< Ezekieli 8 >

1 Hivyo ikawa kuhusu katika mwaka wa sita na mwezi wa sita, katika siku ya tano ya mwezi, nilipokuwa nimeketi kwenye nyumba yangu na wazee wa Yuda waliketi mbele yangu, kwamba mkono wa Bwana Yahwe ukanijaza juu yangu huko.
Og det skete i det sjette Aar, i den sjette Maaned, paa den femte Dag i Maaneden, da jeg sad I mit Hus, og de Ældste af Juda sade for mit Ansigt, at den Herre, Herres Haand faldt paa mig der.
2 Hivyo nikaona, na tazama, kulikuwa na mfano kama mwonekano wa mwanadamu. Kutoka kwenye mwonekano wake wa nyonga kwenda chini kulikuwa na moto. Na kutoka kwenye nyonga kwenda juu kulikuwa na mwonekano wa kitu kinachong'aa, kama mng'ao wa chuma.
Og Jegg saa, og se, der var en Skikkelse af Udseende som Ild, fra hans Lænder at se til og nedad Ild; og fra hans Lænder og opad var det, som man saa en Glans, af Udseende som glødende Malm.
3 Kisha akanyoosha kutoka kwenye mkono na kunichukua kwa nywele za kichwa changu; Roho akaniacha juu kati ya dunia na mbingu, na katika maono kutoka kwa Mungu, akaniletea hata Yerusalemu, kwenye mlango wa kuingia ndani ya lango la kaskazini, ambako sanamu ile iletayo wivu mkubwa ilipokuwa imesiamama.
Og han udrakte Skikkelsen af en Haand og tog mig ved Haaret paa mit Hoved; og Aanden opløftede mig imellem Jorden og imellem Himmelen og førte mig, i Syner fra Gud, til Jerusalem, hen imod Indgangen til den indre Forgaards Port, som vender imod Norden, hvor Nidkærhedens Billede, som vakte Nidkærhed, stod.
4 Kisha tazama, utukufu wa Mungu wa Israeli ulikuwa huko, kulingana na ono nililokuwa nimeliona kwenye uwanda.
Og se, der var Israels Guds Herlighed, lig det Syn, som jeg, havde set i Dalen.
5 Kisha akanambia, “Mwanadamu, inua juu macho yako kwenda upande wa kaskazini.” Hivyo nikainua macho yangu kuelekea kaskazini, na kwenye lango la kaskazini kulekea kwenye madhabahu, huko kwenye lango la kuingilia, kulikuwa na sanamu ya wivu.
Og han sagde til mig: Du Menneskesøn! opløft dog dine Øjne imod Norden; og jeg opløftede mine Øjne imod Norden, og se, Nord for Alterporten stod dette Nidkærhedens Billede ved Indgangen.
6 Hivyo akanambia, “Mwanadamu, unaona wanayoyafanya? Haya ni machukizo makubwa ambayo nyumba ya Israeli wanayoyafanya hapa kunifanya niende mbali kutoka patakatifu pangu. Lakini utageuka na kuona machukizo makubwa zaidi.”
Og han sagde til mig: Du Menneskesøn! ser du, hvad disse gøre? det er store Vederstyggeligheder, som Israels Hus gør her, saa at jeg maa vige langt bort fra min Helligdom; men du skal endnu fremdeles se store Vederstyggeligheder.
7 Kisha akanileta hata kwenye mlango wa uzio, na nikatazama, kulikuwa na shimo kwenye ukuta.”
Og han førte mig til Indgangen til Forgaarden, og jeg saa, og se, der var et Hul i Væggen.
8 Akanambia, “Mwanadamu, chimba kwenye huu ukuta.” Basi nikachimba kwenye huo ukuta, na kulikuwa na mlango.
Og han sagde til mig: Du Menneskesøn! bryd dog ind igennem Væggen; og jeg brød ind igennem Væggen, og se, der var en Dør.
9 Kisha akanambia, “Nenda na ukaone machukizo ya uovu ambayo wanayoyafanya hapa.”
Og han sagde til mig: Gak ind og se de slemme Vederstyggeligheder, som de gøre her.
