< Mwanzo 5 >

1 Hii ni orodha ya vizazi vya Adamu. Katika siku ambayo Mungu alimuumba mtu, aliwaumba katika mfano wake mwenyewe.
This [is] the genealogy of men in the day in which God made Adam; in the image of God he made him:
2 Mwanaume na mwanamke aliwaumba. Akawabariki na akawaita Adam wakati walipoumbwa.
male and female he made them, and blessed them; and he called his name Adam, in the day in which he made them.
3 Wakati Adamu alipokuwa ameishi miaka 130, akamzaa mwana katika sura yake mwenyewe, kwa mfano wake, na akamuita jina lake Sethi.
And Adam lived two hundred and thirty years, and begot [a son] after his [own] form, and after his [own] image, and he called his name Seth.
4 Baada ya Adamu kumzaa Sethi, aliishi miaka mia nane. Akawazaa wana wengi waume na wake.
And the days of Adam, which he lived after his begetting Seth, were seven hundred years; and he begot sons and daughters.
5 Adamu akaishi miaka 930 kisha akafariki.
And all the days of Adam which he lived were nine hundred and thirty years, and he died.
6 Wakati Sethi alipokuwa ameishi miaka 105, akamzaa Enoshi.
Now Seth lived two hundred and five years, and begot Enos.
7 Baada ya kumzaa Enoshi, akaishi miaka 807 na akawazaa wana wengi waume na wake.
And Seth lived after his begetting Enos, seven hundred and seven years, and he begot sons and daughters.
8 Sethi akaishi miaka 912 kisha akafariki.
And all the days of Seth were nine hundred and twelve years, and he died.
9 Wakati Enoshi alipokuwa ameishi miaka tisini, akamzaa Kenani.
And Enos lived an hundred and ninety years, and begot Cainan.
10 Baada ya kumzaa Kenani, Enoshi aliishi miaka 815. Akazaa wana wengi wa ume na wake.
And Enos lived after his begetting Cainan, seven hundred and fifteen years, and he begot sons and daughters.
11 Enoshi aliishi miaka 905 na kisha akafariki.
And all the days of Enos were nine hundred and five years, and he died.
12 Wakati Kanani alipokuwa ameishi miaka sabini, akamzaa Mahalaleli.
And Cainan lived an hundred and seventy years, and he begot Maleleel.
13 Baada ya kumzaa Mahalaleli, Kenani aliishi miaka 840. Akawazaa wana wengi wa ume na wake.
And Cainan lived after his begetting Maleleel, seven hundred and forty years, and he begot sons and daughters.
14 Kenani aliishi miaka 910, na kisha akafariki.
And all the days of Cainan were nine hundred and ten years, and he died.
15 Mahalaleli alipokuwa ameishi miaka sitini na tano, alimzaa Yaredi.
And Maleleel lived an hundred and sixty and five years, and he begot Jared.
16 Baada ya kumzaa Yaredi, Mahalaleli aliishi miaka 830. Akazaa wana wengi wa ume na wake.
And Maleleel lived after his begetting Jared, seven hundred and thirty years, and he begot sons and daughters.
17 Mahalaleli aliishi miaka 895 na kisha akafariki.
And all the days of Maleleel were eight hundred and ninety and five years, and he died.
18 Yaredi alipokuwa ameishi miaka 162, alimzaa Henoko.
And Jared lived an hundred and sixty and two years, and begot Enoch:
19 Baada ya kumzaa Henoko, Yaredi aliishi miaka mianane. Akazaa wana wengi waume na wake.
and Jared lived after his begetting Enoch, eight hundred years, and he begot sons and daughters.
20 Yaredi aliishi miaka 962 na kisha akafariki.
And all the days of Jared were nine hundred and sixty and two years, and he died.
21 Henoko alipokuwa ameishi miaka sitini na tano, akamzaa Methusela.
And Enoch lived an hundred and sixty and five years, and became the father of Mathusala.
22 Henoko akaenenda na Mungu miaka miatatu baada ya kumzaa Methusela. Aliwazaa wana wengi wa ume na wake.
And Enoch was well-pleasing to God after his begetting Mathusala, two hundred years, and he begot sons and daughters.
23 Henoko aliishi miaka 365.
And all the days of Enoch were three hundred and sixty and five years.
24 Henoko alienenda na Mungu, na kisha alitoweka, kwa kuwa Mungu alimtwaa.
And Enoch was well-pleasing to God, and was not found, because God translated him.
25 Wakati Methusela alipokuwa ameishi miaka 187, alimzaa Lameki.
And Mathusala lived an hundred and sixty and seven years, and begot Lamech.
26 Baada ya kumzaa Lameki, Methusela aliishi miaka 782. Akawazaa wana wengi wa ume na wake.
And Mathusala lived after his begetting Lamech eight hundred and two years, and begot sons and daughters.
27 Methusela aliishi miaka 969. Kisha akafariki.
And all the days of Mathusala which he lived, were nine hundred and sixty and nine years, and he died.
28 Wakati Lameki alipokuwa ameishi miaka 182, alimzaa mwana.
And Lamech lived an hundred and eighty and eight years, and begot a son.
29 Akamuita jina lake Nuhu, akisema, “Huyu ndiye atatupatia pumziko kutoka katika kazi yetu na kutoka katika kazi ya taabu ya mikono yetu, ambayo lazima tuifanye kwa sababu ya ardhi ambayo Yahwe ameilaani.”
And he called his name Noe, saying, This one will cause us to cease from our works, and from the toils of our hands, and from the earth, which the Lord God has cursed.
30 Lameki aliishi miaka 595 baada ya kumzaa baba wa Nuhu. Akazaa wanawengi wa ume na wake.
And Lamech lived after his begetting Noe, five hundred and sixty and five years, and begot sons and daughters.
31 Lameki aliishi miaka 777. Kisha akafariki.
And all the days of Lamech were seven hundred and fifty-three years, and he died.
32 Baada ya Nuhu kuishi miaka miatano, akamzaa Shemu, Hamu, na Yafethi.

< Mwanzo 5 >