< Mwanzo 5 >

1 Hii ni orodha ya vizazi vya Adamu. Katika siku ambayo Mungu alimuumba mtu, aliwaumba katika mfano wake mwenyewe.
Este es el rollo de las generaciones de Adán. El día cuando ʼElohim creó al hombre, lo hizo a imagen de ʼElohim.
2 Mwanaume na mwanamke aliwaumba. Akawabariki na akawaita Adam wakati walipoumbwa.
Varón y hembra los creó, y los bendijo. El día cuando fueron creados los llamó Adán.
3 Wakati Adamu alipokuwa ameishi miaka 130, akamzaa mwana katika sura yake mwenyewe, kwa mfano wake, na akamuita jina lake Sethi.
Adán vivió 130 años y engendró [un hijo] a su semejanza, conforme a su imagen, y lo llamó Set.
4 Baada ya Adamu kumzaa Sethi, aliishi miaka mia nane. Akawazaa wana wengi waume na wake.
Después de engendrar a Set, los días de Adán fueron 800 años, y engendró hijos e hijas.
5 Adamu akaishi miaka 930 kisha akafariki.
Fueron todos los días que vivió Adán 930 años, y murió.
6 Wakati Sethi alipokuwa ameishi miaka 105, akamzaa Enoshi.
Set vivió 105 años y engendró a Enós.
7 Baada ya kumzaa Enoshi, akaishi miaka 807 na akawazaa wana wengi waume na wake.
Set vivió después de engendrar a Enós 807 años, y engendró hijos e hijas.
8 Sethi akaishi miaka 912 kisha akafariki.
Los días de Set fueron 912 años, y murió.
9 Wakati Enoshi alipokuwa ameishi miaka tisini, akamzaa Kenani.
Enós vivió 90 años y engendró a Cainán.
10 Baada ya kumzaa Kenani, Enoshi aliishi miaka 815. Akazaa wana wengi wa ume na wake.
Después de engendrar a Cainán, Enós vivió 815 años, y engendró hijos e hijas.
11 Enoshi aliishi miaka 905 na kisha akafariki.
Los días de Enós fueron 905 años, y murió.
12 Wakati Kanani alipokuwa ameishi miaka sabini, akamzaa Mahalaleli.
Cainán vivió 70 años y engendró a Mahalaleel.
13 Baada ya kumzaa Mahalaleli, Kenani aliishi miaka 840. Akawazaa wana wengi wa ume na wake.
Después de engendrar a Mahalaleel, Cainán vivió 840 años, y engendró hijos e hijas.
14 Kenani aliishi miaka 910, na kisha akafariki.
Los días de Cainán fueron 910 años, y murió.
15 Mahalaleli alipokuwa ameishi miaka sitini na tano, alimzaa Yaredi.
Mahalaleel vivió 65 años y engendró a Jared.
16 Baada ya kumzaa Yaredi, Mahalaleli aliishi miaka 830. Akazaa wana wengi wa ume na wake.
Después de engendrar a Jared, Mahalaleel vivió 830 años, y engendró hijos e hijas.
17 Mahalaleli aliishi miaka 895 na kisha akafariki.
Los días de Mahalaleel fueron 895 años, y murió.
18 Yaredi alipokuwa ameishi miaka 162, alimzaa Henoko.
Jared vivió 162 años y engendró a Enoc.
19 Baada ya kumzaa Henoko, Yaredi aliishi miaka mianane. Akazaa wana wengi waume na wake.
Después de engendrar a Enoc, Jared vivió 800 años, y engendró hijos e hijas.
20 Yaredi aliishi miaka 962 na kisha akafariki.
Los días de Jared fueron 962 años, y murió.
21 Henoko alipokuwa ameishi miaka sitini na tano, akamzaa Methusela.
Enoc vivió 65 años y engendró a Matusalén.
22 Henoko akaenenda na Mungu miaka miatatu baada ya kumzaa Methusela. Aliwazaa wana wengi wa ume na wake.
Enoc anduvo con ʼElohim 300 años después de engendrar a Matusalén, y engendró hijos e hijas.
23 Henoko aliishi miaka 365.
Los días de Enoc fueron 365 años.
24 Henoko alienenda na Mungu, na kisha alitoweka, kwa kuwa Mungu alimtwaa.
Enoc anduvo con ʼElohim, y desapareció, porque ʼElohim lo arrebató.
25 Wakati Methusela alipokuwa ameishi miaka 187, alimzaa Lameki.
Matusalén vivió 187 años y engendró a Lamec.
26 Baada ya kumzaa Lameki, Methusela aliishi miaka 782. Akawazaa wana wengi wa ume na wake.
Después de engendrar a Lamec, Matusalén vivió 782 años, y engendró hijos e hijas.
27 Methusela aliishi miaka 969. Kisha akafariki.
Los días de Matusalén fueron 969 años, y murió.
28 Wakati Lameki alipokuwa ameishi miaka 182, alimzaa mwana.
Lamec vivió 182 años y engendró un hijo.
29 Akamuita jina lake Nuhu, akisema, “Huyu ndiye atatupatia pumziko kutoka katika kazi yetu na kutoka katika kazi ya taabu ya mikono yetu, ambayo lazima tuifanye kwa sababu ya ardhi ambayo Yahwe ameilaani.”
Lo llamó Noé, y dijo: Éste nos aliviará de nuestras obras, de la fatiga de nuestras manos y de la tierra que Yavé maldijo.
30 Lameki aliishi miaka 595 baada ya kumzaa baba wa Nuhu. Akazaa wanawengi wa ume na wake.
Después de engendrar a Noé, Lamec vivió 595 años, y engendró hijos e hijas.
31 Lameki aliishi miaka 777. Kisha akafariki.
Los días de Lamec fueron 777 años, y murió.
32 Baada ya Nuhu kuishi miaka miatano, akamzaa Shemu, Hamu, na Yafethi.
Cuando Noé tenía 500 años había engendrado a Sem, Cam y Jafet.

< Mwanzo 5 >