< Hagai 1 >

1 Katika mwaka wa pili wa mfalme Dario, katika mwezi wa sita, siku ya kwanza ya mwezi, neno la Bwana likaja kwa kwa mkono wa nabii Haghai kwenda kwa gavana wa Yuda, Zerubabeli mwana wa Sheatieli na kuhani mkuu Joshua mwana wa Yehozadaki, kusema,
in/on/with year two to/for Darius [the] king in/on/with month [the] sixth in/on/with day one to/for month to be word LORD in/on/with hand: to Haggai [the] prophet to(wards) Zerubbabel son: child Shealtiel governor Judah and to(wards) Joshua son: child Jehozadak [the] priest [the] great: large to/for to say
2 “Bwana wa Majeshi asema: 'Hawa watu husema, “Si wakati wetu kuja au kujenga nyumba ya Jehova."””
thus to say LORD Hosts to/for to say [the] people [the] this to say not time to come (in): come time house: temple LORD to/for to build
3 Tena neno la Bwana lilikuja kwa mkono wa nabii Haghai kusema,
and to be word LORD in/on/with hand: power Haggai [the] prophet to/for to say
4 “Je ni wakati kwenu wenyewe kuishi katika nyumba zilizokamilika, na wakati nyumba hii inaharibika?
time to/for you you(m. p.) to/for to dwell in/on/with house: home your to cover and [the] house: home [the] this desolate
5 Kwa hiyo sasa Bwana wa Majeshi asema hivi: 'zitafakarini njia zenu!
and now thus to say LORD Hosts to set: consider heart your upon way: conduct your
6 Mmepanda mbengu nyingi, lakini mkaleta mavuno kidogo; mnakula lakini hamshibi, mnakunywa lakini hamkujazwa na vinywaji. Mnavaa nguo lakini hampati joto wenyewe, na mtu wa mshahara hupata pesa na kuweka kwenye mfuko wenye mashimo tu!'
to sow to multiply and to come (in): bring little to eat and nothing to/for satiety to drink and nothing to/for be drunk to clothe and nothing to/for to warm to/for him and [the] to hire to hire to(wards) bundle to pierce
7 Bwana wa Majeshi asema haya:
thus to say LORD Hosts to set: consider heart your upon way: conduct your
8 'Zitafakarini njia zetu! Pandeni milimani, mkalete mbao, na mjenge nyumba yangu; na pia nitakuwa radhi na nitatukuzwa!' Asema Bwana.
to ascend: rise [the] mountain: mount and to come (in): bring tree: wood and to build [the] house: home and to accept in/on/with him (and to honor: honour *Q(K)*) to say LORD
9 'Mmetazamia kupata vingi, lakini tazama! ulileta nyumbani vichache, nitavitowesha mbali! kwa nini?'- Hivi ndivyo anatamka Bwana wa Majeshi! kwa sababu nyumba yangu inakaa kwenye uharibifu, lakini kila mtu yuko radhi kwenye nyumba yake.
to turn to(wards) to multiply and behold to/for little and to come (in): bring [the] house: home and to breathe in/on/with him because what? utterance LORD Hosts because house: home my which he/she/it desolate and you(m. p.) to run: run man: anyone to/for house: home his
10 Kwa sababu hii mbingu zimeshikiwa zisitoe umande kutoka kwako, na ardhi imeshikilia haizalishi.
upon so upon you to restrain (heaven *L(abh)*) from dew and [the] land: country/planet to restrain crops her
11 Nimekuita kutoka juu ya ardhi na juu ya milima, juu ya nafaka na juu ya mzabibu mpya, juu ya mafuta na juu ya mavuno ya ardhi, juu ya watu na juu ya wanyama, na juu ya kazi zote za mikono yako.
and to call: call to drought upon [the] land: country/planet and upon [the] mountain: mount and upon [the] grain and upon [the] new wine and upon [the] oil and upon which to come out: produce [the] land: soil and upon [the] man and upon [the] animal and upon all toil palm
12 Kisha Zerubabeli mwana wa Shelitieli, na kuhani mkuu Yoshua mwana wa Yehozadaki, pamoja na mabaki ya watu, wakati sauti ya Bwana Mungu wao, na maneno ya Nabii Hagai, kwa sababu Bwana Mungu wao alikuwa amemtuma. Na watu wakaogopa uso wa Bwana.
and to hear: obey Zerubbabel son: child Shealtiel and Joshua son: child Jehozadak [the] priest [the] great: large and all remnant [the] people in/on/with voice LORD God their and upon word Haggai [the] prophet like/as as which to send: depart him LORD God their and to fear: revere [the] people from face of LORD
13 Ndipo Hagai, mjumbe wa Bwana, akaongea ujumbe wa Bwana kwa watu na kusema,”'Niko pamoja na wewe!'- Hili ni tamko la Bwana.
and to say Haggai messenger LORD in/on/with message LORD to/for people to/for to say I with you utterance LORD
14 Bwana alitibua roho ya mkuu wa mkoa wa Yudah, Zerubabeli mwana wa Sheltieli, na roho ya kuhani mkuu Joshua mwana wa Yehozadaki, na roho ya masalia ya watu, kwa kiasi kwamba wakaenda kufanya kazi katika nyumba ya Bwana Mungu wa majeshi, Mungu wao.
and to rouse LORD [obj] spirit Zerubbabel son: child Shealtiel governor Judah and [obj] spirit Joshua son: child Jehozadak [the] priest [the] great: large and [obj] spirit all remnant [the] people and to come (in): come and to make: [do] work in/on/with house: temple LORD Hosts God their
15 katika siku ya ishirini na Mwezi wa sita, katika mwaka wa pili wa utawala wa Mfalme Dario.
in/on/with day twenty and four to/for month in/on/with sixth in/on/with year two to/for Darius [the] king

< Hagai 1 >