< Ezekieli 8 >

1 Hivyo ikawa kuhusu katika mwaka wa sita na mwezi wa sita, katika siku ya tano ya mwezi, nilipokuwa nimeketi kwenye nyumba yangu na wazee wa Yuda waliketi mbele yangu, kwamba mkono wa Bwana Yahwe ukanijaza juu yangu huko.
Or il arriva en la sixième année, au sixième mois, au cinquième jour du mois, que, lorsque j’étais assis dans ma maison, et que les vieillards de Juda étaient assis devant moi, tomba là sur moi la main du Seigneur Dieu.
2 Hivyo nikaona, na tazama, kulikuwa na mfano kama mwonekano wa mwanadamu. Kutoka kwenye mwonekano wake wa nyonga kwenda chini kulikuwa na moto. Na kutoka kwenye nyonga kwenda juu kulikuwa na mwonekano wa kitu kinachong'aa, kama mng'ao wa chuma.
Et je vis, et voilà la ressemblance d’un homme, comme l’aspect d’un feu; de l’aspect de ses reins et au-dessous c’était du feu; et des reins et au-dessus, comme l’aspect d’une splendeur, comme la vue du succin.
3 Kisha akanyoosha kutoka kwenye mkono na kunichukua kwa nywele za kichwa changu; Roho akaniacha juu kati ya dunia na mbingu, na katika maono kutoka kwa Mungu, akaniletea hata Yerusalemu, kwenye mlango wa kuingia ndani ya lango la kaskazini, ambako sanamu ile iletayo wivu mkubwa ilipokuwa imesiamama.
Et la ressemblance d’une main envoyée par cet homme me saisit par une boucle de cheveux de ma tête; et un esprit m’éleva entre le ciel et la terre, et m’amena à Jérusalem dans une vision de Dieu, près de la porte intérieure qui regardait du côté de l’aquilon, où était placée l’idole de la jalousie, pour provoquer la jalousie.
4 Kisha tazama, utukufu wa Mungu wa Israeli ulikuwa huko, kulingana na ono nililokuwa nimeliona kwenye uwanda.
Et voici que là était la gloire du Dieu d’Israël, selon la vision que j’avais vue dans la plaine.
5 Kisha akanambia, “Mwanadamu, inua juu macho yako kwenda upande wa kaskazini.” Hivyo nikainua macho yangu kuelekea kaskazini, na kwenye lango la kaskazini kulekea kwenye madhabahu, huko kwenye lango la kuingilia, kulikuwa na sanamu ya wivu.
Et il me dit: Fils d’un homme, lève tes yeux vers la voie de l’aquilon. Et je levai mes yeux vers la voie de l’aquilon; et voilà que du côté de l’aquilon de la porte de l’autel était l’idole de la jalousie à l’entrée même.
6 Hivyo akanambia, “Mwanadamu, unaona wanayoyafanya? Haya ni machukizo makubwa ambayo nyumba ya Israeli wanayoyafanya hapa kunifanya niende mbali kutoka patakatifu pangu. Lakini utageuka na kuona machukizo makubwa zaidi.”
Et il me dit: Fils d’un homme, vois-tu, toi, ce que font ceux-ci, les grandes abominations que la maison d’Israël fait ici, afin que je me retire loin de mon sanctuaire? et si tu te tournes encore, tu verras des abominations plus grandes.
7 Kisha akanileta hata kwenye mlango wa uzio, na nikatazama, kulikuwa na shimo kwenye ukuta.”
Et il me conduisit à l’entrée du parvis, et voilà que je vis un trou dans la muraille.
8 Akanambia, “Mwanadamu, chimba kwenye huu ukuta.” Basi nikachimba kwenye huo ukuta, na kulikuwa na mlango.
Et il me dit: Fils d’un homme, perce la muraille. Et lorsque j’eus percé la muraille, parut une porte.
9 Kisha akanambia, “Nenda na ukaone machukizo ya uovu ambayo wanayoyafanya hapa.”
Et il me dit: Entre, et vois les abominations horribles que ces gens font ici.
