< Hagai 1 >

1 Katika mwaka wa pili wa mfalme Dario, katika mwezi wa sita, siku ya kwanza ya mwezi, neno la Bwana likaja kwa kwa mkono wa nabii Haghai kwenda kwa gavana wa Yuda, Zerubabeli mwana wa Sheatieli na kuhani mkuu Joshua mwana wa Yehozadaki, kusema,
Iti maikadua a tawen a panagturay ni Dario a kas ari, iti umuna nga aldaw ti maika-innem a bulan, immay ti sao ni Yahweh babaen iti ima ni Haggeo a profeta, ti sao ket para iti gobernador ti Juda a ni Zerubbabel a putot a lalaki ni Salatiel ken para kenni Josue a kangatoan a padi a putot a lalaki ni Josadak ket kinunana:
2 “Bwana wa Majeshi asema: 'Hawa watu husema, “Si wakati wetu kuja au kujenga nyumba ya Jehova."””
“Kastoy ti kuna ni Yahweh a mannakabalin-amin: 'Kinuna dagitoy a tattao, “saan pay a dimteng ti tiempo nga ipatakdertayo ti balay ni Yahweh.”
3 Tena neno la Bwana lilikuja kwa mkono wa nabii Haghai kusema,
Isu nga immay ti sao ni Yahweh babaen iti ima ni Haggeo a profeta ket kinunana,
4 “Je ni wakati kwenu wenyewe kuishi katika nyumba zilizokamilika, na wakati nyumba hii inaharibika?
“Tiempo kadin nga agnaedkayo kadagiti nalpasen a balayyo idinto a nadadael daytoy a balay?
5 Kwa hiyo sasa Bwana wa Majeshi asema hivi: 'zitafakarini njia zenu!
Isu nga ita, kastoy ti ibagbaga ni Yahweh a mannakabalin-amin: 'Panunotenyo dagiti ar-aramidenyo!
6 Mmepanda mbengu nyingi, lakini mkaleta mavuno kidogo; mnakula lakini hamshibi, mnakunywa lakini hamkujazwa na vinywaji. Mnavaa nguo lakini hampati joto wenyewe, na mtu wa mshahara hupata pesa na kuweka kwenye mfuko wenye mashimo tu!'
Nagmulakayo iti adu a bukel ngem bassit ti apityo; mangankayo ngem saankayo a mabsog; uminomkayo iti arak ngem saankayo a mabartek. Agkaweskayo ngem saan a maimengan dagiti bagbagiyo, ken agur-urnong iti kuarta ti mangmangged tapno ipisokna laeng iti supot a napnoan ti abot”
7 Bwana wa Majeshi asema haya:
Kastoy ti ibagbaga ni Yahweh a Mannakabalin-amin: “Panunotenyo dagiti ar-aramidenyo!
8 'Zitafakarini njia zetu! Pandeni milimani, mkalete mbao, na mjenge nyumba yangu; na pia nitakuwa radhi na nitatukuzwa!' Asema Bwana.
Sumang-atkayo iti bantay, mangalakayo iti kayo, ket bangonenyo ti balayko; maragsakanakto iti daytoy ket maidayawakto!'.
9 'Mmetazamia kupata vingi, lakini tazama! ulileta nyumbani vichache, nitavitowesha mbali! kwa nini?'- Hivi ndivyo anatamka Bwana wa Majeshi! kwa sababu nyumba yangu inakaa kwenye uharibifu, lakini kila mtu yuko radhi kwenye nyumba yake.
'Nagsapulkayo iti adu ngem kitaenyo! Bassit ti naiyawidyo, ta pinatayab ko daytoy! Apay?'—daytoy ti pakaammo ni Yahweh a Mannakabalin-amin! 'Gapu ta nadadael ti balayko, idinto a maragragsakan ti amin a tao iti bukodna a balay.'
10 Kwa sababu hii mbingu zimeshikiwa zisitoe umande kutoka kwako, na ardhi imeshikilia haizalishi.
Gapu iti daytoy, ipaidam dagiti langit ti linna-aw kadakayo, ket ipaidam ti daga ti bungana.
11 Nimekuita kutoka juu ya ardhi na juu ya milima, juu ya nafaka na juu ya mzabibu mpya, juu ya mafuta na juu ya mavuno ya ardhi, juu ya watu na juu ya wanyama, na juu ya kazi zote za mikono yako.
Pinagtikagko dagiti daga ken dagiti bantay, dagiti bukel ken ti baro nga arak, ti lana ken ti apit ti daga, dagiti tattao ken narurungsot nga ayup, ken amin nga aramid dagiti imayo!'''
12 Kisha Zerubabeli mwana wa Shelitieli, na kuhani mkuu Yoshua mwana wa Yehozadaki, pamoja na mabaki ya watu, wakati sauti ya Bwana Mungu wao, na maneno ya Nabii Hagai, kwa sababu Bwana Mungu wao alikuwa amemtuma. Na watu wakaogopa uso wa Bwana.
Ket ni Zerubbabel a putot a lalaki ni Salatiel ken ni Josue a kangatoan a padi a putot a lalaki ni Josadak, ken amin a nabatbati kadagiti tattao ket nagtulnogda iti timek ni Yahweh a Diosda, ken kadagiti sasao ni Haggeo a profeta, gapu ta ni Yahweh a Diosda ti nangibaon kenkuana. Ket nagbuteng dagiti tattao iti rupa ni Yahweh.
13 Ndipo Hagai, mjumbe wa Bwana, akaongea ujumbe wa Bwana kwa watu na kusema,”'Niko pamoja na wewe!'- Hili ni tamko la Bwana.
Ket ni Haggeo, a mensahero, insaona ti mensahe ni Yahweh kadagiti tattao a kinunana, ''“Addaak kadakayo!'—daytoy ti pakaammo ni Yahweh!”
14 Bwana alitibua roho ya mkuu wa mkoa wa Yudah, Zerubabeli mwana wa Sheltieli, na roho ya kuhani mkuu Joshua mwana wa Yehozadaki, na roho ya masalia ya watu, kwa kiasi kwamba wakaenda kufanya kazi katika nyumba ya Bwana Mungu wa majeshi, Mungu wao.
Tinignay ngarud ni Yahweh ti espiritu ti gobernador ti Juda a ni Zerubbabel a putot a lalaki ni Salatiel, ken ti espiritu ti kangatoan a padi a ni Josue a putot a lalaki ni Josadak, ken ti espiritu dagiti amin a nabatbati kadagiti tattao, isu a napanda ket nagtrabahoda iti balay ni Yahweh a Diosda.
15 katika siku ya ishirini na Mwezi wa sita, katika mwaka wa pili wa utawala wa Mfalme Dario.
Iti maika-duapulo ket uppat nga aldaw iti maika-innem a bulan, iti maikadua a tawen a panagturay ni Dario a kas ari.

< Hagai 1 >