< Mwanzo 12 >

1 Kisha Yahwe akamwambia Abram, “Nenda utoke katika nchi yako, na toka kwa ndugu zako, na kwa jamaa za baba yako, uende katika nchi nitakayo kuonesha.
Тогава Господ каза на Аврама: Излез от отечеството си, измежду рода си и из бащиния си дом, та иди в земята, която ще ти покажа.
2 Nitakufanya uwe taifa kubwa, na nitakubariki na kulifanya jinalako kuwa kubwa, na utafanyika baraka.
Ще те направя голям народ; ще те благословя, и ще прославя името ти, и ще бъдеш за благословение.
3 Nitawabariki wakubarikio, lakini asiye kuheshimu nita mlaani. Kupitia kwako familia zote za nchi zitabarikiwa.
Ще благословя ония, които те благославят, а ще прокълна всеки, който те кълне; и в тебе ще се благославят всички земни племена.
4 Kwa hiyo Abram akaondoka kama vile Yahwe alivyo mwambia kufanya, na Lutu akaenda pamoja naye. Abram alikuwa na miaka sabini na mitano wakati alipotoka Harani.
И тъй, Аврам тръгна според както му рече Господ, и Лот тръгна с него. А Аврам беше на седемдесет и пет години, когато излезе от Харан.
5 Abram akamchukua Sarai mkewe, Lutu, mtoto wa ndugu yake, na vyote walivyomiliki ambavyo wamevikusanya, na watu ambao wamewapata wakiwa huko Harani. Wakatoka kwenda katika nchi ya Kanaani, wakafika nchi ya Kanaani.
Аврам взе жена си Сарайя, братанеца си Лот, всичкия имот, който бяха спечелили, и хората, които бяха придобили в Харан, та излязоха, за да отидат в Ханаанската земя.
6 Abram akapitia katikati ya nchi hadi Shekemu, hadi mwaloni wa More. Wakati huo wakanaani waliishi katika nchi hiyo.
И Аврам пропътува земята до местността Сихем, до дъба Море. В това време ханаанците живееха в земята.
7 Yahwe akamtokea Abram, na kusema, “Nitawapa uzao wako nchi hii.” Kwa hiyo Abram akamjengea madhabahu, Yahwe ambaye alimtokea.
И Господ се яви на Аврама и рече: На твоето потомство ще дам тая земя. И там издигна олтар на Господа, Който му се яви.
8 Kutoka pale akaenda kwenye nchi ya mlima mashariki mwa Betheli, ambapo alipiga hema yake, magaribi kukiwa na Betheli na mashariki kukiwa na mji wa Ai. Akajenga madhabahu ya Yahwe pale na kuliitia jina la Yahwe.
От там се премести към хълма, който е на изток от Ветил, дето разпъна шатрата си, Ветил оставаше на запад, а Гай - на изток; и там издигна олтар на Господа и призова Господното име.
9 Kisha Abram akaendelea kusafiri, akielekea upande wa Negebu.
После, като се дигна, Аврам все напредваше към юг.
10 Kulikuwa na njaa katika nchi, kwa hiyo Abram akaenda kukaa Misri, kwa kuwa njaa ilikua kali katika nchi.
А настана глад в земята; затова Аврам слезе в Египет да поживее там, понеже гладът беше се усилил в Ханаанската земя.
11 Wakati alipokaribia kuingia Misri, akamwambia Sarai mkewe, “tazama, najua kuwa wewe ni mwanamke mzuri.
И когато наближи да влезе в Египет, рече на жена си Сарайя: Виж сега, зная, че си жена красива наглед.
12 Wamisri watakapokuona watasema, huyu ni mke wake, na wataniua mimi, lakini watakuacha wewe hai.
Египтяните, като те видят, ще рекат: Тя му е жена; и мене ще убият, а тебе ще оставят жива.
13 Hivyo wewe sema kuwa ni dada yangu, ili kwamba niwe salama kwa sababu yako, na kumba maisha yangu yatasalimika kwa sababu yako.”
Кажи, моля, че си ми сестра, за да ми бъда добре покрай тебе и да се опази живота ми, поради твоята дума.
14 Ikawa kwamba Abram alipoingia Misri, Wamisri wakaona kwamba Sarai ni mzuri sana.
И като влезе Аврам в Египет, египтяните видяха, че жената беше твърде красива.
15 Wakuu wa Farao wakamuona, na kumsifia kwa Farao, na huyu mwanamke akachukuliwa kupelekwa nyumbani mwa Farao.
Видяха я и Фараоновите големци и я похвалиха на Фараона; затова жената беше заведена в дома на Фараона.
16 Farao akamtendea kwa wema Abram kwa ajili yake, na akampatia kondoo, maksai, punda waume watumishi wa kiume, watumishi wa kike, punda wake, na ngamia.
И заради нея той стори добро на Аврама, който достигна да има овци, говеда, осли, слуги, слугини, ослици и камили.
17 Kisha Yahwe akampiga Farao na nyumba yake kwa mapigo makuu kwa sababau ya Sarai, mke wa Abram.
Но Господ порази Фараона и дома му с тежки язви, поради Аврамовата жена Сарайя.
18 Farao akamwita Abram na kusema, “Nini hiki ambacho umenifanyia? Kwa nini hukuniambia kuwa alikuwa mke wako?
Тогава Фараон повика Аврама и рече: Що е това, което ти ми стори? Защо не ми каза, че ти е жена?
19 Kwa nini ulisema, 'ni dada yangu; na mimi nikamchukua kuwa mke wangu? Sasa kwa sababu hiyo huyu hapa mke wako. Mchukue na uende zako.”
Защо ми каза: Сестра ми е, така че аз си я взех за жена; сега, прочее, ето жена ти; вземи я и си иди.
20 Kisha Farao akatoa amri kwa watu wake kuhusiana naye, na wakamuondoa, yeye pamoja na mke wake na vyote alivyokuwa navyo.
И Фараон му определи човеци, които изпратиха него, жена му и всичко що имаше.

< Mwanzo 12 >