< Isaya 15 >

1 Tamko kuhusu Moabu, Kweli, kwa usiku mmoja Ari ya Moabu imeharibiwa kabisa na kuangamizwa; kweli, kwa usiku mmoja Kira ya Moabu itaharibiwa na kuangamizwa.
The burden of Moab [From father]: for in a night, Ar of Moab [From father] is laid waste, and brought to nothing; for in a night Kir of Moab [From father] is laid waste, and brought to nothing.
2 Wamenda juu hekaluni, watu wa Diboni wamenda juu kuomboleza; Moabu wanaomboleza juu ya Nebo na juu ya madeba. Vichwa vyao vimenyolewa viko wazi na na ndevu zao zimenyolewa.
They have gone up to Bayith, and to Dibon, to the high places, to weep. Moab [From father] wails over Nebo and over Medeba. Baldness is on all of their heads. Every beard is cut off.
3 Wamevaa nguo za magunia katka mitaa yao; juu ya dari zao na kila kona ya mitaa yao, kuyeyuka kwa kumwaga machozi.
In their streets, they clothe themselves in sackcloth. In their streets and on their housetops, everyone wails, weeping abundantly.
4 Hishiboni na Elealehi wanalia wakihitaji msaada; Sauti zao zinasikika mpaka Jahazi. Hivyo basi vijana wa vita wa Moabu wanalia wakihitaji msaada; wanatetemeka wao wenyewe.
Heshbon cries out with Elealeh. Their voice is sh'ma ·heard obeyed· even to Jahaz. Therefore the armed men of Moab [From father] cry aloud. Their souls tremble within them.
5 Moyo wangu unalia juu ya Moabu; watuhumiwa wamekimbilia Zoari na Elgathi Shelishiyahi. Wanapaa juu ya Luhithi wakilia; katika barabara ya kwenda Horonaimu wanapiga kelele ole juu ya uharibifu.
My heart cries out for Moab [From father]! Her nobles flee to Zoar [Small], to Eglath Shelishiyah; for they go up by the ascent of Luhith with weeping; for on the way to Horonaim, they raise up a cry of destruction.
6 Maji ya Nimrimu yamekauka; majani yamepooza na majani yanyochikia yanakufa; hakuna ukijani hata kidogo.
For the waters of Nimrim will be desolate; for the grass has withered away, the tender grass fails, there is no green thing.
7 Hivyo basi vitu vingi vimekuwa na hifadhi wameipeleka juu ya kijito maarufu.
Therefore they will carry away the abundance they have gotten, and that which they have stored up, over the brook of the willows.
8 Kilio kimezunguka katika himaya ya Moabu; malalamiko yamefika hata Eglaimu na Beer-Elimu.
For the cry has gone around the borders of Moab [From father]; its wailing to Eglaim, and its wailing to Beer Elim.
9 Maana maji ya Dimoni imejaa damu; Simba atawavamia wale waliokimbia kutoka Moabu pia na walbakia katika nchi.
For the waters of Dimon are full of blood; for I will bring yet more on Dimon, a lion on those of Moab [From father] who escape, and on the remnant of the land.

< Isaya 15 >