< Mwanzo 9 >

1 Kisha Mungu akambariki Nuhu na wanawe, na kuwaambia, “Zaeni, mkaongezeke, na muijaze nchi.
Un Dievs svētīja Nou un viņa dēlus un sacīja uz tiem: augļojaties un vairojaties un piepildiet zemi.
2 Hofu na utisho wenu vitakuwa juu ya kila mnyama aliye hai juu ya nchi, juu ya kila ndege wa angani, juu ya kila kitu kiendacho chini juu ya ardhi, na juu ya samaki wote wa baharini. Vimetolewa katika mikono yenu.
Lai no jums bīstas un baidās visi zemes zvēri un visi putni apakš debess, un viss, kas kust virs zemes, un visas zivis jūrā; - jūsu rokās tie ir doti.
3 Kila kitu kiendacho kilicho hai kitakuwa chakula kwa ajili yenu. Kama nilivyo wapa mimea, sasa nawapa kila kitu.
Viss, kas kust un ir dzīvs, lai jums ir par barību, (it) kā to zaļo zāli, visu to Es jums esmu nodevis.
4 Lakini msile nyama pamoja na uhai wake - yaani damu yake - ndani yake.
Tik vien miesu viņas dzīvībā, viņas asinīs, jums nebūs ēst.
5 Lakini kwa ajili ya damu yenu, uhai uliomo katika damu yenu nitataka malipo. Kutoka katika mkono wa kila mnyama nitaitaka. Kutoka katika mkono wa kila mtu, yaani, kutoka katika mkono wa yule ambaye amemuua ndugu yake, nitataka fidia kwa ajili ya uhai wa mtu huyo.
Un par jūsu dzīvības asinīm (Es) prasīšu, no visiem zvēriem tās gribu prasīt, un no cilvēku rokām, no ikviena rokas, kas ir viņa brālis, (Es) prasīšu cilvēka dzīvību.
6 Yeyote amwagaye damu ya mtu, kwa njia ya mtu damu yake itamwagwa, kwa sababu ilikuwa ni katika mfano wa Mungu kwamba Mungu alimuumba mtu.
Kas cilvēka asinis izlej, tā asinīm caur cilvēkiem būs tapt izlietām, jo Dievs cilvēku radījis pēc Sava ģīmja.
7 Na hivyo nanyi zaeni na kuongezeka, sambaeni katika inchi yote na muongezeke juu yake.”
Bet jūs augļojaties un vairojaties un rodaties pulkiem virs zemes un vairojaties virs tās.
8 Kisha Mungu akazungumza na Nuhu na wanae pamoja naye, akisema,
Un Dievs runāja uz Nou un uz viņa dēliem pie viņa, sacīdams:
9 “Kwa ajili yangu, sikiliza! Ninakwenda kulithibitisha agano langu pamoja nawe na uzao wenu baada yenu,
Redzi, Es ceļu Savu derību ar jums un ar jūsu dzimumu pēc jums,
10 na kwa kila kiumbe hai kilicho pamoja nawe, pamoja na ndege, mnyama wa kufugwa, na kila kiumbe cha nchi pamoja nawe, kuanzia kwa wote waliotoka kwenye safina, mpaka kwa kila kiumbe hai juu ya nchi.
Un ar ikvienu dzīvu dvašu, kas pie jums, ar putniem, lopiem un visām zemes dzīvībām pie jums; - proti ar visiem, kas no šķirsta izgājuši, ar visām zemes dzīvībām.
11 Kwa sababu hii ninalithibitisha agano langu pamoja nanyi, kwamba hapatatokea kuangamizwa kwa mwenye mwili kwa njia ya maji ya gharika. Tena hapatatokea gharika ya kuangamiza nchi.”
Un Es ceļu Savu derību ar jums: un neviena miesa vairs netaps izdeldēta ūdensplūdos, un plūdi vairs nemaitās zemi.
12 Mungu akasema, “na hii ndiyo ishara ya agano ambalo ninafanya kati yangu na ninyi pamoja na kila kiumbe hai kilicho pamoja nanyi, kwa vizazi vyote vya baadaye:
Un Dievs sacīja: šī ir tā derības zīme, ko Es dodu starp Mani un jums un visām dzīvām dvašām, kas pie jums, uz mūžīgiem laikiem.
13 Nimeweka upinde wangu wa mvua katika wingu, na itakuwa ndiyo ishara ya agano kati yangu na nchi.
Savu varavīksni padebešos Es esmu licis, un tā būs derības zīme starp Mani un starp zemi.
