< Isaya 10 >

1 Ole wao watimizao sheria zisizo za haki na waandikao sheria zisizo na haki.
Woe to those who decree unrighteous decrees, and to the writers who write oppressive decrees;
2 Wanawanyima wahitaji haki yao, wanawaibia watu wangu walio masikini haki zao, wajane mateka wao, na kuwafanya waliofiwa na baba zao mawindo yao!
to deprive the needy of their rights, and to rob the poor among my people of mishpat ·justice·, that widows may be their plunder, and that they may make the orphans their prey!
3 Hutafanya nini siku ya hukumu pale siku ya uaribifu itakapokuja kutoka mbali, utakimbilia msaada kwa nani? na utauacha utajiri wako wapi?
What will you do in the day of visitation, and in the desolation which will come from afar? To whom will you flee for help? Where will you leave your kavod ·weighty glory·?
4 Hakuna kitakachobaki, utaota miongoni mwa wafungwa au kuanguka miongoni mwa wauwaji. Katika mambo yote haya, hasira yake haijapungua; badala yake mkono wake ameunjoosha hata sasa.
They will only bow down under the prisoners, and will fall under the slain. For all this his anger is not turned away, but his hand is stretched out still.
5 Ole kwa watu wa Asiria klabu ya asira yangu, fimbo ya asira yangu!
Alas Assyrian, the rod of my anger, the staff in whose hand is my indignation!
6 Nimemtuma juu ya taifa lenye kiburi na juu ya watu waliobeba uwingi wa hasira. Ninaamuru chukua nyara, chukua mawindo, na kuwakanyaga wao kama matope mitaani.
I will send him against a profane nation, and against the people who anger me will I give him a enjoin to take the plunder and to take the prey, and to tread them down like the mire of the streets.
7 Lakini hichi sicho alichomaanisha, wala sivyo afikiriavyo. Maana katika moyo wake ni kuharibu na kuondoa mataifa.
However he does not mean so, neither does his heart think so; but it is in his heart to destroy, and to cut off not a few nations.
8 Maana amesema, '' wakuu wote sio wafalme?
For he says, “Are not all of my princes kings?
9 Je? kalno si kama Karkemish? Je Hamathi si kama Arpadi? Je Samaria si kama Demeski?
Is not Calno like Carchemish? Is not Hamath like Arpad? Is not Samaria like Damascus [Bucket of blood]?”
10 Kama mikono yangu imeshinda falme za ibada ya sanamu, ikiwa sanamu zao za kuchonga ni bora kuliko sanamu za Yerusalemu
As my hand has found the kingdoms of the idols, whose engraved images exceeded those of Jerusalem [City of peace] and of Samaria;
11 na Kama nilivyofanya kule Samaria na sanamu zake zisizo na maana, je sitaweza kufanya hivyo Yerusalemu na sanamu zake?''
shall I not, as I have done to Samaria and her idols, so do to Jerusalem [City of peace] and her idols?
12 Pindi ambapo Bwana alipoimaliza kazi kwenye mlima Sayuni na juu ya Yerusalemu, nitayaadhibu maneno ya moyo wenye kiburi ya mfalme wa Asiria na majivuno yake.
Therefore it will happen that, when the Lord has performed his whole work on Mount Zion [Mountain ridge, Marking] and on Jerusalem [City of peace], I will punish the fruit of the willful proud heart of the king of Assyria [Level plain], and the insolence of his haughty looks.
13 Kwa maana amesema, ''Kwa nguvu zangu na kwa hekima yangu niliyoifanya. na Nimeelewa, na nimeondoa mipaka ya watu. nimewaibia akiba yao, ni kama nilioileta chini kwa wenyeji wake.
For he has said, “By the strength of my hand I have done it, and by my wisdom; for I have understanding: and I have removed the boundaries of the peoples, and have robbed their treasures. Like a valiant man I have brought down their rulers.
14 Na mkono wangu umezitoa mali za mataifa kama vile mtu ayakusanyavyo mayai, kama nilivyokusanya dunia yote. Hakuna atakayeperusha mabawa yake au kufungua midomo yake au kulia.''
My hand has found the riches of the peoples like a nest, and like one gathers eggs that are abandoned, have I gathered all the earth. There was no one who moved their wing, or that opened their mouth, or chirped.”
15 Je shoka lijisifu lenyewe juu ya mtu anayelitumia? Je litajisifia lenyewe zaidi ya yule anaelitumia kukatia? Au fimbo imuinuae yeye ambaye si mti.
Should an ax brag against him who chops with it? Should a saw exalt itself above him who saws with it? As if a rod should lift those who lift it up, or as if a staff should lift up someone who is not wood.
16 Hivyo basi Yahwe wa majeshi atatuma wadhaifu miongoni mwa wasomi wa kijeshi; na chini ya utukufu na kuteketea kama kuteketea kwa moto.
Therefore the Lord, Adonai Tzva'ot [Yahweh Commander of heaven’s armies], will send among his fat ones leanness; and under his kavod ·weighty glory· a burning will be kindled like the burning of fire.
17 Mwanga wa Isreli utakuwa moto, na Mtakatifu wake atakuwa ni moto unaoteketeza na kula mbigiri siku moja.
The light of Israel [God prevails] will be for a fire, and his Holy One for a flame; and it will burn and devour his thorns and his briers in one day.
