< Mwanzo 8 >

1 Mungu akamtazama Nuhu, wanyama wote wa mwitu, na wanyama wote wa kufugwa ambao walikuwa pamoja naye kwenye safina. Mungu akafanya upepo uvume juu ya nchi, na maji yakaanza kuzama chini.
Тогава си спомни Бог за Ноя и за всичко живо и за всичкия добитък, що бяха с него в ковчега; и Бог накара вятър да мине по земята, та водите престанаха.
2 Chemichemi za vilindi pamoja na madirisha ya mbingu vikafungwa, na mvua ikakoma kunyesha.
Тоже се затвориха изворите на бездната и небесните отвори, и дъждът от небето спря.
3 Maji ya gharika yakaanza kuzama kidogo kidogo katika nchi. na mwisho wa siku miamoja na hamsini maji yakawa yamezama chini.
Малко по малко водите се оттеглиха от земята и подир сто и петдесет дни водите взеха да намаляват.
4 safina ikatulia katika mwezi wa saba, siku ya kumi na saba ya mwezi, juu ya milima ya Ararati.
А на седемнадесетия ден от седмия месец ковчегът заседна върху Араратските планини.
5 Maji yakaendelea kuzama chini hadi mwezi wa kumi. Siku ya kwanza ya mwezi, vilele vya milima vikaonekana.
Водите намаляваха непрестанно до десетия месец; и на първия ден от десетия месец върховете на планините се показаха.
6 Ikatokea kwamba baada ya siku arobaini Nuhu alifungua dirisha la safina ambayo aliitengeneza.
После, след четиридесет дни, Ной отвори прозореца на ковчега, що беше направил;
7 Akatuma kunguru na akaruka hadi maji yalipo kauka katika nchi.
и изпрати гарван, който, като излезе, отиваше насам натам докато пресъхнаха водите на земята.
8 Kisha akatuma njiwa kuona kama maji yamezama chini kutoka kwenye uso wa nchi,
Тогава изпрати гълъб, за да види дали са престанали водите по лицето на земята.
9 lakini njiwa hakuona sehemu ya kutua unyayo wake, na akarudi kwake ndani ya safina, kwa kuwa maji yalikuwa bado yamefunika nchi yote. Akanyoosha mkono wake, akamchukua na kumuweka ndani ya safina pamoja naye.
Но гълъбът, понеже не намери почивка за нозете си, върна се при него в ковчега, защото водата бе още по лицето на цялата земя. И той простря ръка та го взе, и внесе го при себе си в ковчега.
10 Akasubiri siku saba zingine akatuma tena njiwa kutoka kwenye safina.
А като почака още седем дни, пак изпрати гълъба от ковчега.
11 Njiwa akarudi kwake jioni. Tazama! katika mdomo wake kulikuwa na jani bichi la mzeituni lililochumwa. Kwa hiyo Nuhu akatambua kuwa maji yamekwisha zama chini ya nchi.
И надвечер гълъбът се върна при него, и ето, имаше в устата си пресен маслинен лист; така Ной позна, че водата е спаднала по земята.
12 Akasubiri siku saba zingine na akamtuma njiwa tena. Njiwa hakurudi kwake tena.
След това той почака още седем дни, и изпрати гълъба; но той не се върна вече при него.
13 Ikawa kwamba katika mwaka wa mia sita na moja, katika mwezi wa kwanza, siku ya kwanza ya mwezi, maji yalikuwa yamekauka katika nchi. Nuhu akaondoa kifuniko cha safina, akatazama nje, na akaona kwamba, Tazama, uso wa nchi ulikuwa umekauka.
В шестстотин и първата година на Ноевия живот, на първия ден от първия месец, водата пресъхна на земята; и Ной, като дигна покрива на ковчега, погледна, и, ето, повърхността на земята бе изсъхнала.
14 Katika mwezi wa pili, siku ya ishirini na saba ya mwezi, nchi ilikuwa imekauka.
А на двадесет и седмия ден от втория месец земята съвършено изсъхна.
15 Mungu akamwambia Nuhu,
Тогава говори Бог на Ноя, казвайки:
16 “Toka nje ya safina, wewe, mke wako, wanao wa kiume, na wake wa wanao pamoja nawe.
Излез от ковчега, ти, жена ти, синовете ти и жените им с тебе.
17 Wachukuwe utoke nje pamoja nao kila kiumbe hai chenye mwili ambacho kiko nawe - ndege, wanyama wa kufugwa, na kila kitambaacho ambacho hutambaa juu ya nchi - ili kwamba viweze kukua na kuwa na idadi kubwa zaidi ya viumbe hai katika nchi yote, kwa kuzaliana na kuongezeka juu ya nchi.”
Изведи със себе си всичко живо от всяка твар, що е с тебе, - птици, добитък и всичките животни които пълзят по земята, за да се разплодяват по земята, да раждат и да се умножават по земята.
18 Kwa hiyo Nuhu akatoka nje pamoja na watoto wake wa kiume, mke wake, na wake wa wa wanawe pamoja naye.
Ной излезе, и с него синовете му, жена му и снахите му;
19 Kila kiumbe hai, kila kitambaacho, na kila ndege, na kila kiendacho juu ya nchi, kwa kabila zao, wakaiacha safina.
излязоха от ковчега и всичките животни, всичките птици, всичко, що се движи по земята според родовете си.
20 Nuhu akajenga madhabahu kwa Yahwe. Akachukua baadhi ya wanyama walio safi na baadhi ya ndege walio safi, na kutoa sadaka ya kuteketezwa juu ya madhabahu.
И Ной издигна олтар на Господа; и взе от всяко чисто животно и от всяка чиста птица, та ги принесе за всеизгаряне на олтара;
21 Yahwe akanusa harufu nzuri ya kuridhisha na akasema moyoni mwake, “Sita laani tena ardhi kwa sababu ya mwanadamu, ingawa nia za mioyo yao ni mbaya tokea utoto. Wala sita haribu kilakitu chenye uhai, kama nilivyo fanya.
и Господ помириса сладко благоухание; и рече Господ в сърцето Си: Не ще проклинам вече земята, поради човека, защото помислите на човешкото сърце са зло още от младините му, нито ще поразя вече друг път всичко живо както сторих.
22 Wakati nchi isaliapo, majira ya kupanda mbegu na mavuno, baridi na joto, kiangazi na majira ya baridi, mchana na usiku havitakoma.”
Догде съществува земята, сеитба и жътва, студ и горещина, лято и зима, ден и нощ няма да престанат.

< Mwanzo 8 >

A Dove is Sent Forth from the Ark
A Dove is Sent Forth from the Ark