14 Hata itakuwa nitakapoleta wingu juu ya nchi na upinde wa mvua ukaonekana katika wingu,
Un kad Es padebešus vadīšu pār zemi un varavīksne padebešos rādīsies,
15 ndipo nitakumbuka agano langu, ambalo ni kati yangu na ninyi na kila kiumbe hai cha wote mwenye mwili. Maji hayatafanyika tena gharika kuharibu wote wenye mwili.
Tad Es pieminēšu Savu derību, kas ir starp Mani un jums un visām dzīvām dvašām ikvienā miesā. Un ūdensplūdi vairs nenāks, samaitāt nevienu miesu.
16 Upinde wa mvua utakuwa katika mawingu na nitauona, ili kukumbuka agano la milele kati ya Mungu na kila kiumbe hai cha wote wenye mwili ambacho kiko juu ya nchi.”
Tad nu varavīksne būs padebešos, un to uzskatīdams Es pieminēšu to mūžīgo derību starp Dievu un visām dzīvām dvašām ikvienā miesā, kas ir virs zemes.
17 Kisha Mungu akamwambia Nuhu, “Hii ni ishara ya agano ambalo nimelithibitisha kati yangu na wenye mwili wote ambao wako juu ya nchi.”
Un Dievs sacīja uz Nou: šī ir tā derības zīme, ko esmu iecēlis starp mani un ikvienu miesu, kas virs zemes.
18 Wana wa Nuhu ambao walitoka katika safina walikuwa ni Shemu, Hamu, na Yafethi. Na Hamu akamzaa kanaani.
Un Noas dēli, kas no šķirsta izgāja, bija Šems un Hams un Jafets, un Hams ir Kanaāna tēvs.
19 Watatu hawa walikuwa ndio wana wa Nuhu, na kutokea kwa hawa nchi yote ikajaa watu.
Šie trīs ir Noas dēli, un no šiem ir visi zemes iedzīvotāji.
20 Nuhu akaanza kuwa mkulima, na akapanda mizabibu.
Un Noa sāka zemi kopt un stādīt vīna dārzu.
21 Akanywa sehemu ya divai na akalewa. Akawa amelala hemeani uchi.
Un viņš dzēra no vīna un piedzērās un gulēja atsedzies sava dzīvokļa vidū.
22 Kisha Hamu, baba yake na Kanaani, akaona uchi wa baba yake na akawaambia ndugu zake wawili waliokuwa nje.
Un Hams, Kanaāna tēvs, redzēja sava tēva plikās miesas un pasacīja to saviem diviem brāļiem ārā.
23 Kwa hiyo Shemu na Yafethi wakachukua kanzu wakaitanda juu ya mabega yao, na wakatembea kinyumenyume na wakaufunika uchi wa baba yao. Nyuso zao zikiwa zimegeuka nyuma upande mwingine, kwa hiyo hawakuona uchi wa baba yao.
Tad Šems un Jafets ņēma drēbes un lika tās abi uz saviem pleciem, un ačgārni ejot tie apsedza sava tēva plikās miesas, un bija savu vaigu nogriezuši, ka sava tēva plikās miesas neredzēja.
24 Nuhu alipozinduka kutoka katika ulevi wake, alijua ni jambo gani mtoto wake mdogo amemfanyia.
Un Noa uzmodās no sava vīna un dabūja zināt, ko viņa jaunākais dēls viņam bija darījis,
25 Hivyo akasema, “Alaaniwe Kanaani. Na awe mtumishi kwa watumishi wa ndugu zake.”
Un sacīja: nolādēts lai ir Kanaāns: tam būs būt savu brāļu kalpu kalpam.
26 Akasema pia, Yahwe, Mungu wa Shemu, abarikiwe, Kanaani na awe mtumwa wake.
Un viņš sacīja: svētīts lai ir Tas Kungs, Šema Dievs, un Kanaāns lai ir viņa kalps.
27 Mungu na apanuwe mipaka ya Yafethi, na afanye makazi yake katika hema za Shemu. Kanaani na awe mtumwa wake.”
Lai Dievs vairo Jafetu, un lai tas mājo Šema dzīvokļos, un Kanaāns lai ir viņa kalps.
28 Baada ya gharika, Nuhu aliishi miaka miatatu na hamsini.
Un Noa dzīvoja pēc ūdensplūdiem trīssimt un piecdesmit gadus.
29 Siku zote za Nuhu zilikuwa ni miaka mia tisa na hamsini, na kisha alikufa.
Tad visas Noas dienas bija deviņsimt un piecdesmit gadi; un viņš nomira.

< Mwanzo 9 >