< Mwanzo 45 >

1 Ndipo Yusufu hakuweza kujizuia mwenyewe mbele ya watumishi waliosimama kando yake. Akasema kwa sauti, “Kila mtu aondoke.” Hivyo hakuna mtumishi aliyesimama kando yake wakati Yusufu alipojitambulisha kwa ndugu zake.
and not be able Joseph to/for to refrain to/for all [the] to stand upon him and to call: call out to come out: come all man from upon me and not to stand: stand man: anyone with him in/on/with to know Joseph to(wards) brother: male-sibling his
2 Akalia kwa sauti, Wamisri wakasikia, na nyumba ya Farao wakasikia kuhusu hilo.
and to give: cry out [obj] voice his in/on/with weeping and to hear: hear Egyptian and to hear: hear house: household Pharaoh
3 Yusufu akawambia ndugu zake, “Mimi ni Yusufu. Je baba yangu ni mzima bado? Ndugu zake hawakuweza kumjibu, kwani walitishwa na uwepo wake.
and to say Joseph to(wards) brother: male-sibling his I Joseph still father my alive and not be able brother: male-sibling his to/for to answer [obj] him for to dismay from face his
4 Kisha Yusufu akawambia ndugu zake, “Nikaribieni, tafadhari.” Nao wakasogea. Akawambia, “Mimi ni Yusufu ndugu yenu, mliyemwuza Misri.
and to say Joseph to(wards) brother: male-sibling his to approach: approach please to(wards) me and to approach: approach and to say I Joseph brother: male-sibling your which to sell [obj] me Egypt [to]
5 Lakini sasa msihuzunike au kukasirika miongoni mwenu kwamba mliniuza huku, kwani Mungu alinituma mbele yenu ili kutunza uhai.
and now not to hurt and not to be incensed in/on/with eye: appearance your for to sell [obj] me here/thus for to/for recovery to send: depart me God to/for face: before your
6 Maana ni miaka miwili njaa imekuwa katika nchi, na bado kuna miaka mitano ambayo hakutakuwa na kulima wala kuvuna.
for this year [the] famine in/on/with entrails: among [the] land: country/planet and still five year which nothing plowing and harvest
7 Mungu alinituma mbele yenu kuwahifadhi kama masalia duniani, na kuwaweka hai kwa ukombozi mkuu.
and to send: depart me God to/for face: before your to/for to set: put to/for you remnant in/on/with land: country/planet and to/for to live to/for you to/for survivor great: large
8 Hivyo si ninyi mlionipeleka huku bali ni Mungu, na amenifanya baba kwa Farao, bwana wa nyumba yake yote, na mtawala wa nchi yote ya Misri.
and now not you(m. p.) to send: depart [obj] me here/thus for [the] God and to set: make me to/for father to/for Pharaoh and to/for lord to/for all house: household his and to rule in/on/with all land: country/planet Egypt
9 Fanyeni haraka mwende kwa baba yangu na mmwambie, 'Hivi ndivyo asemavyo Yusufu mwanao, “Mungu amenifanya bwana kwa Wamisri wote. Shuka kwangu, usikawie.
to hasten and to ascend: rise to(wards) father my and to say to(wards) him thus to say son: child your Joseph to set: make me God to/for lord to/for all Egypt to go down [emph?] to(wards) me not to stand: stand
10 Utaishi katika nchi ya Gosheni, nawe utakuwa karibu nami, wewe na watoto wako na watoto wa watoto wako, na kondoo wako na mbuzi wako, na yote uliyonayo.
and to dwell in/on/with land: country/planet Goshen and to be near to(wards) me you(m. s.) and son: child your and son: child son: child your and flock your and cattle your and all which to/for you
11 Nami nitakuhudumia pale, kwa maana bado kuna miaka mitano ya njaa, hivyo usije ukaingia katika uhitaji, wewe, nyumba yako, na yote uliyonayo.”
and to sustain [obj] you there for still five year famine lest to possess: poor you(m. s.) and house: household your and all which to/for you
12 Tazama, macho yenu yanaona, na macho ya Benjamini ndugu yangu, kwamba ni kinywa changu kinachoongea nanyi.
and behold eye your to see: see and eye brother: male-sibling my Benjamin for lip my [the] to speak: speak to(wards) you
13 Mtamwambia baba yangu juu ya heshima yangu yote huku Misri na yote mliyoyaona. Mtaharakisha na kumleta baba yangu huku.”
