< Mwanzo 11 >

1 Sasa nchi yote ilikuwa inatumia lugha moja na ilikua na usemi mmoja.
А по цялата земя се употребяваше един език и един говор.
2 Ikawa waliposafiri upande wa mashariki, wakaona eneo tambarare katika nchi ya Shinari na wakakaa pale.
И като потеглюваха човеците към изток, намериха поле в Сенаарската земя, гдето се и заселиха.
3 Wakasemezana, “Haya njoni, tufanye matofari na tuyachome kikamilifu.” Walikuwa na matofari badala ya mawe na lami kama chokaa.
И рекоха си един на друг: Елате, да направим тухли и да ги изпечем в огъня. Тухли употребяваха вместо камъни, а смола употребяваха вместо кал.
4 Wakasema, “njoni, na tujenge mji sisi wenyewe na mnara ambao kilele chake kitafika angani, na tujifanyie jina. Kama hatutafanya, basi tutatawanyika katika uso wa nchi yote.”
И рекоха: Елате, да си съградим град, даже кула, чийто връх да стига до небето; и да си спечелим име, да не би да се разпръснем по лицето на цялата земя.
5 Kwa hiyo Yahwe akashuka kuona mji na mnara ambao wazao wa Ibrahimu walikuwa wamejenga.
А Господ слезе да види града и кулата, които градяха човеците.
6 Yahwe akasema, “Tazama, watu hawa ni taifa moja na lugha moja, na wameanza kufanya hivi! Hivikaribuni halitashindikana jambo watakalo kusudia kulifanya.
И рече Господ: Ето, едни люде са, и всички говорят един език; и това е което са почнали да правят; и не ще може вече да им се забрани, какво да било нещо, що биха намислили да направят.
7 Njoni, tushuke na tuvuruge lugha yao pale, ili kwamba wasielewane.”
Елате да слезем, и там да разбъркаме езика им, тъй щото един други да не разбират езика си.
8 Kwa hiyo Yahwe akawatawanya kutoka pale kwenda pande zote za uso wa nchi na wakaacha kujenga mji.
Така Господ ги разпръсна от там по лицето на цялата земя; а те престанаха да градят града.
9 Kwa hiyo, jina lake ukaitwa Babeli, kwa sababu hapo Yahwe alivuruga lugha ya nchi yote na tangu pale Yahwe akawatawanya ng'ambo juu ya uso wa nchi yote.
За това той се наименува Вавилон, защото там Господ разбърка езика на цялата земя; и от там Господ ги разпръсна по лицето на цялата земя.
10 Hivi ndivyo vilikuwa vizazi vya Shemu. Shemu alikuwa na umri wa miaka mia moja, na akamzaa Alfaksadi miaka miwili baada ya gharika.
Ето Симовото потомство: Сим беше на сто години, а роди Арфаксада две години след потопа;
11 Shemu akaishi miaka miatano baada ya kumzaa Alfaksadi. Pia akazaa wana wengine wa kiume na wa kike.
а откак роди Арфаксада, Сим живя петстотин години, и роди синове и дъщери.
12 Wakati Alfaksadi alipokuwa ameishi miaka thelathini na mitano akamzaa Shela.
Арфаксад живя тридесет и пет години и роди Сала;
13 Alfaksadi aliishi miaka 403 baada ya kumzaa Shela. Akawazaa pia wana wengine wa kiume na wa kike.
а откак роди Сала, Арфаксад живя четиристотин и три години, и роди синове и дъщери.
14 Wakati Shela alipokuwa ameishi miaka thelathini, akamzaa Eberi.
Сала живя тридесет години и роди Евера;
15 Shela aliishi miaka 403 baada ya kumzaa Eberi. Akawazaa pia wana wengine wa kiume na wa kike.
а откак роди Евера, Сала живя четиристотин и три години, и роди синове и дъщери.
16 Wakati Eberi alipokuwa ameishi miaka thelathini na minne, akamzaa Pelegi.
Евер живя тридесет и четири години и роди Фалека;
17 Eberi aliishi miaka 430 baada ya kumzaa Pelegi. Akawazaa pia wana wengine wa kiume na wa kike.
а откак роди Фалека, Евер живя четиристотин и тридесет години и роди синове и дъщери.
18 Wakati Pelegi alipokuwa ameishi miaka thelathini, akamzaa Reu.
Фалек живя тридесет години и роди Рагава;
19 Pelegi aliishi miaka 209 baada ya kumza a Reu. Akawazaa pia wana wengine wa kiume na wa kike.
а откак роди Рагава, Фалек живя двеста и девет години и роди синове и дъщери.
20 Wakati Reu alipokuwa ameishi miaka thelathini na miwili, alimzaa Serugi.
Рагав живя тридесет и две години и роди Серуха;
21 Reu aliishi miaka207 baada ya kumzaa Seregu. Akawazaa pia wana wengine wa kiume na wa kike.
а откак роди Серуха, Рагав живя двеста и седем години и роди синове и дъщери.
22 Wakati Seregu alipokuwa ameishi miaka thelathini, akamzaa Nahori.
Серух живя тридесет години и роди Нахора;
23 Seregu aliishi miaka mia mbili baada ya kumzaa Nahori. Akawazaa pia wana wengine wa kiume na wa kike.
а откак роди Нахора, Серух живя двеста години и роди синове и дъщери.
24 Wakati Nahori alipokuwa ameishi miaka ishirini na tisa, akamzaa Tera.
Нахор живя двадесет и девет години и роди Тара;
25 Nahori aliishi mika 119 baada ya kumzaa Tera. Akawazaa pia wana wengine wa kiume na wa kike.
а откак роди Тара, Нахор живя сто и деветнадесет години и роди синове и дъщери.
26 Baada ya Tera kuishi miaka sabini, akamzaa Abram, Nahori, na Haran.
Тара живя седемдесет години и роди Аврама, Нахора и Арана.
27 Hivi ndivyo vilikuwa vizazi vya Tera. Tera alimzaa Abram, Nahori, na Harani, na Harani akamzaa Lutu.
Ето потомството и на Тара: Тара роди Аврама, Нахора и Арана; а Аран роди Лота.
28 Harani akafa machoni pa baba yake Tera katika nchi aliyozaliwa, katika Ur wa Wakaldayo.
И Аран умря преди баща си Тара в Ур Халдейски, в родната си земя.
29 Abram na Nahori wakajitwalia wake. Mke wa Abram aliitwa Sarai na mke wa Nahori aliitwa Milka, binti wa Harani, aliyekuwa baba wa Milka na Iska.
И Аврам и Нахор си взеха жени; името на Аврамовата жена бе Сарайя, а името на Нахоровата жена Мелха, Дъщеря на Арана, който освен че беше баща на Мелха, беше баща и на Есха.
30 Sasa Sarai alikuwa Tasa; hakuwa na mtoto.
А Сарайя беше бездетна, нямаше чада.
31 Tera akamtwaa Abram mwanawe, Lutu mwana wa mwanawe Harani, na Sarai mkwewe, mke wa mwanawe Abram, na kwa pamoja wakatoka Ur wa Wakaldayo, kwenda katika nchi ya Kanaani. Lakini walipofika Harani wakakaa pale.
И Тара взе сина си Аврама и внука си Лота, Арановия син, и снаха си Сарайя, жената на сина си Аврама та излязоха от Ур Халдейски, за да отидат в Ханаанската земя; и дойдоха в Харан, гдето се и заселиха.
32 Tera akaishi miaka 205 kisha akafa hapao Harani.
И дните на Тара станаха двеста и пет години; и Тара умря в Харан.

< Mwanzo 11 >