< Isaya 10 >

1 Ole wao watimizao sheria zisizo za haki na waandikao sheria zisizo na haki.
¡Ay de los que establecen leyes inicuas, y de los que ponen por escrito las injusticias decretadas,
2 Wanawanyima wahitaji haki yao, wanawaibia watu wangu walio masikini haki zao, wajane mateka wao, na kuwafanya waliofiwa na baba zao mawindo yao!
para apartar del tribunal a los desvalidos, y privar de su derecho a los pobres de mi pueblo, para que las viudas sean su presa y los huérfanos su botín.
3 Hutafanya nini siku ya hukumu pale siku ya uaribifu itakapokuja kutoka mbali, utakimbilia msaada kwa nani? na utauacha utajiri wako wapi?
¿Qué haréis en el día del castigo, en la desolación que viene de lejos? ¿A quién acudiréis en busca de auxilio? Y ¿dónde dejaréis vuestra gloria,
4 Hakuna kitakachobaki, utaota miongoni mwa wafungwa au kuanguka miongoni mwa wauwaji. Katika mambo yote haya, hasira yake haijapungua; badala yake mkono wake ameunjoosha hata sasa.
para no doblar la cerviz entre los prisioneros y no caer entre los muertos? Con todo esto no se aparta su ira, antes su mano está aún extendida.
5 Ole kwa watu wa Asiria klabu ya asira yangu, fimbo ya asira yangu!
¡Ay de Asiria, vara de mi ira! el bastón en su mano es (instrumento de) mi furor.
6 Nimemtuma juu ya taifa lenye kiburi na juu ya watu waliobeba uwingi wa hasira. Ninaamuru chukua nyara, chukua mawindo, na kuwakanyaga wao kama matope mitaani.
Contra una nación impía le enviaré, le daré orden de ir contra el pueblo, objeto de mi ira, para saquearlo y llevarse el botín, para pisotearlo como al lodo de las calles.
7 Lakini hichi sicho alichomaanisha, wala sivyo afikiriavyo. Maana katika moyo wake ni kuharibu na kuondoa mataifa.
Pero él no piensa así, y su corazón no tiene tal concepto; pues su corazón piensa en destruir y exterminar naciones en gran número.
8 Maana amesema, '' wakuu wote sio wafalme?
Porque dice: ¿No son todos mis príncipes reyes?
9 Je? kalno si kama Karkemish? Je Hamathi si kama Arpadi? Je Samaria si kama Demeski?
¿No tuvo Calnó la misma suerte que Carquemís, Hamat la misma que Arpad, y Samaria la misma que Damasco?
10 Kama mikono yangu imeshinda falme za ibada ya sanamu, ikiwa sanamu zao za kuchonga ni bora kuliko sanamu za Yerusalemu
Como mi mano halló los reinos de los ídolos, cuyas imágenes eran más numerosas que las de Jerusalén y de Samaria,
11 na Kama nilivyofanya kule Samaria na sanamu zake zisizo na maana, je sitaweza kufanya hivyo Yerusalemu na sanamu zake?''
y como he hecho con Samaria y sus ídolos, ¿no podré hacer lo mismo con Jerusalén y sus simulacros?
12 Pindi ambapo Bwana alipoimaliza kazi kwenye mlima Sayuni na juu ya Yerusalemu, nitayaadhibu maneno ya moyo wenye kiburi ya mfalme wa Asiria na majivuno yake.
Pero acaecerá que cuando el Señor haya cumplido toda su obra en el monte Sión y en Jerusalén, castigará las empresas orgullosas del rey de Asiria, y la arrogancia de sus altivos ojos,
13 Kwa maana amesema, ''Kwa nguvu zangu na kwa hekima yangu niliyoifanya. na Nimeelewa, na nimeondoa mipaka ya watu. nimewaibia akiba yao, ni kama nilioileta chini kwa wenyeji wake.
porque él dice: “Con el poder de mi mano he hecho esto, y con mi sabiduría, pues soy inteligente. He mudado los límites de los pueblos y saqueado sus tesoros; y como un héroe he derribado a los sentados (sobre tronos).
14 Na mkono wangu umezitoa mali za mataifa kama vile mtu ayakusanyavyo mayai, kama nilivyokusanya dunia yote. Hakuna atakayeperusha mabawa yake au kufungua midomo yake au kulia.''
Mi mano ha hallado, como un nido, las riquezas de los pueblos; y como quien recoge los huevos abandonados, así me he apoderado de toda la tierra: y no hubo quien moviese las alas ni abriese el pico para piar.”
15 Je shoka lijisifu lenyewe juu ya mtu anayelitumia? Je litajisifia lenyewe zaidi ya yule anaelitumia kukatia? Au fimbo imuinuae yeye ambaye si mti.
¿Acaso el hacha se gloría contra aquel que corta con ella? ¿o se ensoberbece la sierra contra aquel que la maneja? Como si la vara dirigiera al que la alza, como si el bastón se levantase a sí mismo y no fuese leño.
16 Hivyo basi Yahwe wa majeshi atatuma wadhaifu miongoni mwa wasomi wa kijeshi; na chini ya utukufu na kuteketea kama kuteketea kwa moto.
Por eso el Señor, Yahvé de los ejércitos, enviará la extenuación entre sus robustos, y por debajo de su gloria arderá un fuego como fuego de incendio.
