< Mwanzo 36 >

1 Hivi ndivyo vizazi vya Esau (aliyeitwa pia Edom).
Et ce sont ici les générations d’Ésaü, qui est Édom.
2 Esau akachukua wakeze kutoka kwa Wakanaani. Hawa walikuwa wake zake: Ada binti Eloni Mhiti; Oholibama binti Ana, mjukuu wa Zibeoni Mhivi; na
Ésaü prit ses femmes d’entre les filles de Canaan: Ada, fille d’Élon, le Héthien; et Oholibama, fille d’Ana, fille de Tsibhon, le Hévien;
3 Basemathi, binti Ishmaeli, dada wa Nebayothi.
et Basmath, fille d’Ismaël, sœur de Nebaïoth.
4 Ada akamzaa Elifazi kwa Esau, na Basemathi akamzaa Reueli.
Et Ada enfanta à Ésaü Éliphaz; et Basmath enfanta Rehuel.
5 Oholibama akamzaa Yeushi, Yalamu, na Kora. Hawa walikuwa wana wa Esau waliozaliwa kwake katika nchi ya Kananaani.
Et Oholibama enfanta Jehush, et Jahlam, et Coré. Ce sont là les fils d’Ésaü, qui lui naquirent dans le pays de Canaan.
6 Esau akawachukua wakeze, wanawe, binti zake, na watu wote wa nyumba yake, mifugo wake - wanyama wake wote, na mali yake yote, aliyokuwa amekusanya katika nchi ya Kanaani, na akaenda katika nchi iliyoko mbali kutoka kwa Yakobo nduguye.
Et Ésaü prit ses femmes, et ses fils et ses filles, et toutes les personnes de sa maison, et ses troupeaux, et tout son bétail, et tout le bien qu’il avait acquis dans le pays de Canaan, et il s’en alla dans un pays, loin de Jacob, son frère;
7 Alifanya hivi kwa sababu mali zao zilikuwa nyingi sana kwa wao kuishi pamoja. Nchi waliyokuwa wamekaa isingeweza kuwafaa kwa mifugo yao.
car leur avoir était trop grand pour qu’ils puissent habiter ensemble, et le pays de leur séjour ne pouvait les porter à cause de leurs troupeaux.
8 Hivyo Esau, aliyejulikana pia kama Edomu, akakaa katika nchi ya kilima Seiri.
Et Ésaü habita dans la montagne de Séhir: Ésaü, c’est Édom.
9 Hivi ndivyo vizazi vya Esau, babu wa Waedomu katika nchi ya mlima Seiri.
Et ce sont ici les générations d’Ésaü, père d’Édom, dans la montagne de Séhir.
10 Haya yalikuwa majina ya wana wa Esau: Elifazi mwana wa Ada, mkewe Esau; Reueli mwana wa Basemathi, mkewe Esau.
Ce sont ici les noms des fils d’Ésaü: Éliphaz, fils d’Ada, femme d’Ésaü; Rehuel, fils de Basmath, femme d’Ésaü.
11 Wana wa Elifazi walikuwa Temani, Omari, Zefo, Gatamu, na Kenazi.
– Et les fils d’Éliphaz furent Théman, Omar, Tsepho, et Gahtam, et Kenaz.
12 Timna, suria wa Elifazi, mwana wa Esau, akamzaa Amaleki. Hawa walikuwa wajukuu wa Ada, mkewe Esau.
Et Thimna fut concubine d’Éliphaz, fils d’Ésaü, et elle enfanta à Éliphaz Amalek. Ce sont là les fils d’Ada, femme d’Ésaü.
13 Hawa walikuwa wana wa Reueli: Nahathi, Zera, Shama, na Miza. Hawa walikuwa wajukuu wa Basemathi, mkewe Esau.
– Et ce sont ici les fils de Rehuel: Nakhath et Zérakh, Shamma et Mizza. Ceux-là furent fils de Basmath, femme d’Ésaü.
14 Hawa walikuwa wana wa Oholibama, mkewe Esau, aliyekuwa binti Ana na mjukuu wa Zibeoni. Alimzalia Esau Yeushi, Yalamu, na Kora.
