< Ezra 2 >

1 Hawa ndio watu katika jimbo waliochukuliwa mateka na kwenda na mfalme Nebukadneza, yeye aliwachukua utumwani Babeli, watu wakarudi katika miji yao ya Yerusalem na Yuda.
Now these are the children of the province, that went up out of the captivity of those that had been carried away, whom Nebuchadnezzar the king of Babylon had carried away unto Babylon, and that returned unto Jerusalem and Judah, every one unto his city;
2 Walikuja pamoja na Zerubabeli, Yoshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari., Bigwai, Rehumu, na Baana. Hii ndio idadi ya wanaume ya watu wa Israeli.
who came with Zerubbabel, Jeshua, Nehemiah, Seraiah, Reelaiah, Mordecai, Bilshan, Mispar, Bigvai, Rehum, Baanah. The number of the men of the people of Israel:
3 Waporoshi: 2, 172
The children of Parosh, two thousand a hundred seventy and two.
4 Wana wa Shefatia: 372
The children of Shephatiah, three hundred seventy and two.
5 Wana wa Ara: 775.
The children of Arah, seven hundred seventy and five.
6 Wana wa Path-Moabu, kupitia Yeshua na Yoabu: 2, 812.
The children of Pahath-moab, of the children of Jeshua and Joab, two thousand eight hundred and twelve.
7 Wana wa Eliamu: 1, 254.
The children of Elam, a thousand two hundred fifty and four.
8 Wana wa Zatu: 945.
The children of Zattu, nine hundred forty and five.
9 Wana wa Zakai: 760.
The children of Zaccai, seven hundred and threescore.
10 Wana wa Binui: 642.
The children of Bani, six hundred forty and two.
11 Wana wa Bebai: 623.
The children of Bebai, six hundred twenty and three.
12 Wana wa Azgadi: 1, 222.
The children of Azgad, a thousand two hundred twenty and two.
13 Wana wa Adonikamu: 666.
The children of Adonikam, six hundred sixty and six.
14 Wana wa Bigwai: 2, 056.
The children of Bigvai, two thousand fifty and six.
15 Wana wa Adini: 454.
The children of Adin, four hundred fifty and four.
16 Wana wa Ateri kupitia Hezekiah: tisini na nane.
The children of Ater, of Hezekiah, ninety and eight.
17 Wana wa Besai: 323.
The children of Bezai, three hundred twenty and three.
18 Wana wa Harifu: 112.
The children of Jorah, a hundred and twelve.
19 Wanaume wa Hashimu: 223.
The children of Hashum, two hundred twenty and three.
20 Wanaume wa Gibeoni: Tisini na tano.
The children of Gibbar, ninety and five.
21 Wanaume wa Bethlehemu: 123.
The children of Beth-lehem, a hundred twenty and three.
22 Wanaume wa Netofa: Hamsini na sita.
The men of Netophah, fifty and six.
23 Wanaume wa Anathothi: 128.
The men of Anathoth, a hundred twenty and eight.
24 Wanaume wa Beth-Azmawethi: Arobaini na mbili.
The children of Azmaveth, forty and two.
25 Wanaume wa Kiriath-Yearimu, na Kefira, na Beerothi: Mia saba arobaini na tatu.
The children of Kiriath-arim, Chephirah, and Beeroth, seven hundred and forty and three.
26 Wanaume wa Rama na Geba: 621.
The children of Ramah and Geba, six hundred twenty and one.
27 Wanaume wa Mikmashi: 122.
The men of Michmas, a hundred twenty and two.
28 Wanaume wa Betheli, na Ai: 223.
The men of Beth-el and Ai, two hundred twenty and three.
29 Wanaume wa Nebo: Hamsini na mbili.
The children of Nebo, fifty and two.
30 Wanaume wa Magbishi: 156.
The children of Magbish, a hundred fifty and six.
31 Wanaume wengine wa Elamu: 1, 254.
The children of the other Elam, a thousand two hundred fifty and four.
32 nne. Wanaume wa Harimu: 320.
The children of Harim, three hundred and twenty.
33 Wanaume wa Lodi, na Hadidi, na Ono: 725.
The children of Lod, Hadid, and Ono, seven hundred twenty and five.
34 Wanaume wa Yeriko: 345.
The children of Jericho, three hundred forty and five.
35 Wanaume wa Senaa: 3, 630.
The children of Senaah, three thousand and six hundred and thirty.
36 Wana wa Yedaya kuhani wa nyumba ya Yoshua: 973.
The priests: the children of Jedaiah, of the house of Jeshua, nine hundred seventy and three.
37 Wana wa Imeri: 1, 052.
The children of Immer, a thousand fifty and two.
38 Wana wa Pashuri: 1, 247.
The children of Pashhur, a thousand two hundred forty and seven.
39 Wana wa Harimu: 1, 017.
The children of Harim, a thousand and seventeen.
40 Walawi: Wana wa Yeshua, na Kadmieli, wana wa Hodavia: Sabini na
The Levites: the children of Jeshua and Kadmiel, of the children of Hodaviah, seventy and four.
41 nne. Waimbaji hekaluni wana wa Asafu: 128.
The singers: the children of Asaph, a hundred twenty and eight.
42 Walinzi: wana wa Shalumu, Ateri na, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai: 139 jumla.
The children of the porters: the children of Shallum, the children of Ater, the children of Talmon, the children of Akkub, the children of Hatita, the children of Shobai, in all a hundred thirty and nine.
