< Isaya 2 >

1 Vitu ambavyo Isaya mtoto Amozi alivijua katika maono, kuhusu Yuda na Yerusalemu.
The word that Isaiah the son of Amoz saw concerning Judah and Jerusalem.
2 Na itakuwa katika siku za mwisho, ule mlima wa nyumba ya Yahwe itaanzishwa kama mlima mrefu zaidi, na utanyanyuliwa juu ya vilima, na mataifa yote yatakusanyika pale.
And it shall come to pass in the end of days, that the mountain of the LORD'S house shall be established as the top of the mountains, and shall be exalted above the hills; and all nations shall flow unto it.
3 Watu wengi watakuja na kusema, ''Njooni, twendeni juu ya mlima wa Yahwe, kwenye nyumba ya Mungu wa Yakobo, kwa hiyo anaweza kutufundisha baadhi ya njia zake na tunaweza kutembea katika njia zake.'' Nje ya Sayuni itaenda sheria na neno la Yahwe litatoka Yerualemu.
And many peoples shall go and say: 'Come ye, and let us go up to the mountain of the LORD, to the house of the God of Jacob; and He will teach us of His ways, and we will walk in His paths.' For out of Zion shall go forth the law, and the word of the LORD from Jerusalem.
4 Atahukumu kati ya mataifa na atatoa maamuzi kwa watu wote; watayapiga nyungo mapanga yao kuwa majembe, na mikiku yao kama ya kukatia ndoano; taifa halitanyanyua upanga juu ya taifa lingine, na wala hawata jiandaa kwa vita tena.
And He shall judge between the nations, and shall decide for many peoples; and they shall beat their swords into plowshares, and their spears into pruninghooks; nation shall not lift up sword against nation, neither shall they learn war any more.
5 Nyumba ya Yakobo, njooni, na tutembee katika mwanga wa Yahwe.
O house of Jacob, come ye, and let us walk in the light of the LORD.
6 Kwa maana mmewatekeleza watu wenu, nyumba ya Yakobo, wamejazwa na desturi kutoka mashariki na dalili kutokea kama mfilisti, na watasalimiana kwa mikono na wana wa wageni.
For Thou hast forsaken Thy people the house of Jacob; for they are replenished from the east, and with soothsayers like the Philistines, and they please themselves in the brood of aliens.
7 Nchi yao imejaa fedha na dhahabu, na hakuna mipaka katika utajiri wao; nchi yao pia imejaa farasi, wala hakuna mipika ya magari.
Their land also is full of silver and gold, neither is there any end of their treasures; their land also is full of horses, neither is there any end of their chariots.
8 Nchi yao pia imejaa sanamu; wanaabu utengenezaji wa mikono yao wenyewe, vitu aambavyo vidole vyao vimetengeneza.
Their land also is full of idols; every one worshippeth the work of his own hands, that which his own fingers have made.
9 Watu watainama chini, na kila mmoja atanguka chini; hivyo basi msiwanyanyue juu.
And man boweth down, and man lowereth himself; and Thou canst not bear with them.
10 Nendeni maeneo yenye miamba na mjifiche kwenye aridhi kwa hofu ya Yahwe na kwa utukufu wa enzi yake.
Enter into the rock, and hide thee in the dust, from before the terror of the LORD, and from the glory of His majesty.
11 Mtu anaye tazama kwa kujivuna atashushw chini, na kiburi cha watu kitashushwa chini, na Yahwe mwenyewe atainuliwa siku hiyo.
The lofty looks of man shall be brought low, and the haughtiness of men shall be bowed down, and the LORD alone shall be exalted in that day.
12 Maana kutakuwa na siku ya Yahwe wa majeshi juu ya yeyote anayejigamba na kujiinua juu, na dhidi ya yeyote mwenye kiburi na atashushwa chini-
For the LORD of hosts hath a day upon all that is proud and lofty, and upon all that is lifted up, and it shall be brought low;
13 na dhidi ya mierezi ya Lebanoni iliyo juu na kupandishwa juu, na dhidi ya mialoni ya Bashani.
And upon all the cedars of Lebanon that are high and lifted up, and upon all the oaks of Bashan;
14 Siku hiyo ya Yahwe wa majeshi itakuwa dhidi ya milima yote mirefu, na dhidi ya vilima vyote vilivyonyanyuliwa juu,
And upon all the high mountains, and upon all the hills that are lifted up;
15 na dhidi ya minara mirefu, na dhidi ya kila ukutaunaojitokeza,
And upon every lofty tower, and upon every fortified wall;
16 na dhidi ya merikebu zote za Tarshishi, na dhidi ya vyombo vizuri vya meli.
And upon all the ships of Tarshish, and upon all delightful imagery.
17 Kiburi cha mwanaume kitashushwa chini, na kiburi cha wanaume kitaanguka; Yahwe mwenyewe atainuliwa siku hiyo.
And the loftiness of man shall be bowed down, and the haughtiness of men shall be brought low; and the LORD alone shall be exalted in that day.
18 Sanamu zote zitaondolewa.
And the idols shall utterly pass away.
19 Wanaume wataingia kwenye mapango ya miamba na mashimo ya aridhi, kwa hofu ya Yahwe, na kwa utukufu wa enzi yake, atakapo nyanyuka na kuitisha nchi.
And men shall go into the caves of the rocks, and into the holes of the earth, from before the terror of the LORD, and from the glory of His majesty, when He ariseth to shake mightily the earth.
20 Siku hiyo watu watatupa sanamu zao za fedha na dhahabu ambazo wametengeneza wenyewe kwa ajili ya kuabudia - watazitupa mbali kwa fuko na popo.
In that day a man shall cast away his idols of silver, and his idols of gold, which they made for themselves to worship, to the moles and to the bats;
21 Watu wataingia kwenye miamba kupitia mwanya itakuwa miamba chakavu, kwa hofu ya Yahwe na utukufu wa enzi yake,
To go into the clefts of the rocks, and into the crevices of the crags, from before the terror of the LORD, and from the glory of His majesty, when he ariseth to shake mightily the earth.
22 usimwaminia mtu, ambae pumzi yake inatokea katika pua yake, ni kwa kiasi gan?
Cease ye from man, in whose nostrils is a breath; for how little is he to be accounted!

< Isaya 2 >