– Et ceux-ci furent fils d’Oholibama, fille d’Ana, fille de Tsibhon, femme d’Ésaü: et elle enfanta à Ésaü Jehush, et Jahlam, et Coré.
15 Hizi zilikuwa koo kati ya vizazi vya Esau: uzao wa Elifazi, mzaliwa wa kwanza wa Esau: Temani, Omari, Zefo, Kenazi, Kora,
Ce sont ici les chefs des fils d’Ésaü. Les fils d’Éliphaz, premier-né d’Ésaü: le chef Théman, le chef Omar, le chef Tsepho, le chef Kenaz,
16 Gatamu, na Amaleki. Hivi vilikuwa vizazi vya koo kutoka kwa Elifazi katika nchi ya Edomu. Walikuwa wajukuu wa Ada.
le chef Coré, le chef Gahtam, le chef Amalek. Ce sont là les chefs [issus] d’Éliphaz, au pays d’Édom. Ce sont là les fils d’Ada.
17 Hizi zilikuwa koo kutoka kwa Reueli, mwana wa Esau: Nahathi, Zera, Shama, Miza. Hizi zilikuwa koo kutoka kwa Reueli katika nchi ya Edomu. Walikuwa wajukuu wa Basemathi, mkewe Esau.
– Et ce sont ici les fils de Rehuel, fils d’Ésaü: le chef Nakhath, le chef Zérakh, le chef Shamma, le chef Mizza. Ce sont là les chefs [issus] de Rehuel, au pays d’Édom. Ce sont là les fils de Basmath, femme d’Ésaü.
18 Hizi zilikuwa koo za Oholibama, mkewe Esau: Yeushi, Yalamu, Kora. Hizi ni koo zilizotoka kwa Oholibama mkewe Esau, binti Ana.
– Et ce sont ici les fils d’Oholibama, femme d’Ésaü: le chef Jehush, le chef Jahlam, le chef Coré. Ce sont là les chefs [issus] d’Oholibama, fille d’Ana, femme d’Ésaü.
19 Hawa walikuwa wana wa Esau na koo zao.
– Ce sont là les fils d’Ésaü; et ce sont là leurs chefs: c’est Édom.
20 Hawa walikuwa wana wa Seiri Mhori, wenyeji wa nchi hiyo: Lotani, Shobali, Zibeoni, Ana,
Ce sont ici les fils de Séhir, le Horien, qui habitaient le pays: Lotan, et Shobal, et Tsibhon, et Ana,
21 Dishoni, Ezeri, na Dishani. Hizi zilikuwa koo the Wahori, wenyeji wa Seiri katika nchi ya Edomu.
et Dishon, et Étser, et Dishan. Ce sont là les chefs des Horiens, fils de Séhir, au pays d’Édom.
22 Wana wa Lotani walikuwa Hori na Hemani, na Timna alikuwa dada wa Lotani.
Et les fils de Lotan furent Hori et Hémam; et la sœur de Lotan, Thimna.
23 Hawa walikuwa wana wa Shobali: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo, na Onamu.
– Et ce sont ici les fils de Shobal: Alvan, et Manakhath, et Ébal, Shepho et Onam.
24 Hawa walikuwa wana wa Zibeoni: Aia na Ana. Huyu ndiye Ana aliyeona chemichemi za moto nyikani, alipokuwa akichunga punda wa Zibeoni babaye.
– Et ce sont ici les fils de Tsibhon: et Aïa et Ana. C’est cet Ana qui trouva les sources chaudes au désert, tandis qu’il paissait les ânes de Tsibhon, son père.
25 Hawa walikuwa watoto wa Ana: Dishoni na Oholibama, binti Ana.
– Et ce sont ici les fils d’Ana: Dishon, et Oholibama, fille d’Ana.
26 Hawa walikuwa wana wa Dishoni: Hemdani, Eshbani, Ithrani, na Kerani.
– Et ce sont ici les fils de Dishon: Hemdan, et Eshban, et Jithran, et Keran.
