< Hagai 1 >

1 Katika mwaka wa pili wa mfalme Dario, katika mwezi wa sita, siku ya kwanza ya mwezi, neno la Bwana likaja kwa kwa mkono wa nabii Haghai kwenda kwa gavana wa Yuda, Zerubabeli mwana wa Sheatieli na kuhani mkuu Joshua mwana wa Yehozadaki, kusema,
No ano segundo do rei Dario, no sexto mes, no primeiro dia do mes, veio a palavra do Senhor, pelo ministério do profeta Aggeo, a Zorobabel, filho de Sealtiel, príncipe de Judá, e a Josué, filho de Josadac, o sumo sacerdote, dizendo:
2 “Bwana wa Majeshi asema: 'Hawa watu husema, “Si wakati wetu kuja au kujenga nyumba ya Jehova."””
Assim fala o Senhor dos exércitos, dizendo: Este povo diz: Não é vindo o tempo, o tempo em que a casa do Senhor se edifique.
3 Tena neno la Bwana lilikuja kwa mkono wa nabii Haghai kusema,
Veio pois a palavra do Senhor, pelo ministério do profeta Aggeo, dizendo:
4 “Je ni wakati kwenu wenyewe kuishi katika nyumba zilizokamilika, na wakati nyumba hii inaharibika?
Porventura é para vós tempo de habitardes nas vossas casas entaboladas, e esta casa há de ficar deserta?
5 Kwa hiyo sasa Bwana wa Majeshi asema hivi: 'zitafakarini njia zenu!
Ora pois, assim diz o Senhor dos exércitos: aplicai os vossos corações aos vossos caminhos.
6 Mmepanda mbengu nyingi, lakini mkaleta mavuno kidogo; mnakula lakini hamshibi, mnakunywa lakini hamkujazwa na vinywaji. Mnavaa nguo lakini hampati joto wenyewe, na mtu wa mshahara hupata pesa na kuweka kwenye mfuko wenye mashimo tu!'
Semeiais muito, e recolheis pouco; comeis, porém não vos fartais; bebeis, porém não vos saciais; vestis-vos, porém ninguém fica quente; e o que recebe salário, recebe salário num saco furado.
7 Bwana wa Majeshi asema haya:
Assim diz o Senhor dos exércitos: aplicai os vossos corações aos vossos caminhos.
8 'Zitafakarini njia zetu! Pandeni milimani, mkalete mbao, na mjenge nyumba yangu; na pia nitakuwa radhi na nitatukuzwa!' Asema Bwana.
Subi ao monte, e trazei madeira, e edificai a casa, e dela me agradarei, e serei glorificado, diz o Senhor.
9 'Mmetazamia kupata vingi, lakini tazama! ulileta nyumbani vichache, nitavitowesha mbali! kwa nini?'- Hivi ndivyo anatamka Bwana wa Majeshi! kwa sababu nyumba yangu inakaa kwenye uharibifu, lakini kila mtu yuko radhi kwenye nyumba yake.
Olhastes para muito, mas eis que alcançastes pouco; e, quando o trouxestes a casa, eu lhe assoprei. Por que causa? disse o Senhor dos exércitos: por causa da minha casa, que está deserta, e cada um de vós corre à sua própria casa.
10 Kwa sababu hii mbingu zimeshikiwa zisitoe umande kutoka kwako, na ardhi imeshikilia haizalishi.
Por isso se cerram os céus sobre vós, para não darem orvalho e a terra detém os seus frutos.
11 Nimekuita kutoka juu ya ardhi na juu ya milima, juu ya nafaka na juu ya mzabibu mpya, juu ya mafuta na juu ya mavuno ya ardhi, juu ya watu na juu ya wanyama, na juu ya kazi zote za mikono yako.
Porque chamei secura sobre a terra, e sobre os montes, e sobre o trigo e sobre o mosto; e sobre o azeite, e sobre o que a terra produz: como também sobre os homens, e sobre os animais, e sobre todo o trabalho das mãos.
12 Kisha Zerubabeli mwana wa Shelitieli, na kuhani mkuu Yoshua mwana wa Yehozadaki, pamoja na mabaki ya watu, wakati sauti ya Bwana Mungu wao, na maneno ya Nabii Hagai, kwa sababu Bwana Mungu wao alikuwa amemtuma. Na watu wakaogopa uso wa Bwana.
Então ouviu Zorobabel, filho de Sealtiel, e Josué, filho de Josadac, sumo sacerdote, e todo o resto do povo a voz do Senhor seu Deus; e as palavras do profeta Aggeo, assim como o Senhor seu Deus o enviou; e temeu o povo diante do Senhor.
13 Ndipo Hagai, mjumbe wa Bwana, akaongea ujumbe wa Bwana kwa watu na kusema,”'Niko pamoja na wewe!'- Hili ni tamko la Bwana.
Então Aggeo, o embaixador do Senhor, na embaixada do Senhor, falou ao povo, dizendo: Eu sou convosco, diz o Senhor.
14 Bwana alitibua roho ya mkuu wa mkoa wa Yudah, Zerubabeli mwana wa Sheltieli, na roho ya kuhani mkuu Joshua mwana wa Yehozadaki, na roho ya masalia ya watu, kwa kiasi kwamba wakaenda kufanya kazi katika nyumba ya Bwana Mungu wa majeshi, Mungu wao.
E o Senhor suscitou o espírito de Zorobabel, filho de Sealtiel, príncipe de Judá, e o espírito de Josué, filho de Josadac, sumo sacerdote, e o espírito do resto de todo o povo, e vieram, e fizeram a obra na casa do Senhor dos exércitos, seu Deus,
15 katika siku ya ishirini na Mwezi wa sita, katika mwaka wa pili wa utawala wa Mfalme Dario.
Ao vigésimo quarto dia do sexto mes, no segundo ano do rei Dario.

< Hagai 1 >