< Isaya 12 >

1 Siku hiyo utasema, ''Nitakushukuru wewe, Yahwe. Japo ulikuwa na hasira na mimi, laana yako imeondoka mbali, na umenifariji mimi,
Und du wirst sprechen an jenem Tage: Ich bekenne Dich, Jehovah, denn Du zürntest mir; Dein Zorn hat sich zurückgewandt, und Du hast mich getröstet.
2 Ona Bwana ni wokovu wangu; nitamwamini na sitakuwa na hofu, kwa Yahwe, ndio, Yahwe ni nguvu yangu na wimbo wangu. Amekuwa wokovu wangu.''
Siehe, der Gott meines Heils! Ich will vertrauen und will nicht schaudern, denn meine Stärke und Gesang ist Jah Jehovah, und Er ward mir zum Heil.
3 Kwa furaha utachota maji kwenye kisima cha wokovu.
Und Wasser werdet ihr schöpfen mit Freudigkeit aus dem Brunnquell des Heils;
4 Siku hiyo utasema, ''Mshukuru Yahwe na ita jina lake; tangaza matendo yake miongoni mwa watu, tangaza jina lake limeinuliwa.
Und werdet sagen an jenem Tag: Bekennet Jehovah, rufet Seinen Namen an! Machet kund unter den Völkern Seine Taten! Laßt gedenken, daß erhaben ist Sein Name!
5 Mwiimbie Yahwe, maana ametenda matendo yaliotukuka; acha hili lijulikane dunia nzima.
Singt Psalmen dem Jehovah; denn Hohes hat Er getan. Kund ist es auf der ganzen Erde!
6 Lia kwa nguvu na piga kelele kwa furaha, enyi wakazi wa Sayuni, maana katikati yenu ni mtakatifu wa Israeli.
Laß es ertönen und juble, Zions Bewohnerin; denn groß in deiner Mitte ist der Heilige Israels.

< Isaya 12 >