< Mwanzo 44 >

1 Yusufu akamwamru msimamizi wa nyumba yake, akisema, “Jaza magunia ya watu hawa kwa chakula, kiasi wawezacho kubeba, na uweke pesa ya kila mtu katika mdomo wa gunia lake.
and to command [obj] which upon house: home his to/for to say to fill [obj] sack [the] human food like/as as which be able [emph?] to lift: bear and to set: put silver: money man: anyone in/on/with lip sack his
2 Uweke kikombe changu, cha fedha, katika mdomo wa gunia la mdogo, na pesa yake ya chakula pia.” Msimamizi akafanya kama Yusufu alivyosema.
and [obj] cup my cup [the] silver: money to set: put in/on/with lip sack [the] small: young and [obj] silver: money grain his and to make: do like/as word Joseph which to speak: speak
3 Kukapambazuka asubuhi, na wale watu wakaruhusiwa kuondoka, wao na punda zao.
[the] morning to light and [the] human to send: depart they(masc.) and donkey their
4 Walipokuwa wametoka mjini lakini hawajafika mbali, Yusufu akamwambia msimamizi wa nyumba yake, “Inuka, uwafuatie wale watu, na utakapowapata, wambie, 'Kwa nini mmelipa uovu badala ya mema?
they(masc.) to come out: come [obj] [the] city not to remove and Joseph to say to/for which upon house: household his to arise: rise to pursue after [the] human and to overtake them and to say to(wards) them to/for what? to complete distress: evil underneath: instead welfare
5 Je hiki siyo kikombe ambacho bwana wangu hukinywea, na kikombe akitumiacho kwa uaguzi? Mmefanya vibaya, kwa jambo hili mlilolifanya.”
not this which to drink lord my in/on/with him and he/she/it to divine to divine in/on/with him be evil which to make: do
6 Msimamizi wa nyumba akawapata na kuwambia maneno haya.
and to overtake them and to speak: speak to(wards) them [obj] [the] word [the] these
7 Wakasema, “Kwa nini bwana wetu anasema maneno kama haya? Na iwe mbali na watumishi wako kwamba wanaweza kufanya jambo hili.
and to say to(wards) him to/for what? to speak: speak lord my like/as Chronicles [the] these forbid to/for servant/slave your from to make: do like/as Chronicles [the] this
8 Tazama, pesa tulizozikuta katika midomo ya magunia yetu, tulizileta kwako kutoka katika nchi ya Kanaani. Ni kwa jinsi gani basi tunaweza kuiba katika nyumba ya bwana wako fedha au dhahabu?
look! silver: money which to find in/on/with lip sack our to return: return to(wards) you from land: country/planet Canaan and how? to steal from house: home lord your silver: money or gold
9 Yeyote kitakayeonekana kwake miongoni mwa watumishi wako, atakufa, nasi sote tutakuwa watumwa wa bwana wangu.”
which to find with him from servant/slave your and to die and also we to be to/for lord my to/for servant/slave
10 Msimamizi akasema, “Basi na iwe kwa kadili ya maneno yenu. Yeye ambaye kikombe kitaonekana kwake atakuwa mtumwa wangu, nanyi wengine mtakuwa bila hatia.”
and to say also now like/as word: speaking your so he/she/it which to find with him to be to/for me servant/slave and you(m. p.) to be innocent
11 Kisha kila mtu akaharakisha na kulishusha gunia lake chini. na kila mtu akalifungua gunia lake.
and to hasten and to go down man: anyone [obj] sack his land: soil [to] and to open man: anyone sack his
12 Msimamizi akatafuta. akaanza na mkubwa wa wote na kumaliza kwa mdogo wa wote, na kikombe kikaonekana katika gunia la Benjamini.
and to search in/on/with great: old to profane/begin: begin and in/on/with small: young to end: finish and to find [the] cup in/on/with sack Benjamin
13 Wakararua mavazi yao. Kila mtu akapakia juu ya punda wake nao wakarudi mjini.
and to tear mantle their and to lift man: anyone upon donkey his and to return: return [the] city [to]
14 Yuda na ndugu zake wakaja katika nyumba ya Yusufu. Bado alikuwepo pale, nao wakainama mbele zake hata chini.
and to come (in): come Judah and brother: male-sibling his house: home [to] Joseph and he/she/it still he there and to fall: kill to/for face: before his land: soil [to]
15 Yusufu akawambia, “Je ni nini hili mlilolifanya? Je hamjui kwamba mtu kama mimi anafanya uaguzi.
and to say to/for them Joseph what? [the] deed [the] this which to make: do not to know for to divine to divine man which like me
16 Yuda akasema, “Je tunaweza kumwambia nini bwana wangu? Tuseme nini? au ni jinsi gani twaweza kujithibitisha wenyewe? Mungu ameona uovu wa watumishi wako. Tazama, sisi ni watumwa wa bwana wangu, wote sisi na yule ambaye kikombe kimeonekana mkononi mwake.”
and to say Judah what? to say to/for lord my what? to speak: speak and what? to justify [the] God to find [obj] iniquity: guilt servant/slave your look! we servant/slave to/for lord my also we also which to find [the] cup in/on/with hand his
17 Yusufu akasema, “Na iwe mbali nami kwamba naweza kufanya hivyo. Mtu ambaye kikombe kimeonekana mkononi mwake, huyu ndiye atakuwa mtumwa wangu, lakini ninyi wengine, nendeni kwa amani kwa baba yenu.”
