< Ezekieli 8 >

1 Hivyo ikawa kuhusu katika mwaka wa sita na mwezi wa sita, katika siku ya tano ya mwezi, nilipokuwa nimeketi kwenye nyumba yangu na wazee wa Yuda waliketi mbele yangu, kwamba mkono wa Bwana Yahwe ukanijaza juu yangu huko.
La sixième année, au sixième mois, le cinquième jour du mois, comme j'étais assis dans ma maison, et que les anciens de Juda étaient assis devant moi, la main du Seigneur Yahvé tomba là sur moi.
2 Hivyo nikaona, na tazama, kulikuwa na mfano kama mwonekano wa mwanadamu. Kutoka kwenye mwonekano wake wa nyonga kwenda chini kulikuwa na moto. Na kutoka kwenye nyonga kwenda juu kulikuwa na mwonekano wa kitu kinachong'aa, kama mng'ao wa chuma.
Alors je vis, et voici, une ressemblance comme l'apparence du feu - depuis l'apparence de sa taille et en bas, du feu, et depuis sa taille et en haut, comme l'apparence de l'éclat, comme du métal incandescent.
3 Kisha akanyoosha kutoka kwenye mkono na kunichukua kwa nywele za kichwa changu; Roho akaniacha juu kati ya dunia na mbingu, na katika maono kutoka kwa Mungu, akaniletea hata Yerusalemu, kwenye mlango wa kuingia ndani ya lango la kaskazini, ambako sanamu ile iletayo wivu mkubwa ilipokuwa imesiamama.
L'Esprit m'éleva entre la terre et le ciel, et me conduisit, dans les visions de Dieu, à Jérusalem, à l'entrée de la porte du parvis intérieur, du côté du nord, où se trouvait le siège de l'image de la jalousie, qui excite la jalousie.
4 Kisha tazama, utukufu wa Mungu wa Israeli ulikuwa huko, kulingana na ono nililokuwa nimeliona kwenye uwanda.
Et voici, la gloire du Dieu d'Israël était là, selon l'aspect que j'avais vu dans la plaine.
5 Kisha akanambia, “Mwanadamu, inua juu macho yako kwenda upande wa kaskazini.” Hivyo nikainua macho yangu kuelekea kaskazini, na kwenye lango la kaskazini kulekea kwenye madhabahu, huko kwenye lango la kuingilia, kulikuwa na sanamu ya wivu.
Et il me dit: « Fils d'homme, lève les yeux, maintenant, sur le chemin du nord. » Je levai les yeux vers le nord, et je vis, au nord de la porte de l'autel, cette image de la jalousie dans l'entrée.
6 Hivyo akanambia, “Mwanadamu, unaona wanayoyafanya? Haya ni machukizo makubwa ambayo nyumba ya Israeli wanayoyafanya hapa kunifanya niende mbali kutoka patakatifu pangu. Lakini utageuka na kuona machukizo makubwa zaidi.”
Il me dit: « Fils d'homme, vois-tu ce qu'ils font? Même les grandes abominations que la maison d'Israël commet ici, pour que je m'éloigne de mon sanctuaire? Mais tu verras encore d'autres grandes abominations. »
7 Kisha akanileta hata kwenye mlango wa uzio, na nikatazama, kulikuwa na shimo kwenye ukuta.”
Il me conduisit à l'entrée du parvis; et quand je regardai, voici, il y avait un trou dans la muraille.
8 Akanambia, “Mwanadamu, chimba kwenye huu ukuta.” Basi nikachimba kwenye huo ukuta, na kulikuwa na mlango.
Il me dit alors: « Fils d'homme, creuse maintenant dans la muraille. » Quand j'ai creusé dans le mur, j'ai vu une porte.
9 Kisha akanambia, “Nenda na ukaone machukizo ya uovu ambayo wanayoyafanya hapa.”
Il me dit: « Entre, et vois les méchantes abominations qu'ils commettent ici. »
10 Basi nilipokuwa nikienda ndani na nikaona, na tazama! Kulikuwa na kila umbo la vitu vikitembea polepole na mnyama achukizaye sana! Kila sanamu wa nyumba ya Israeli ilikuwa imechongwa kwenye ukuta pande zote.
