< Hagai 1 >

1 Katika mwaka wa pili wa mfalme Dario, katika mwezi wa sita, siku ya kwanza ya mwezi, neno la Bwana likaja kwa kwa mkono wa nabii Haghai kwenda kwa gavana wa Yuda, Zerubabeli mwana wa Sheatieli na kuhani mkuu Joshua mwana wa Yehozadaki, kusema,
Toisena kuningas Dariuksen vuotena, kuudentena kuukautena, ensimäisenä päivänä kuuta, tapahtui Herran sana prophetan Haggain kautta Serubbabelille Sealtielin pojalle, Juudan päämiehelle, ja Josualle Jotsadakin pojalle, ylimmäiselle papille, ja sanoi:
2 “Bwana wa Majeshi asema: 'Hawa watu husema, “Si wakati wetu kuja au kujenga nyumba ya Jehova."””
Näin puhuu Herra Zebaot, sanoen: tämä kansa sanoo: ei aika vielä ole tullut Herran huonetta rakentaa.
3 Tena neno la Bwana lilikuja kwa mkono wa nabii Haghai kusema,
Ja Herran sana tapahtui propheta Haggain kautta, sanoen:
4 “Je ni wakati kwenu wenyewe kuishi katika nyumba zilizokamilika, na wakati nyumba hii inaharibika?
Kylläpä teidän aikanne on tullut asua kaunistetuissa huoneissanne, ja tämän huoneen täytyy autiona olla?
5 Kwa hiyo sasa Bwana wa Majeshi asema hivi: 'zitafakarini njia zenu!
Nyt siis sanoo Herra Zebaot näin: katsokaat, kuinka teidän käy.
6 Mmepanda mbengu nyingi, lakini mkaleta mavuno kidogo; mnakula lakini hamshibi, mnakunywa lakini hamkujazwa na vinywaji. Mnavaa nguo lakini hampati joto wenyewe, na mtu wa mshahara hupata pesa na kuweka kwenye mfuko wenye mashimo tu!'
Te kylvätte paljon, ja vähän viette aittaan; te syötte, ja ette tule ravituksi; te juotte, ja ette saa kylläänne; te verhootte teitänne, ja ette tule lämpimäksi; ja joka rahaa ansaitsee, hän panee sen lävelliseen kukkaroon.
7 Bwana wa Majeshi asema haya:
Näin sanoo Herra Zebaot: katsokaat siis, kuinka teidän käy.
8 'Zitafakarini njia zetu! Pandeni milimani, mkalete mbao, na mjenge nyumba yangu; na pia nitakuwa radhi na nitatukuzwa!' Asema Bwana.
Menkäät vuorille ja hakekaat puita, ja rakentakaat huone; se on minulle otollinen oleva, ja minä tahdon minun kunniani osoittaa.
9 'Mmetazamia kupata vingi, lakini tazama! ulileta nyumbani vichache, nitavitowesha mbali! kwa nini?'- Hivi ndivyo anatamka Bwana wa Majeshi! kwa sababu nyumba yangu inakaa kwenye uharibifu, lakini kila mtu yuko radhi kwenye nyumba yake.
Kyllä tosin te paljon toivotte, vaan se tulee vähäksi; ja vaikka te parhaallansa kotia veisitte, niin minä sen kuitenkin puhallan pois. Miksi niin? sanoo Herra Zebaot: minun huoneeni tähden, että se on autiona, ja kukin teistä rientää oman huoneensa kanssa.
10 Kwa sababu hii mbingu zimeshikiwa zisitoe umande kutoka kwako, na ardhi imeshikilia haizalishi.
Sentähden on taivas teiltä kasteen pidättänyt, ja maa kieltänyt hedelmänsä.
11 Nimekuita kutoka juu ya ardhi na juu ya milima, juu ya nafaka na juu ya mzabibu mpya, juu ya mafuta na juu ya mavuno ya ardhi, juu ya watu na juu ya wanyama, na juu ya kazi zote za mikono yako.
Ja minä olen poudan kutsunut, sekä maan että vuorten päälle, jyväin, viinan, öljyn ja kaiken päälle, mitä maasta tulee, ihmisten ja karjan päälle, ja kaiken kätten työn päälle.
12 Kisha Zerubabeli mwana wa Shelitieli, na kuhani mkuu Yoshua mwana wa Yehozadaki, pamoja na mabaki ya watu, wakati sauti ya Bwana Mungu wao, na maneno ya Nabii Hagai, kwa sababu Bwana Mungu wao alikuwa amemtuma. Na watu wakaogopa uso wa Bwana.
Niin kuuli Serubbabel Sealtielin poika, ja Josua Jotsadakin poika, ylimmäinen pappi, ja kaikki jääneet kansasta, Herran Jumalansa äänen ja propheta Haggain sanat, niinkuin Herra heidän Jumalansa hänen lähettänyt oli; ja kansa pelkäsi Herraa.
13 Ndipo Hagai, mjumbe wa Bwana, akaongea ujumbe wa Bwana kwa watu na kusema,”'Niko pamoja na wewe!'- Hili ni tamko la Bwana.
Niin sanoi Haggai, Herran sanansaattaja, Herran käskystä kansan tykö: minä olen teidän kanssanne, sanoo Herra.
14 Bwana alitibua roho ya mkuu wa mkoa wa Yudah, Zerubabeli mwana wa Sheltieli, na roho ya kuhani mkuu Joshua mwana wa Yehozadaki, na roho ya masalia ya watu, kwa kiasi kwamba wakaenda kufanya kazi katika nyumba ya Bwana Mungu wa majeshi, Mungu wao.
Ja Herra herätti Serubbabelin Sealtielin pojan, Juudan päämiehen hengen, ja Josuan Jotsadakin pojan, ylimmäisen papin hengen, ja kaiken jääneen kansan hengen, tulemaan ja työtä tekemään Herran Zebaotin heidän Jumalansa huoneessa,
15 katika siku ya ishirini na Mwezi wa sita, katika mwaka wa pili wa utawala wa Mfalme Dario.
Neljäntenä päivänä kolmattakymmentä, kuudentena kuukautena, kuningas Dariuksen toisena vuotena.

< Hagai 1 >