< Isaya 17 >

1 Tamko kuhusu Damaskasi.
L’oracle touchant Damas. Voici, Damas va cesser d’être une ville, et elle sera un monceau de ruines.
2 Miji ya Aroera itaharibiwa. Patakuwa na nafasi kwa ajili ya kutunzia mifugo, na hakuna hatakayeizuia.
Les villes d’Aroër sont abandonnées, elles seront pour les troupeaux; ils y coucheront, et il n’y aura personne qui les effraie.
3 Miji ilioachwa itatoweka kutoka Efraimu, ufalme katuka Damskasi, na walobaki Aramu-watakuwa kama utukufu wa watu wa Israeli-Hili ni tamko la Yahwe wa majeshi.
Et la forteresse a cessé en Éphraïm, et le royaume à Damas; et ce qui reste de la Syrie sera comme la gloire des fils d’Israël, dit l’Éternel des armées.
4 Itakuwa siku hiyo utukufu wa Yakobo utapungua, utakuwa mwembamba na kunona kwa mwili wake utapungua.
Et il arrivera, en ce jour-là, que la gloire de Jacob sera affaiblie, et que la graisse de sa chair sera amaigrie.
5 Itakuwa kama mvuna ikusanyavyo mavuno, na mkono wake huvuna maganda ya mazao. Itakuwa kama mtu atoae maganda ya mavuno katika bonde la Refaimu.
Et il en sera comme quand le moissonneur récolte les blés, et que son bras moissonne les épis; il en sera comme quand on ramasse des épis dans la vallée de Rephaïm.
6 Masalia yataachwa, hata hivyo, mti wa mzabibu utatingishwa: Mizeituni miwili au mitatu iliyo juu sana matawi yake yako juu, manne au matano katka tawi la juu katika mti unaozaa-hili ni tamko la Yahwe, Mungu wa Israeli.
Mais il y restera un grappillage, comme quand on secoue l’olivier: deux, trois baies au plus haut sommet, quatre, cinq dans ses branches fruitières, dit l’Éternel, le Dieu d’Israël.
7 Siku hiyo watu watawangalia Muumba wake, na macho yatamuangalia Mtakatifu wa Israeli.
En ce jour-là, l’homme regardera vers celui qui l’a fait, et ses yeux verront le Saint d’Israël;
8 Hawatangalia madhabahu, kazi za mikono yao, wala hataangalia kile kinachofanywa na vidole vyao, nguzo za Ashera na picha ya jua.
et il ne regardera pas aux autels, œuvre de ses mains, et il ne tournera pas son regard vers ce que ses doigts ont fait, ni vers les ashères, ni vers les colonnes consacrées au soleil.
9 Siku hiyo miji yenye nguvu itakuwa kama msitu uliotelekezwa na juu ya kilele cha mlima, na palipo achwa kwa sababu ya wana wa Israeli patakuwa ukiwa.
En ce jour-là ses villes fortifiées seront comme les lieux délaissés d’un bois épais et d’un sommet, qui ont été délaissés devant les fils d’Israël; et ce sera une désolation.
10 Maana mmemsahau Mungu wa wakovu wenu, na umeudharau mwamba wa nguvu zako. Hivyo basi umeotesha miti mizuri, na mizabibu mizuri iliyotoka ugenini,
Car tu as oublié le Dieu de ton salut, et tu ne t’es pas souvenue du rocher de ton lieu fort; c’est pourquoi tu planteras des plantations agréables, et tu les sèmeras de ceps étrangers;
11 Siku hiyo uliootesha na fensi na kulima. Mbegu zako zitaota mapema na kukua, lakini mavuno yatashindikana siku hiyo itakuwa huzuni na kukata tamaa.
le jour même où tu planteras, tu feras croître, et le matin tu feras pousser ta semence; [mais] au jour de l’entrée en possession, la moisson sera un monceau, et la douleur, incurable.
12 Ole! Watu wenye ghasia, Kishindo chake ni kama mngurumo wa bahari, na kasi ya mataifa, wananguruma kama ngurumo ya maji mengi!
Malheur à la multitude de peuples nombreux! – ils bruient comme le bruit des mers, – et au tumulte des peuplades! ils s’émeuvent en tumulte comme le tumulte de grosses eaux.
13 Mataifa yataunguruma kama maji mengi yaendao kasi, lakini Mungu atawakemea.
Les peuplades s’émeuvent en tumulte comme les grandes eaux s’émeuvent en tumulte; mais [Dieu] les reprendra, et elles fuiront au loin, et elles seront chassées comme la balle des montagnes devant le vent, et comme le chaume devant le tourbillon:
14 Watakimbia mbali sana na watafukuzwa kama pumba kwenye mlima mbele ya upepo, kama mavumbi yazungukayo kwenye dhoruba. Wakati wa usiku, ona, hofu! Na kabla ya alfajiri watakwenda; hili ndilo eneo la wale waliotupora, na wale wanaotunyang'anya mali zetu.
au temps du soir, voici l’épouvante; avant le matin, elles ne sont plus. Tel est le partage de ceux qui nous dépouillent, et le sort de ceux qui nous pillent.

< Isaya 17 >