watafadhaika na kuona aibu, kwa sababu ya Ethiopia ni matumaini yao na Misri ni utukufu wao.
They will be dismayed and confounded, because of Ethiopia their expectation, and of Egypt [Abode of slavery] their glory.
6 Wenyeji wa pwani hiiwatasema siku hiyo, 'Kweli, hichi ndicho chanzo chetu cha matumaini, tulipokimbilia kuhitaji msaada kutoka kwa mfalme wa Asiria, je ni kwa jisi gani tunaweza kupona?''
The inhabitants of this coast land will say in that day, ‘Behold, this is our expectation, where we fled for help to be delivered from the king of Assyria [Level plain]. And we, how will we escape?’”

< Isaya 20 >