< Mwanzo 10 >

1 Hivi ndivyo vilikuwa vizazi vya wana wa Nuhu, ambao ni, Shemu, Hamu, na Yafethi. Wana wa kiume walizaliwa kwao baada ya gharika.
Ето потомството на Ноевите синове, Сима Хама и Яфета; че и на тях се родиха синове след потопа.
2 Wana wa Yafethi walikuwa Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Masheki, na Tirasi.
Яфетови синове: Гомер, Магог, Мадай, Яван, Тувал, Мосох и Тирас.
3 Na wana wa Gomeri walikuwa Ashikenazi, Rifathi na Togama.
А Гомерови синове: Асханаз, Рифат и Тогарма.
4 Wana wa Yavani walikuwa Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Dodanimu.
А Яванови синове: Елисей, Тарсис, Китим и Доданим.
5 Kutoka kwa hawa watu wa pwani waligawanyika na kwenda kwenye ardhi zao, kila mtu na lugha yake, kufuatana na koo zao, kwa mataifa yao.
От тях се разделиха островите на народите, в техните земи, всеки според езика си, според племето си, в народите си.
6 Wana wa Hamu walikuwa Kushi, Misraimu, Putu, na Kanaani.
Хамови синове: Хус, Мицраим, Фут и Ханаан.
7 Wana wa Kushi walikuwa Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa Sheba na Dedani.
А Хусови синове: Сева, Евила, Савта, Раама и Савтека; а Раамови синове: Шева и Дедан.
8 Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikuwa hodari wa kwanza juu ya nchi.
Хус роди и Нимрода. Той пръв стана силен на земята.
9 Alikuwa mwindaji mkuu mbele ya Yahwe. Hii ndiyo sababu hunenwa, “Kama Nimrod mwindaji mkuu mbele za Yahwe.”
Той беше голям ловец пред Господа: затова се казва: Като Нимрода, голям Ловец пред Господа.
10 Miji ya kwanza ya ufalme wake ilikuwa Babeli, Ereku, Akadi na Kalne, katika ichi ya Shinari.
Първо тоя царува над Вавилон Ерех, Акад и Халне, в Сенаарската земя.
11 Kutoka katika nchi ile alikwenda Ashuru na akajenga Ninawi, Rehoboth- iri na Kala,
От тая земя излезе и отиде в Асирия, та съгради Ниневия, Роовот-Ир, Халах
12 na Raseni ambao ulikuwa kati ya Ninawi na Kala. Ulikuwa mji mkubwa.
и Ресен между Ниневия и Халах (който е големия град).
13 Misraimu akazaa Waludi, Waanami, Walehabi, na Wanaftuhi,
А Мицраим роди Лудим, Анамим, Леавим, Нафтухим.
14 Wapathrusi na Wakasluhi ( ambao kwao Wafilisti walitokea), na Wakaftori.
Патрусим, Каслухим (от които произлязоха филистимците) и Кафторим.
15 Kanaani akamzaa Sidono, mwanawe wa kwanza, na Hethi,
А Ханаан роди: първородния си син Сидон, после Хет,
16 pia na Myebusi, na Mwamori, Mgirgashi,
евусейците, аморейците, гергесейците,
17 Mhivi, Mwarki, Msini,
евейците, арукейците, асенейците,
18 Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi. Baadaye koo za wakanaani zikasambaa.
арвадците, цемарейците и аматейците; и след това ханаанските племена се пръснаха.
19 Mpaka wa Wakanaani ulianzia Sidoni, katika mwelekeo wa Gerari, hata Gaza, na kama kuelekea Sodoma, Gomora, Adma, na Seboimu hata Lasha.
Пределът на ханаанците беше от Сидон, като се отива за Герар до Газа, и като се отива за Содом и Гомор, Адма и Цевоим да Лаша.
20 Hawa walikuwa wana wa Ham, kwa koo zao, kwa lugha zao, katika ardhi zao na katika mataifa yao.
Тия са Хамовите синове в земите си, в народите си, според племената си, според езиците си.
21 Pia walizaliwa wana kwa Shemu, ndugu yake mkubwa wa Yafethi. Shemu pia alikuwa baba yao na watu wote wa Eberi.
Родиха се тъй също чада на Сима, баща на всичките Еверовци и по-стар брат на Яфета.
22 Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Alfaksadi, Ludi, na Aramu.
Симови синове: Елам, Асур, Арфаксад, Луд и Арам.
23 Wana wa Aramu walikuwa ni Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
А Арамови синове: Уз, Ул, Гетер и Маш.
24 Arfaksadi akamzaa Sela, na Sela akamzaa Eber.
И Арфаксад роди Сала, а Сала роди Евера.
25 Eberi akazaa wana wawili wa kiume. Jina la mmoja aliitwa Pelegi maana katika siku zake nchi iligawanyika. Jina la ndugu yake aliitwa Yoktani.
И на Евера се родиха двама сина; името на единия беше Фалек защото в неговите дни се разпредели земята; а името на брата му беше Иоктан.
26 Yoktani akamzaa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
Иоктан роди Алмодада, Шалефа, Хацармавета, Яраха.
27 Hadoram, Uzali, Dikla,
Адорама, Узала, Дикла,
28 Obali, Abimaeli, Sheba,
Овала, Авимаила, Шева,
29 Ofiri, Havila, na Yobabi. Hawa wote walikuwa wana wa Yoktani.
Офира, Евила и Иовава; всички тия бяха Иоктанови синове.
30 Mpaka wao ulikuwa unaanzia Mesha, hadi Sefari, mlima wa mashariki.
Техните поселения бяха от Меша, като се отива за Сефар, източната планина.
31 Hawa walikuwa wana wa Shemu, kulingana na koo zao na lugha zao, katika ardhi zao kulingana na mataifa yao.
Тия са Симовите синове в земите си, според племената си, според езиците си, според народите си.
32 Hizi zilikuwa koo za wana wa Nuhu, kulingana na vizazi vyao, kwa mataifa yao. Kutokea kwa hawa mataifa yaligawanyika na kwenda juu ya nchi baada ya gharika.
Тия са племената на Ноевите синове според поколенията им, в народите им; и от тях се отделиха народите по земята след потопа.

< Mwanzo 10 >