and to say forbid to/for me from to make: do this [the] man which to find [the] cup in/on/with hand his he/she/it to be to/for me servant/slave and you(m. p.) to ascend: rise to/for peace to(wards) father your
18 Ndipo Yuda alipomkaribia na kusema, “Bwana wangu, tafadhari mwache mtumishi wako aseme neno katika masikio ya bwana wangu, na usiziache hasira zako kuwaka dhidi ya mtumishi wako, kwani wewe ni kama Farao.
and to approach: approach to(wards) him Judah and to say please lord my to speak: speak please servant/slave your word in/on/with ear: to ears lord my and not to be incensed face: anger your in/on/with servant/slave your for like you like/as Pharaoh
19 Bwana wangu aliwauliza watumishi wake, kusema, Je mnaye baba au ndugu?'
lord my to ask [obj] servant/slave his to/for to say there to/for you father or brother: male-sibling
20 Nasi tukamwambia bwana wangu, 'Tunaye baba, ni mzee, na mwana wa uzee wake, ni mdogo. Na ndugu yake alishakufa, na yeye peke yake ndiye amebaki kwa mama yake, na baba yake anampenda.'
and to say to(wards) lord my there to/for us father old and youth extreme age small and brother: male-sibling his to die and to remain he/she/it to/for alone him to/for mother his and father his to love: lover him
21 Nawe ukawambia matumishi wako, 'Mleteni ili nimwone.'
and to say to(wards) servant/slave your to go down him to(wards) me and to set: make eye my upon him
22 Nasi tukamwambia bwana wangu, 'Kijana hawezi kumwacha babaye. Kwani akimwacha babaye baba yake angekufa.'
and to say to(wards) lord my not be able [the] youth to/for to leave: forsake [obj] father his and to leave: forsake [obj] father his and to die
23 Na ukawambia watumishi wako, 'Mdogo wenu asipokuja pamoja nanyi, hamtauona uso wangu tena.'
and to say to(wards) servant/slave your if: until not to go down brother: male-sibling your [the] small: young with you not to add: again [emph?] to/for to see: see face my
24 Na ikawa tulipokwenda kwa mtumishi wako baba yangu, tulimwambia maneno ya bwana wangu.
and to be for to ascend: rise to(wards) servant/slave your father my and to tell to/for him [obj] word lord my
25 Na baba yetu akasema, Nendeni tena, mkatununulie chakula.'
and to say father our to return: again to buy grain to/for us little food
26 Nasi tukasema, “Hatuwezi kushuka. Ikiwa mdogo wetu atakuwa nasi, ndipo tutakaposhuka, kwani hatuwezi kuuona uso wa mtu yule mdogo wetu asipokuwa pamoja nasi.'
and to say not be able to/for to go down if there brother: male-sibling our [the] small: young with us and to go down for not be able to/for to see: see face [the] man and brother: male-sibling our [the] small: young nothing he with us
27 Mtumishi wako baba yetu akatwambia, 'Mnajua kwamba mke wangu alinizalia wana wawili.
and to say servant/slave your father my to(wards) us you(m. p.) to know for two to beget to/for me woman: wife my
28 Na mmoja akatoka kwangu nami nikasema, “Bila shaka ameraruliwa vipande, na tangu hapo sijamwona.”
and to come out: come [the] one from with me and to say surely to tear to tear and not to see: see him till here/thus
29 Nanyi mkimchukua huyu naye kutoka kwangu mabaya yanaweza kumpata, mtashusha mvi zangu kwa kaburini kwa huzuni. (Sheol h7585)
and to take: take also [obj] this from from with face: before my and to meet him harm and to go down [obj] greyheaded my in/on/with distress: evil hell: Sheol [to] (Sheol h7585)
30 Kwa hiyo, basi, nitapokuja kwa mtumishi wako baba yangu, na kijana hayupo nasi, kwa kuwa uhai wake umefungamanishwa katika uhai wa kijana,
and now like/as to come (in): come I to(wards) servant/slave your father my and [the] youth nothing he with us and soul: life his to conspire in/on/with soul: life his
31 itakuwa, atakapoona kwamba kijana hayupo nasi atakufa. Na watumishi wako watazishusha mvi za mtumishi wako baba yetu kaburini kwa masikitiko. (Sheol h7585)
and to be like/as to see: see he for nothing [the] youth and to die and to go down servant/slave your [obj] greyheaded servant/slave your father our in/on/with sorrow hell: Sheol [to] (Sheol h7585)
32 Kwani mtumishi wako alikuwa mdhamini wa kijana kwa baba yangu na alisema, 'Ikiwa sitamleta kwako, ndipo nitakapokuwa mwenye hatia kwa baba yangu daima.”
for servant/slave your to pledge [obj] [the] youth from from with father my to/for to say if not to come (in): bring him to(wards) you and to sin to/for father my all [the] day
33 Kwa hiyo sasa, tafadhari mwache mtumishi wake akae kama mtumwa kwa bwana wangu badala ya kijana, na umwache kijana aende na ndugu zake.
and now to dwell please servant/slave your underneath: instead [the] youth servant/slave to/for lord my and [the] youth to ascend: rise with brother: male-sibling his
34 Kwa maana nitakwenda jinsi gani kwa baba yangu ikiwa kijana hayupo nami? Ninaogopa kuona mabaya yatakayompata baba yangu.”
for how? to ascend: rise to(wards) father my and [the] youth nothing he with me lest to see: see in/on/with bad: evil which to find [obj] father my

< Mwanzo 44 >