43 Wale walichaguliwa kuhudumu ndani ya Hekalu: wana wa Siha, Hasufa, Tabaothi:
The Nethinim: the children of Ziha, the children of Hasupha, the children of Tabbaoth;
44 Keros, Siaha, Padoni.
the children of Keros, the children of Siaha, the children of Padon;
45 Lebana, Hagaba, Akubu,
the children of Lebanah, the children of Hagabah, the children of Akkub;
46 Hagabu, Salmai, Hanani
the children of Hagab, the children of Salmai, the children of Hanan;
47 Wana wa Gideli, Gahari, Reaya,
the children of Giddel, the children of Gahar, the children of Reaiah;
48 Resini, Nekoda, Gazamu,
the children of Rezin, the children of Nekoda, the children of Gazzam;
49 Uza, Pasea, Besai,
the children of Uzza, the children of Paseah, the children of Besai;
50 Asna, Meunimu, Nefusimu:
the children of Asnah, the children of Meunim, the children of Nephusim;
51 Wana wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri:
the children of Bakbuk, the children of Hakupha, the children of Harhur;
52 Basluthi, Mehida, Barsha:
the children of Bazluth, the children of Mehida, the children of Harsha;
53 Barkosi, Sisera, Tema:
the children of Barkos, the children of Sisera, the children of Temah;
54 Nesia, Tefa
the children of Neziah, the children of Hatipha.
55 Wana wa watumishi wa Selemani: Wana wa Sotai, Soferethi, Peruda,
The children of Solomon's servants: the children of Sotai, the children of Hassophereth, the children of Peruda;
56 Yaala, Darkoni, Gideli,
the children of Jaalah, the children of Darkon, the children of Giddel;
57 Shefatia, Hatili, Pokereth-Sebaimu, Amoni,
the children of Shephatiah, the children of Hattil, the children of Pochereth-hazzebaim, the children of Ami.
58 Walikuwa jumla ya watumishi mia tatu tisini na mbili waliochaguliwa kutumika katika Hekalu pamoja na wana wa watumishi wa Selemani.
All the Nethinim, and the children of Solomon's servants, were three hundred ninety and two.
59 Wale ambao walitoka Tel-mela, Tel-harsha, Kerubu, Adani, na Imeri, Lakini hawakuweza kuthibitisha kizazi chao kilitoka Israeli-
And these were they that went up from Tel-melah, Tel-harsa, Cherub, Addan, and Immer; but they could not tell their fathers' houses, and their seed, whether they were of Israel:
60 pamoja na mia sita hamsini na mbili wana wa Delaya, Tobia na Nekoda.
the children of Delaiah, the children of Tobiah, the children of Nekoda, six hundred fifty and two.
61 Vilevile, kutoka kwa wana wa kuhani: Wana wa Habaya, Hakosi, Barzilai (ambaye alipata mke kutoka kwa binti ya Barzilai, Mgileadi na akaitwa kwa jina lao)
And of the children of the priests: the children of Habaiah, the children of Hakkoz, the children of Barzillai, who took a wife of the daughters of Barzillai the Gileadite, and was called after their name.
62 Walitafuta kumbukumbu ya kizazi chao, lakini haikupatikana, hivyo wakaondolewa kwenye ukuhani kama wasiosafi.
These sought their register, that is, the genealogy, but it was not found; therefore were they deemed polluted and put from the priesthood.
63 Hivyo kiongozi akawakataza wasile kitu chochote kitakatifu kilichotakaswa mpaka kuhani mwenye Urimu na Thumimu athibitishe.
And the Tirshatha said unto them, that they should not eat of the most holy things, till there stood up a priest with Urim and with Thummim.
64 Jumla ya kundi 42, 360,
The whole congregation together was forty and two thousand three hundred and threescore,
65 ukiondoa watumishi na wasaidizi (wao walikuwa 7, 337) waimbaji Hekaluni wanaume na wanawake (mia mbili)
beside their men-servants and their maid-servants, of whom there were seven thousand three hundred thirty and seven; and they had two hundred singing men and singing women.
66 Farasi wao: 736, Nyumbu wao: 245.
Their horses were seven hundred thirty and six; their mules, two hundred forty and five;
67 Ngamia wao: 435. Punda wao: 6, 720.
their camels, four hundred thirty and five; their asses, six thousand seven hundred and twenty.
68 Walipokwenda kwenye nyumba ya Yahwe Yerusalem, wakuu wa mababa walijitoa kwa hiari kujenga nyumba.
And some of the heads of fathers' houses, when they came to the house of the LORD which is in Jerusalem, offered willingly for the house of God to set it up in its place;
69 Walitoa kadiri ya uwezo wao katika kufadhili kazi: Dhahabu za darkoni sitini na moja elfu, mane za fedha elfi tano na mavazi mia moja ya makuhani.
they gave after their ability into the treasury of the work threescore and one thousand darics of gold, and five thousand pounds of silver, and one hundred priests' tunics.
70 Basi makuhani na walawi, watu, waimbaji hekaluni, na walinzi wa getini, na wale waliochaguliwa kutumika katika Hekalu walikaa katika miji yao. Watu wote katika Israel walikuwa katika miji yao.
So the priests, and the Levites, and some of the people, and the singers, and the porters, and the Nethinim, dwelt in their cities, and all Israel in their cities.

< Ezra 2 >