< Isaya 2 >

1 Vitu ambavyo Isaya mtoto Amozi alivijua katika maono, kuhusu Yuda na Yerusalemu.
Hiche hi Amoz chapa Isaiah-in Judah le Jerusalem chungchanga mu anei chu ahi.
2 Na itakuwa katika siku za mwisho, ule mlima wa nyumba ya Yahwe itaanzishwa kama mlima mrefu zaidi, na utanyanyuliwa juu ya vilima, na mataifa yote yatakusanyika pale.
Ninunung lam tengleh Pakai molsang chu molsang jouse sanga achungnungpen’a hung kitungdoh ding ahi’n, hicheteng chuleh namtin vaipi jouse hiche molsang chunga chu hungkhom diu ahi.
3 Watu wengi watakuja na kusema, ''Njooni, twendeni juu ya mlima wa Yahwe, kwenye nyumba ya Mungu wa Yakobo, kwa hiyo anaweza kutufundisha baadhi ya njia zake na tunaweza kutembea katika njia zake.'' Nje ya Sayuni itaenda sheria na neno la Yahwe litatoka Yerualemu.
Namtin vaipi hungkhom diu chule hitia hi aseidiu ahi: “Hungun gakaltou-u hite Pakai molsang, Jacob Pathen in'ah; chuteng Ama’n Ama lampi dih chu eihil diu, Ama lampi dih-a chu lam ijotthei diu ahi. Ajeh chu Zion’a kon’a Pakai danthu hung potdoh ding Jerusalema kon’a Pakai thusei hung potdoh ding ahi.
4 Atahukumu kati ya mataifa na atatoa maamuzi kwa watu wote; watayapiga nyungo mapanga yao kuwa majembe, na mikiku yao kama ya kukatia ndoano; taifa halitanyanyua upanga juu ya taifa lingine, na wala hawata jiandaa kwa vita tena.
Pakai chun namtin vaipi kah-a thudih-a thu ahin tanding chule chitin namtin dinga thutanlhahna ahin nei ding, mihon achamjem’u tuchaa akikhen diu, atengchau jong kangkuiya akikhen diu, chutengle nam khatnin nam khat dounaa hem le thal alaplou heldiu ahitai. Chule galbol ding dan kihilna umtalou ding ahi.
5 Nyumba ya Yakobo, njooni, na tutembee katika mwanga wa Yahwe.
Hunguvin Jacob son le pahte, Pakai vah noiya lamjotnute.
6 Kwa maana mmewatekeleza watu wenu, nyumba ya Yakobo, wamejazwa na desturi kutoka mashariki na dalili kutokea kama mfilisti, na watasalimiana kwa mikono na wana wa wageni.
Ajeh chu Pakaiyin amite Jacob son le pahho hi ananungsunsa ahitai. Ajehchu niso lama konin Philistine mite bangin mitphel doithemin adimuvin, gamchommiho toh akhut-u abengkhomun ahi.
7 Nchi yao imejaa fedha na dhahabu, na hakuna mipaka katika utajiri wao; nchi yao pia imejaa farasi, wala hakuna mipika ya magari.
Israel chu Sana dangka’n adimsetne. Agouthilhou jong beitih aumtapoi. Galmanchah bulhingsetnin akikoiyun, sakol kangtalai jong bulhingsetnin aneitauve.
8 Nchi yao pia imejaa sanamu; wanaabu utengenezaji wa mikono yao wenyewe, vitu aambavyo vidole vyao vimetengeneza.
Agamsunguvah milimdoi adimsetnin akhut-uva akisemthu ahouvun ahi.
9 Watu watainama chini, na kila mmoja atanguka chini; hivyo basi msiwanyanyue juu.
Hijeh a chu amaho hi kineosah le suhnema umdiu ahi. Pakaiyin bailamtaha achonsetnau amoh ngaidam jeng ding ahipoi.
10 Nendeni maeneo yenye miamba na mjifiche kwenye aridhi kwa hofu ya Yahwe na kwa utukufu wa enzi yake.
Songko sunglamah kitholluttan. Pakai agimneina le aloupina kidanga kon chun kiseldoh-in.
11 Mtu anaye tazama kwa kujivuna atashushw chini, na kiburi cha watu kitashushwa chini, na Yahwe mwenyewe atainuliwa siku hiyo.
Nakiloupisahna-a kon suhnema naum’a, Pakai bou chu choisanga aum ding nikho chu hung lhung ding ahi.
12 Maana kutakuwa na siku ya Yahwe wa majeshi juu ya yeyote anayejigamba na kujiinua juu, na dhidi ya yeyote mwenye kiburi na atashushwa chini-
Chuniteng chuleh Hatchungnung Pakaiyin mikithupisahho chu gotna apeh ding, vutvai khuhella avohlhuh ding ahi.
13 na dhidi ya mierezi ya Lebanoni iliyo juu na kupandishwa juu, na dhidi ya mialoni ya Bashani.
Lebanon’a cedar thingsangho aphuhlhuh ding, chule Bashan gangpi thingho jong aphuhlhuh ding ahi.
14 Siku hiyo ya Yahwe wa majeshi itakuwa dhidi ya milima yote mirefu, na dhidi ya vilima vyote vilivyonyanyuliwa juu,
Molsang jouse jong suhchama umding,
15 na dhidi ya minara mirefu, na dhidi ya kila ukutaunaojitokeza,
Insong le kulbang jouse jong loichima umding ahi.
16 na dhidi ya merikebu zote za Tarshishi, na dhidi ya vyombo vizuri vya meli.
Chule Ama’n kong-innei thupitahho jong asuhmang ding,
17 Kiburi cha mwanaume kitashushwa chini, na kiburi cha wanaume kitaanguka; Yahwe mwenyewe atainuliwa siku hiyo.
Mihem kiloupisahna kisunem ding, chule mihem kichapousahna jong suhnema umding, hiche thupi tan nikho teng chuleh Pakai jengseh bou choisanga um ding ahi.
18 Sanamu zote zitaondolewa.
Milim semthu jouse kisumang ding ahi.
19 Wanaume wataingia kwenye mapango ya miamba na mashimo ya aridhi, kwa hofu ya Yahwe, na kwa utukufu wa enzi yake, atakapo nyanyuka na kuitisha nchi.
Ama leiset hotling dinga ahung kipatdoh tengleh mihemte songko sung dunga lut diu, leiko sunga jong lut diu; Pakai gimneina le loupina kidanga kon’a kiselmang diu ahi.
20 Siku hiyo watu watatupa sanamu zao za fedha na dhahabu ambazo wametengeneza wenyewe kwa ajili ya kuabudia - watazitupa mbali kwa fuko na popo.
Hiche thutan nikho teng chuleh asanau le sum-enga kisem ahou diuva apathenhou chu adalhah diu, juchate le bahho masanga aselhah-uva adalhahpeh-uva,
21 Watu wataingia kwenye miamba kupitia mwanya itakuwa miamba chakavu, kwa hofu ya Yahwe na utukufu wa enzi yake,
Songpi kosung dunga kithollut diu, chule songpi kikah dunga jong lutnuva, Pakai lal loupina le agimneina-a kon’a kiselmang diu ahi leiset hotling dinga Pakai ahung kipatdoh teng tah chuleh.
22 usimwaminia mtu, ambae pumzi yake inatokea katika pua yake, ni kwa kiasi gan?
Mihemah kingai hih helin. Haina-hu kila maimai tobanga tanloi jeng thei ahibou-uve. Ichanpia phachom jou diu ham?

< Isaya 2 >