10 Basi nilipokuwa nikienda ndani na nikaona, na tazama! Kulikuwa na kila umbo la vitu vikitembea polepole na mnyama achukizaye sana! Kila sanamu wa nyumba ya Israeli ilikuwa imechongwa kwenye ukuta pande zote.
Et étant entré, je vis, et voici que toute sorte d’images de reptiles et d’animaux, l’abomination et toutes les idoles de la maison d’Israël étaient peintes sur la muraille tout autour.
11 Wazee sabini wa wa nyumba ya Israeli walikuwa huko, na Yaazania mwana wa Shafani alikuwa amesimama katikati yao. Walikuwa wamesimama mbele ya picha, na kila mtu alikuwa na chetezo kwenye mkono wake ili kwamba harufu ya ubani ingeweza kupanda juu.
Et soixante-dix d’entre les anciens de la maison d’Israël se tenaient debout devant les peintures, et Jézonias, fils de Saphan, était au milieu d’eux; et chacun d’eux avait un encensoir en sa main; et une vapeur comme un nuage s’élevait de l’encens.
12 Akanambia, “mwanadamu, unaona kile ambacho wazee wa nyumba ya Israeli wanachokifanya kwenye giza? Kila mmoja hufanya hivi kwenye chumba cha sanamu yake, kwa kuwa husema, 'Yahwe hatuone! Yahwe ameitelekeza hii nchi.”'
Et il me dit: Certes tu vois, fils d’un homme, ce que les anciens de la maison d’Israël font dans les ténèbres, chacun dans le secret de sa chambre; car ils disent: Le Seigneur ne nous voit point; le Seigneur a délaissé la terre.
13 Kisha akanambia, “Geuka tena na tazama machukizo makubwa ambayo wanayoyafanya.”
Et il me dit: Si tu te tournes encore, tu verras des abominations plus grandes que celles que ces gens font.
14 Tena akanileta kwenye lango la kuingia la nyumba ya Yahwe lililokuwa upande waa kaskazini, na tazama! Wanawake walikuwa wameketi huko wakimlilia Tamuzi.
Et il me conduisit à l’entrée de la porte de la maison du Seigneur, qui regardait du côté de l’aquilon, et voici que là les femmes étaient assises pleurant Adonis.
15 Hivyo akanambia, “Umeiona hii, mwanadamu? Geuka tena na uone machukizo makubwana zaidi kuliko hayo.”
Et il me dit: Certes, tu as vu, fils d’un homme; si tu te tournes encore, tu verras des abominations plus grandes que celles-ci.
16 Akanileta hata kwenye uzio wa ndani wa nyumba ya Yahwe, na tazama! huko kwenye lango la kuingia kwenye madhabahu, kulikuwa na takribani watu ishirini na tano waliokuwa wamelipa mgongo hekalu la Yahwe na nyuso zao kuelekea mashariki, na walikuwa wakiabudu jua.
Et il me conduisit dans le parvis intérieur de la maison du Seigneur; et voilà qu’à l’entrée du temple du Seigneur, entre le vestibule et l’autel, environ vingt-cinq hommes tournant le dos au temple du Seigneur, et la face vers l’orient; et ils adoraient vers le lever du soleil.
17 Akanambia, “Unaona hii, mwanadamu? Je ni kitu kidigo kwa ajili ya nyumba ya Yuda kufanya haya machukizo wanayoyafanya? Kwa kuwa wameijaza nchi kwa uovu na wamerudi tena ili kuniletea hasira, kuweka tawi kwenye pua zao.
Et il me dit: Certes, tu as vu, fils d’un homme; est-ce peu à la maison de Juda d’avoir fait les abominations qu’ils ont faites ici, puisque remplissant la terre d’iniquité, ils se sont appliqués à m’irriter? et voici qu’ils approchent le rameau de leurs narines.
18 Hivyo nitatenda miongoni mwao pia; jicho langu halitakuwa na huruma, sitaacha kuwaharibu. hata watalia kwenye masikio yangu kwa sauti kubwa, sitawasikia.”
Ainsi donc moi aussi j’agirai dans ma fureur; mon œil n’épargnera pas, je n’aurai pas de pitié; et lorsqu’ils crieront à mes oreilles à haute voix, je ne les écouterai point.

< Ezekieli 8 >