< Isaya 18 >

1 Ole kwa nchi ya wezi wa mabawa, iliyoko mbali kupitia mito ya Ethiopia;
¡Ay de la tierra del zumbido de alas que está a la otra parte de los ríos de Etiopía;
2 wanowatuma mabalozi wao kwa kupitia bahari, na vyombo vya majani juu ya maji. Nendeni enyi wajumbe wepesi, kwa watu warefu na laini waishio kwenye nchi, kwa watu wanogopa mbali na karibu, taifa lenye nguvu, wakanyagao watu, ambao mito imegawanya nchi yao.
que envía embajadores por el mar y en barcos de papiro sobre las aguas! “Volved, veloces mensajeros, al pueblo de alta estatura y bruñida piel, al pueblo temible desde su principio y sin cesar, a la nación vigorosa e imperiosa, cuya tierra surcan los ríos.”
3 Watu wote wakaao duniani nao wakaao katika nchi, pale ishara itakaponyanyuliwa juu ya milima, angalia; na sikilizeni mbiu itakapopulizwa.
Moradores todos del orbe, y habitantes de la tierra, cuando se alce la bandera sobre los montes, mirad, y cuando se toque la trompeta, escuchad.
4 Yahwe asema hivi, ''nitachunguza kimyakimya kutoka nyumbani kwangu, kama kupika joto kwenye jua, na kama ukungu kwenye joto la mavuno.
Porque así me ha dicho Yahvé: “Me quedaré tranquilo, y miraré desde mi morada, como el calor sereno de la plena luz (del sol), como una nube de rocío en el ardor de la siega.”
5 Kabla ya mavuno, pale kipindi cha maua kinapoisha, na maua yako tayari kuwa zabibu. Atakata matawi kwa kupogoa ndoano, na atakatiwa chini na kuchukua matawi yaliyotawanyika.
Pues antes de la siega, cuando haya caído la flor, y los restos de la flor se estén convirtiendo en uva madura, corta Él las vides con la podadera, quita las ramas y las arranca.
6 Wataachwa kwa pamoja maana ndege wa milimani na wanyama wa duniani. Ndege watatua kwao majira ya joto, na wanyama wote watakuwa kwao kipindi cha baridi.''
Serán dejadas juntas a merced de las aves rapaces de los montes, y de las bestias de la tierra. Las aves de rapiña pasarán sobre ellos el verano, y todas las bestias del campo el invierno.
7 Kwa mda huo kodi italetwa kwa Yahwe wa majeshi kwa watu warefu na laini, kwa watu wanohofia umbali na ukaribu, taifa imara na kukanyagwa chini, ambayo nchi yao imegawanjwa na mito, Kwa sehemu ya jina la Yahwe wa majeshi, mpaka mlima Sayuni.
En aquel tiempo será traída una ofrenda a Yahvé de los ejércitos, de parte de un pueblo de alta estatura y bruñida piel, de un pueblo temible desde su principio y sin cesar, de una nación vigorosa e imperiosa, cuya tierra surcan los ríos, al lugar del Nombre de Yahvé de los ejércitos, al monte Sión.

< Isaya 18 >