10 Basi nilipokuwa nikienda ndani na nikaona, na tazama! Kulikuwa na kila umbo la vitu vikitembea polepole na mnyama achukizaye sana! Kila sanamu wa nyumba ya Israeli ilikuwa imechongwa kwenye ukuta pande zote.
Og jeg gik ind og saa, og se, der var alle Haande Ormes og Dyrs Billeder, Vederstyggelighed, og alle Israels Hus's Afguder udgravede paa Væggen, rundt omkring.
11 Wazee sabini wa wa nyumba ya Israeli walikuwa huko, na Yaazania mwana wa Shafani alikuwa amesimama katikati yao. Walikuwa wamesimama mbele ya picha, na kila mtu alikuwa na chetezo kwenye mkono wake ili kwamba harufu ya ubani ingeweza kupanda juu.
Og halvfjerdsindstyve Mænd af Israels Hus's Ældste, samt Jaasanja, Safans Søn, som stod midt iblandt dem, stode for deres Ansigt, og hver havde sit Røgelsekar i sin Haand, og der opsteg en Skydamp af Røgelsen.
12 Akanambia, “mwanadamu, unaona kile ambacho wazee wa nyumba ya Israeli wanachokifanya kwenye giza? Kila mmoja hufanya hivi kwenye chumba cha sanamu yake, kwa kuwa husema, 'Yahwe hatuone! Yahwe ameitelekeza hii nchi.”'
Og han sagde til mig: Du Menneskesøn! ser du hvad de Ældste af Israels Hus gøre i Mørket, hver i sine Billedkamre? thi de sige: Herren ser os ikke, Herren har forladt Landet.
13 Kisha akanambia, “Geuka tena na tazama machukizo makubwa ambayo wanayoyafanya.”
Og han sagde til mig: Du skal endnu fremdeles se store Vederstyggeligheder, som de gøre.
14 Tena akanileta kwenye lango la kuingia la nyumba ya Yahwe lililokuwa upande waa kaskazini, na tazama! Wanawake walikuwa wameketi huko wakimlilia Tamuzi.
Og han førte mig til Indgangen til Herrens Hus's Port, som er imod Norden; og se, der sade Kvinderne, som begræd Thammus.
15 Hivyo akanambia, “Umeiona hii, mwanadamu? Geuka tena na uone machukizo makubwana zaidi kuliko hayo.”
Og han sagde til mig: Du Menneskesøn! ser du det? du skal endnu fremdeles se Vederstyggeligheder, større end disse.
16 Akanileta hata kwenye uzio wa ndani wa nyumba ya Yahwe, na tazama! huko kwenye lango la kuingia kwenye madhabahu, kulikuwa na takribani watu ishirini na tano waliokuwa wamelipa mgongo hekalu la Yahwe na nyuso zao kuelekea mashariki, na walikuwa wakiabudu jua.
Og han førte mig i Herrens Hus's inderste Forgaard, og se, ved Indgangen til Herrens Tempel, imellem Forhallen og imellem Alteret, var der ligesom fem og tyve Mænd, med Ryggen vendte imod Herrens Tempel og med Ansigtet imod Østen, og de bøjede sig imod Østen for Solen.
17 Akanambia, “Unaona hii, mwanadamu? Je ni kitu kidigo kwa ajili ya nyumba ya Yuda kufanya haya machukizo wanayoyafanya? Kwa kuwa wameijaza nchi kwa uovu na wamerudi tena ili kuniletea hasira, kuweka tawi kwenye pua zao.
Og han sagde til mig: Du Menneskesøn! ser du dette? er det Judas Hus for lidet at gøre de Vederstyggeligheder, som de gøre her, at de endog fylde Landet med Vold og komme atter for at opirre mig? og se, de holde Vinkvisten op for deres Næse.
18 Hivyo nitatenda miongoni mwao pia; jicho langu halitakuwa na huruma, sitaacha kuwaharibu. hata watalia kwenye masikio yangu kwa sauti kubwa, sitawasikia.”
Derfor vil jeg ogsaa gaa frem med Harme, mit Øje skal ikke spare, og jeg vil ikke skaane; og de skulle raabe for mine Øren med høj Røst, og jeg vil ikke høre dem.

< Ezekieli 8 >