J'entrai donc et je regardai, et je vis toutes sortes de reptiles, d'animaux abominables et toutes les idoles de la maison d'Israël, représentées sur la muraille.
11 Wazee sabini wa wa nyumba ya Israeli walikuwa huko, na Yaazania mwana wa Shafani alikuwa amesimama katikati yao. Walikuwa wamesimama mbele ya picha, na kila mtu alikuwa na chetezo kwenye mkono wake ili kwamba harufu ya ubani ingeweza kupanda juu.
Soixante-dix hommes parmi les anciens de la maison d'Israël se tenaient devant eux. Au milieu d'eux se tenait Jaazania, fils de Shaphan, chacun ayant son encensoir à la main; et l'odeur de la nuée d'encens montait.
12 Akanambia, “mwanadamu, unaona kile ambacho wazee wa nyumba ya Israeli wanachokifanya kwenye giza? Kila mmoja hufanya hivi kwenye chumba cha sanamu yake, kwa kuwa husema, 'Yahwe hatuone! Yahwe ameitelekeza hii nchi.”'
Alors il me dit: « Fils d'homme, as-tu vu ce que font dans l'obscurité les anciens de la maison d'Israël, chacun dans sa chambre d'images? Car ils disent: « Yahvé ne nous voit pas. L'Éternel a abandonné le pays. »
13 Kisha akanambia, “Geuka tena na tazama machukizo makubwa ambayo wanayoyafanya.”
Il me dit aussi: « Tu verras encore une fois les grandes abominations qu'ils commettent. »
14 Tena akanileta kwenye lango la kuingia la nyumba ya Yahwe lililokuwa upande waa kaskazini, na tazama! Wanawake walikuwa wameketi huko wakimlilia Tamuzi.
Et il me conduisit à l'entrée de la porte de la maison de l'Éternel, qui était du côté du nord; et je vis les femmes assises là, pleurant sur Tammuz.
15 Hivyo akanambia, “Umeiona hii, mwanadamu? Geuka tena na uone machukizo makubwana zaidi kuliko hayo.”
Et il me dit: « As-tu vu cela, fils d'homme? Tu verras encore de plus grandes abominations que celles-ci. »
16 Akanileta hata kwenye uzio wa ndani wa nyumba ya Yahwe, na tazama! huko kwenye lango la kuingia kwenye madhabahu, kulikuwa na takribani watu ishirini na tano waliokuwa wamelipa mgongo hekalu la Yahwe na nyuso zao kuelekea mashariki, na walikuwa wakiabudu jua.
Il me conduisit dans le parvis intérieur de la maison de l'Éternel, et je vis à l'entrée du temple de l'Éternel, entre le portique et l'autel, environ vingt-cinq hommes qui tournaient le dos au temple de l'Éternel et le visage vers l'orient. Ils adoraient le soleil vers l'est.
17 Akanambia, “Unaona hii, mwanadamu? Je ni kitu kidigo kwa ajili ya nyumba ya Yuda kufanya haya machukizo wanayoyafanya? Kwa kuwa wameijaza nchi kwa uovu na wamerudi tena ili kuniletea hasira, kuweka tawi kwenye pua zao.
Puis il me dit: « As-tu vu cela, fils de l'homme? Est-ce une chose légère pour la maison de Juda que de commettre les abominations qu'elle commet ici? Car ils ont rempli le pays de violence, et ils se sont retournés pour m'irriter. Voici, ils portent la branche à leur nez.
18 Hivyo nitatenda miongoni mwao pia; jicho langu halitakuwa na huruma, sitaacha kuwaharibu. hata watalia kwenye masikio yangu kwa sauti kubwa, sitawasikia.”
C'est pourquoi j'agirai aussi avec colère. Mon œil n'épargnera pas, je n'aurai pas de pitié. Même s'ils crient à mes oreilles d'une voix forte, je ne les écouterai pas. »

< Ezekieli 8 >