< Hagai 1 >

1 Katika mwaka wa pili wa mfalme Dario, katika mwezi wa sita, siku ya kwanza ya mwezi, neno la Bwana likaja kwa kwa mkono wa nabii Haghai kwenda kwa gavana wa Yuda, Zerubabeli mwana wa Sheatieli na kuhani mkuu Joshua mwana wa Yehozadaki, kusema,
In year two of Darius the king in the month sixth on day one of the month it came [the] word of Yahweh by [the] hand of Haggai the prophet to Zerubbabel [the] son of Shealtiel [the] governor of Judah and to Joshua [the] son of Jehozadak the priest great saying.
2 “Bwana wa Majeshi asema: 'Hawa watu husema, “Si wakati wetu kuja au kujenga nyumba ya Jehova."””
Thus he says Yahweh of hosts saying the people this they have said not a time to come [the] time of [the] house of Yahweh to be rebuilt.
3 Tena neno la Bwana lilikuja kwa mkono wa nabii Haghai kusema,
And it came [the] word of Yahweh by [the] hand of Haggai the prophet saying.
4 “Je ni wakati kwenu wenyewe kuishi katika nyumba zilizokamilika, na wakati nyumba hii inaharibika?
¿ [does] a time [belong] to You you to dwell in houses your covered and the house this [is] desolate.
5 Kwa hiyo sasa Bwana wa Majeshi asema hivi: 'zitafakarini njia zenu!
And therefore thus he says Yahweh of hosts set heart your on ways your.
6 Mmepanda mbengu nyingi, lakini mkaleta mavuno kidogo; mnakula lakini hamshibi, mnakunywa lakini hamkujazwa na vinywaji. Mnavaa nguo lakini hampati joto wenyewe, na mtu wa mshahara hupata pesa na kuweka kwenye mfuko wenye mashimo tu!'
You have sown much and you have brought little you have eaten and not to satiety you have drunk and not to become drunk you have dressed and not to be warm to him and the [one who] earns wages [is] earning wages to a bag pierced.
7 Bwana wa Majeshi asema haya:
Thus he says Yahweh of hosts set heart your on ways your.
8 'Zitafakarini njia zetu! Pandeni milimani, mkalete mbao, na mjenge nyumba yangu; na pia nitakuwa radhi na nitatukuzwa!' Asema Bwana.
Go up the hill country and you will bring wood and rebuild the house so I may take pleasure in it (so let me be honored *QK) he says Yahweh.
9 'Mmetazamia kupata vingi, lakini tazama! ulileta nyumbani vichache, nitavitowesha mbali! kwa nini?'- Hivi ndivyo anatamka Bwana wa Majeshi! kwa sababu nyumba yangu inakaa kwenye uharibifu, lakini kila mtu yuko radhi kwenye nyumba yake.
You turned to look to much and there! little and you brought [it] the house and I blew on it because of what? [the] utterance of Yahweh of hosts because of house my which it [is] desolate and you [are] running each to own house his.
10 Kwa sababu hii mbingu zimeshikiwa zisitoe umande kutoka kwako, na ardhi imeshikilia haizalishi.
There-fore on you they have withheld ([the] heavens *Lb) from dew and the land it has withheld produce its.
11 Nimekuita kutoka juu ya ardhi na juu ya milima, juu ya nafaka na juu ya mzabibu mpya, juu ya mafuta na juu ya mavuno ya ardhi, juu ya watu na juu ya wanyama, na juu ya kazi zote za mikono yako.
And I have summoned a drought on the land and on the mountains and on the grain and on the new wine and on the fresh oil and on [that] which it will bring forth the ground and on humankind and on the livestock and on all [the] toil of hands.
12 Kisha Zerubabeli mwana wa Shelitieli, na kuhani mkuu Yoshua mwana wa Yehozadaki, pamoja na mabaki ya watu, wakati sauti ya Bwana Mungu wao, na maneno ya Nabii Hagai, kwa sababu Bwana Mungu wao alikuwa amemtuma. Na watu wakaogopa uso wa Bwana.
And he listened Zerubbabel - [the] son of Shealtiel and Joshua [the] son of Jehozadak the priest great and all - [the] remnant of the people to [the] voice of Yahweh God their and to [the] words of Haggai the prophet just as he had sent him Yahweh God their and they were afraid the people of Yahweh.
13 Ndipo Hagai, mjumbe wa Bwana, akaongea ujumbe wa Bwana kwa watu na kusema,”'Niko pamoja na wewe!'- Hili ni tamko la Bwana.
And he said Haggai [the] messenger of Yahweh by [the] message of Yahweh to the people saying I [am] with you [the] utterance of Yahweh.
14 Bwana alitibua roho ya mkuu wa mkoa wa Yudah, Zerubabeli mwana wa Sheltieli, na roho ya kuhani mkuu Joshua mwana wa Yehozadaki, na roho ya masalia ya watu, kwa kiasi kwamba wakaenda kufanya kazi katika nyumba ya Bwana Mungu wa majeshi, Mungu wao.
And he stirred up Yahweh [the] spirit of Zerubbabel [the] son of Shealtiel [the] governor of Judah and [the] spirit of Joshua [the] son of Jehozadak the priest great and [the] spirit of all [the] remnant of the people and they came and they did work in [the] house of Yahweh of hosts God their.
15 katika siku ya ishirini na Mwezi wa sita, katika mwaka wa pili wa utawala wa Mfalme Dario.
On day twenty and four of the month in the sixth [month] in year two of Darius the king.

< Hagai 1 >