17 Mwanga wa Isreli utakuwa moto, na Mtakatifu wake atakuwa ni moto unaoteketeza na kula mbigiri siku moja.
La Luz de Israel será el fuego, y su Santo la llama, y devorará las zarzas y espinas de (Asiria) en un solo día.
18 Yahwe atauteketeza utukufu wa msitu wake na shamba lake linalostawi, vyote nafsi na mwili; itakuwa kama vile mgonjwa apotezae maisha yake.
La gloria de su bosque y de su campo fructífero será consumida completamente así como se consume un enfermo.
19 Mabaka ya miti ya misitu itakuwa michache sana, ambayo mtoto anaweza kuyahesabu.
Y los árboles que sobraren de su bosque, serán tan pocos en número, que un niño podrá hacer su censo.
20 Siku hiyo, mabaki ya Israeli, familia ya Yakobo ambayo imekimbia, hawatategemea kushindwa, lakini watamtegemea Yahwe, Mtakatifu wa Israeli.
En aquel día los que quedaren de Israel y los salvados de la casa de Jacob, no volverán más a apoyarse en aquel que le hirió, sino que se apoyarán con fidelidad en Yahvé, el Santo de Israel.
21 Mabaki ya Yakobo yatarudi kwa Mungu mwenye nguvu.
Se convertirá un resto, un resto de Jacob, al Dios fuerte.
22 Kwa kupitia watu wako, Israeli ni kama mchanga kama pwani ya bahari, Mabaki yao tu ndio yatakayorudi. Uaribifu wa amri, na mahitaji ya wingi wa haki.
Pues aunque tu pueblo, oh Israel, fuese como las arenas del mar, (solo) un resto se convertirá. La destrucción está decretada, desbordará la justicia.
23 Maana Bwana wa majeshi, anakaribia kuleta uharibifu utachukua nafasi kubwa kitika nchi.
Pues el Señor, Yahvé de los ejércitos, va a cumplir la destrucción decretada en toda la tierra.
24 Hivyo basi Bwana Yahwe wa majeshi anasema, ''watu wangu mhishio Sayuni, msiwaogope watu wa Asiria. Atawangamiza nyie kwa fimbo na atawanyua wafanyakazi juu yenu, kama ilivyotokea kwa Wamisri.
Por lo cual así dice el Señor, Yahvé de los ejércitos: “Pueblo mío, que habitas en Sión, no temas al asirio, que (ahora) te hiere con la vara y levanta contra ti su bastón a la manera de Egipto;
25 Msimuogope, kwa mda mfupi hasira yangu itakwisha juu yenu, na hasira yangu italeta uharibifu.''
porque dentro de muy poco tiempo llegará a su colmo mi ira, por cuanto mi furor los destruirá.
26 Hivyo Yahwe wa majeshi atapiga mjeledi juu yenu kama vile alivyoishinda Midiani karibu na mwamba Orebu. Na atanyanyua fimbo yake juu ya bahari kama alivyofanya kule Misri.
Yahvé de los ejércitos suscitará contra él un azote como cuando hirió a Madián, junto a la peña de Oreb; y (levantará) su vara sobre el mar, como la levantó contra Egipto.
27 Siku hiyo mzigo wake utanyanyuliwa kwenye mabeba yako na nira katika shingo yako, nayo nira itaharibiwa kwa sababu ya unene.
En aquel día será quitada su carga de tu hombro, y su yugo de sobre tu cerviz; se pudrirá el yugo a fuerza de grasa.
28 Adui amekuja Aiathi na amepitia Migroni; katika Michmashi ameyahifadhi mahitaji yake.
Llegó ya (el asirio) a Ayat; pasa a Migrón; en Micmás deja su bagaje.
29 Wamevuka juu ya njia na wamepunzika huko Geba. Rama inatetemeka na Gibea ya Sauli imekimbia.
Han pasado el desfiladero y plantado sus reales en Geba; Rama tiembla, Gabaá de Saúl se pone en fuga.
30 Lia kwa sauti, ewe binti wa Galimu! sikiliza, Laishashi! Maskini Anathothi!
Lanza gritos, oh hija de Gallim; escucha, Laís; ¡ay de Anatot!
31 Madmena ni mkimbizi na mkazi wa Gebuni wamejikusanya wanakimbia kutafuta msada.
Madmená se dispersa, los habitantes de Gebim huyen.
32 Siku hizi za leo atasimulia huko Nobi na atatingisha mlima wa binti Sayuni, mlima wa Yerusalemu.
Hoy todavía hace alto en Nob, y levanta la mano contra el monte de la hija de Sión, contra el monte de Jerusalén.
33 Tazama, Bwana Yahwe wa majeshi atapunguza matawi kwa nguvu za kutisha; miti mirefu itakatwa chini, wanaojivuna wataangushwa.
Pero, he aquí que el Señor, Yahvé de los ejércitos, cortará con estrépito el ramaje, los más elevados (de sus árboles) serán derribados, y los sublimes serán abatidos.
34 Atang'oa vichaka vya msitu kwa shoka, Lebanoni na utukufu wake utaanguka.
La espesura del bosque será cortada a hierro, y el Líbano caerá por mano de un poderoso.

< Isaya 10 >