and to tell to/for father my [obj] all glory my in/on/with Egypt and [obj] all which to see: see and to hasten and to go down [obj] father my here/thus
14 Akaikumbatia shingo ya Benjamini ndugu yake na kulia, na Benjamini akalia shongoni mwake.
and to fall: fall upon neck Benjamin brother: male-sibling his and to weep and Benjamin to weep upon neck his
15 Akawabusu ndugu zake wote na kulia kwa ajili yao. Baada ya hayo ndugu zake wakaongea naye.
and to kiss to/for all brother: male-sibling his and to weep upon them and after so to speak: speak brother: male-sibling his with him
16 Habari ya jambo hili ikasemwa katika nyumba ya Farao: “Ndugu zake Yusufu wamekuja.” Ikampendeza sana Farao na watumishi wake.
and [the] voice: message to hear: hear house: household Pharaoh to/for to say to come (in): come brother: male-sibling Joseph and be good in/on/with eye: appearance Pharaoh and in/on/with eye: appearance servant/slave his
17 Farao akamwambia Yusufu, “Wambie ndugu zako, 'Fanyeni hivi: Wapakieni wanyama wenu na mwende katika nchi ya Kanaani.
and to say Pharaoh to(wards) Joseph to say to(wards) brother: male-sibling your this to make: do to load [obj] cattle your and to go: went to come (in): come land: country/planet [to] Canaan
18 Mchukueni baba yenu na nyumba zenu mnijie. Nami nitawapa mema ya nchi ya Misri, nanyi mtakula unono wa nchi.'
and to take: take [obj] father your and [obj] house: household your and to come (in): come to(wards) me and to give: give to/for you [obj] goodness land: country/planet Egypt and to eat [obj] fat [the] land: country/planet
19 Basi mmeamriwa, 'Fanyeni hivi, chukueni mikokoteni kutoka Misri kwa ajili ya watoto wenu na kwa ajili ya wake zenu. Mchukueni baba yenu na kuja.
and you(m. s.) to command this to make: do to take: take to/for you from land: country/planet Egypt cart to/for child your and to/for woman: wife your and to lift: bear [obj] father your and to come (in): come
20 Msijari kuhusu mali zenu, kwani mema yote ya nchi ya Misri ni yenu.”
and eye your not to pity upon article/utensil your for goodness all land: country/planet Egypt to/for you he/she/it
21 Wana wa Israeli wakafanya hivyo. Yusufu akawapa mikokoteni, kwa kadili ya agizo la Farao, na akawapa mahitaji ya safari.
and to make: do so son: child Israel and to give: give to/for them Joseph cart upon lip: word Pharaoh and to give: give to/for them provision to/for way: journey
22 Akawapa wote mavazi ya kubadilisha, lakini akampa Benjamini vipande mia tatu vya fedha na mavazi matano ya kubadilisha.
to/for all their to give: give to/for man: anyone change mantle and to/for Benjamin to give: give three hundred silver: money and five change mantle
23 Akampelekea baba yake: punda kumi waliobeba mema ya Misri, punda majike kumi wamebeba nafaka, mikate, na mahitaji mengine kwa baba yake kwa ajili ya safari.
and to/for father his to send: depart like/as this ten donkey to lift: bear from goodness Egypt and ten she-ass to lift: bear grain and food: bread and food to/for father his to/for way: journey
24 Hivyo akawaruhusu ndugu zake nao wakaondoka. Akawambia, “Angalieni msijemkagombana njiani.”
and to send: depart [obj] brother: male-sibling his and to go: went and to say to(wards) them not to tremble in/on/with way: journey
25 Wakapanda kutoka Misri na kuja katika nchi ya Kanaani, kwa Yakobo baba yao.
and to ascend: rise from Egypt and to come (in): come land: country/planet Canaan to(wards) Jacob father their
26 Wakamwambia “Yusufu bado yu hai, na ndiye mtawala juu ya nchi yote ya Misri.” Na moyo wake ulishikwa na ushangao, kwani hakuwaamini.
and to tell to/for him to/for to say still Joseph alive and for he/she/it to rule in/on/with all land: country/planet Egypt and be numb heart his for not be faithful to/for them
27 Wakamwambia maneno yote ya Yusufu aliyokuwa amewambia. Yakobo alipoona mikokoteni Yusufu aliyokuwa amepeleka kuwabeba, roho ya Yakobo baba yao ikafufuka.
and to speak: speak to(wards) him [obj] all word Joseph which to speak: speak to(wards) them and to see: see [obj] [the] cart which to send: depart Joseph to/for to lift: bear [obj] him and to live spirit Jacob father their
28 Israeli akasema, “Inatosha. Yusufu mwanangu yu hai. Nitakwenda nikamwone kabla sijafa.”
and to say Israel many still Joseph son: child my alive to go: went and to see: see him in/on/with before to die

< Mwanzo 45 >