27 Hawa walikuwa wana wa Ezeri: Bilhani, Zaavani, na Akani.
– Ce sont ici les fils d’Étser: Bilhan, et Zaavan, et Akan.
28 Hawa walikuwa wana wa Dishani: Uzi na Arani.
– Ce sont ici les fils de Dishan: Uts et Aran.
29 Hizi zilikuwa koo za Wahori: Lotani, Shobali, Zibeoni, na Ana,
Ce sont ici les chefs des Horiens: le chef Lotan, le chef Shobal, le chef Tsibhon, le chef Ana,
30 Dishoni, Ezeri, Dishani: hizi zilikuwa koo za Wahori, kulingana na ukoo ulivyoorodheshwa katika nchi ya Seiri.
le chef Dishon, le chef Étser, le chef Dishan. Ce sont là les chefs des Horiens, selon leurs chefs, dans le pays de Séhir.
31 Hawa walikuwa wafalme waliomiliki katika nchi ya Edomu kabla ya mfalme yeyote kumilika juu ya Waisraeli:
Et ce sont ici les rois qui régnèrent dans le pays d’Édom, avant qu’un roi règne sur les fils d’Israël.
32 Bela mwana wa Beori, alitawala huko Edomu, na jina la mji wake lilikuwa Dinhaba.
Béla, fils de Béor, régna en Édom, et le nom de sa ville était Dinhaba.
33 Bela alipofariki, kisha Yobabu mwana wa Zera kutoka Bozra, akatawala mahali pake.
– Et Béla mourut; et Jobab, fils de Zérakh, de Botsra, régna à sa place.
34 Yobabu alipofariki, Hushamu aliyekuwa wa nchi ya Watemani, akatawala mahali pake.
– Et Jobab mourut; et Husham, du pays des Thémanites, régna à sa place.
35 Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi aliyewashinda Wamidiani katika nchi ya Moabu, akatawala mahali pake. Jina la mji wake lilikuwa Avithi.
– Et Husham mourut; et à sa place régna Hadad, fils de Bedad, qui frappa Madian dans les champs de Moab; et le nom de sa ville était Avith.
36 Hadadi alipofariki, kisha Samla wa Masreka akatawala mahali pake.
– Et Hadad mourut; et Samla, de Masréka, régna à sa place.
37 Samla alipofariki, kisha Shauli wa Rehobothi kando ya mto alitawala mahali pake.
– Et Samla mourut; et Saül, de Rehoboth sur le fleuve, régna à sa place.
38 Shauli alipofariki, kisha Baali Hanani mwana wa Akbori akatawala mahali pake.
– Et Saül mourut; et Baal-Hanan, fils d’Acbor, régna à sa place.
39 Baali Hanani mwana wa Akbori, alipokufa, kisha Hadari akatawala mahali pake. Jina la mji wake lilikuwa Pau. Jina la mkewe lilikuwa Mehetabeli, binti Matredi, mjukuu wa Me Zahabu.
– Et Baal-Hanan, fils d’Acbor, mourut; et Hadar régna à sa place; et le nom de sa ville était Pahu; et le nom de sa femme, Mehétabeël, fille de Matred, fille de Mézahab.
40 Haya ndiyo yalikuwa majina ya wakuu wa koo kutoka uzao wa Esau, kwa kufuata koo zao na maeneo yao, kwa majina yao: Timna, Alva, Yethethi,
Et ce sont ici les noms des chefs d’Ésaü, selon leurs familles, selon leurs lieux, par leurs noms: le chef Thimna, le chef Alva, le chef Jetheth,
41 Oholibama, Ela, Pinoni,
le chef Oholibama, le chef Éla, le chef Pinon,
42 Kenazi, Temani, Mbza,
le chef Kenaz, le chef Théman, le chef Mibtsar,
43 Magdieli, na Iramu. Hawa walikuwa wakuu wa ukoo wa Edomu, kwa kufuata makao yao katika nchi waliyomiliki. Nao ni Esau, baba wa Waedomu.
le chef Magdiel, le chef Iram. Ce sont là les chefs d’Édom, selon leurs habitations dans le pays de leur possession. C’est Ésaü, père d’Édom.

< Mwanzo 36 >