18 Yahwe atauteketeza utukufu wa msitu wake na shamba lake linalostawi, vyote nafsi na mwili; itakuwa kama vile mgonjwa apotezae maisha yake.
He will consume the kavod ·weighty glory· of his forest, and of his fruitful field, both soul and body. It will be as when a standard bearer faints.
19 Mabaka ya miti ya misitu itakuwa michache sana, ambayo mtoto anaweza kuyahesabu.
The remnant of the trees of his forest shall be few, so that a child could write their number.
20 Siku hiyo, mabaki ya Israeli, familia ya Yakobo ambayo imekimbia, hawatategemea kushindwa, lakini watamtegemea Yahwe, Mtakatifu wa Israeli.
It will come to pass in that day that the remnant of Israel [God prevails], and those who have escaped from the house of Jacob [Supplanter] will no more again lean on him who struck them, but shall lean on Adonai, the haKadosh Isra'el [the Holy One of God prevails], in truth.
21 Mabaki ya Yakobo yatarudi kwa Mungu mwenye nguvu.
A remnant will make teshuvah ·complete return·, even the remnant of Jacob [Supplanter], to the mighty God.
22 Kwa kupitia watu wako, Israeli ni kama mchanga kama pwani ya bahari, Mabaki yao tu ndio yatakayorudi. Uaribifu wa amri, na mahitaji ya wingi wa haki.
For though your people, Israel [God prevails], are like the sand of the sea, only a remnant of them will return. A destruction is determined, overflowing with righteousness.
23 Maana Bwana wa majeshi, anakaribia kuleta uharibifu utachukua nafasi kubwa kitika nchi.
For the Lord, Adonai Tzva'ot [Yahweh Commander of heaven’s armies], will make a full end, and that determined, throughout all the earth.
24 Hivyo basi Bwana Yahwe wa majeshi anasema, ''watu wangu mhishio Sayuni, msiwaogope watu wa Asiria. Atawangamiza nyie kwa fimbo na atawanyua wafanyakazi juu yenu, kama ilivyotokea kwa Wamisri.
Therefore the Lord, Adonai Tzva'ot [Yahweh Commander of heaven’s armies], says “My people who dwell in Zion [Mountain ridge, Marking], don’t be afraid of the Assyrian, though he strike you with the rod, and lift up his staff against you, as Egypt [Abode of slavery] did.
25 Msimuogope, kwa mda mfupi hasira yangu itakwisha juu yenu, na hasira yangu italeta uharibifu.''
For yet a very little while, and the indignation against you will be accomplished, and my anger will be directed to his destruction.”
26 Hivyo Yahwe wa majeshi atapiga mjeledi juu yenu kama vile alivyoishinda Midiani karibu na mwamba Orebu. Na atanyanyua fimbo yake juu ya bahari kama alivyofanya kule Misri.
Adonai Tzva'ot [Yahweh Commander of heaven’s armies] will stir up a scourge against him, as in the slaughter of Midian [Strife] at the rock of Oreb. His rod will be over the sea, and he will lift it up like he did against Egypt [Abode of slavery].
27 Siku hiyo mzigo wake utanyanyuliwa kwenye mabeba yako na nira katika shingo yako, nayo nira itaharibiwa kwa sababu ya unene.
It will happen in that day, that his burden will depart from off your shoulder, and his yoke from off your neck, and the yoke shall be destroyed because of the anointing oil.
28 Adui amekuja Aiathi na amepitia Migroni; katika Michmashi ameyahifadhi mahitaji yake.
He has come to Aiath. He has passed through Migron. At Michmash he stores his baggage.
29 Wamevuka juu ya njia na wamepunzika huko Geba. Rama inatetemeka na Gibea ya Sauli imekimbia.
They have gone over the pass. They have taken up their lodging at Geba. Ramah trembles. Gibeah of Saul [Asked for] has fled.
30 Lia kwa sauti, ewe binti wa Galimu! sikiliza, Laishashi! Maskini Anathothi!
Cry aloud with your voice, daughter of Gallim! Listen, Laishah! You poor Anathoth!
31 Madmena ni mkimbizi na mkazi wa Gebuni wamejikusanya wanakimbia kutafuta msada.
Madmenah is a fugitive. The inhabitants of Gebim flee for safety.
32 Siku hizi za leo atasimulia huko Nobi na atatingisha mlima wa binti Sayuni, mlima wa Yerusalemu.
This very day he will halt at Nob. He shakes his hand at the mountain of the daughter of Zion [Mountain ridge, Marking], the hill of Jerusalem [City of peace].
33 Tazama, Bwana Yahwe wa majeshi atapunguza matawi kwa nguvu za kutisha; miti mirefu itakatwa chini, wanaojivuna wataangushwa.
Behold, the Lord, Adonai Tzva'ot [Yahweh Commander of heaven’s armies], will lop the boughs with terror. The tall will be cut down, and the lofty will be brought low.
34 Atang'oa vichaka vya msitu kwa shoka, Lebanoni na utukufu wake utaanguka.
He will cut down the thickets of the forest with iron, and Lebanon will fall by the Mighty One.

< Isaya 10 >