< Isaya 12 >

1 Siku hiyo utasema, ''Nitakushukuru wewe, Yahwe. Japo ulikuwa na hasira na mimi, laana yako imeondoka mbali, na umenifariji mimi,
و در آن روز خواهی گفت که «ای خداوند تو را حمد می‌گویم زیرا به من غضبناک بودی اما غضبت برگردانیده شده، مراتسلی می‌دهی.۱
2 Ona Bwana ni wokovu wangu; nitamwamini na sitakuwa na hofu, kwa Yahwe, ndio, Yahwe ni nguvu yangu na wimbo wangu. Amekuwa wokovu wangu.''
اینک خدا نجات من است بر اوتوکل نموده، نخواهم ترسید. زیرا یاه یهوه قوت وتسبیح من است و نجات من گردیده است.»۲
3 Kwa furaha utachota maji kwenye kisima cha wokovu.
بنابراین با شادمانی از چشمه های نجات آب خواهید کشید.۳
4 Siku hiyo utasema, ''Mshukuru Yahwe na ita jina lake; tangaza matendo yake miongoni mwa watu, tangaza jina lake limeinuliwa.
و در آن روز خواهید گفت: «خداوند راحمد گویید و نام او را بخوانید و اعمال او را درمیان قوم‌ها اعلام کنید و ذکر نمایید که اسم اومتعال می‌باشد.۴
5 Mwiimbie Yahwe, maana ametenda matendo yaliotukuka; acha hili lijulikane dunia nzima.
برای خداوند بسرایید زیراکارهای عظیم کرده است و این در تمامی زمین معروف است.۵
6 Lia kwa nguvu na piga kelele kwa furaha, enyi wakazi wa Sayuni, maana katikati yenu ni mtakatifu wa Israeli.
‌ای ساکنه صهیون صدا رابرافراشته، بسرای زیرا قدوس اسرائیل در میان توعظیم است.»۶

< Isaya 12 >