< Ezekieli 7 >

1 Neno la Yahwe likanijia, likisema,
Potem doszło do mnie słowo PANA mówiące:
2 Wewe, mwanadamu-Bwana Yahwe asema hivi kwa nchi ya Israeli.”'Mwisho! Mwisho umekuja kwenye mipaka minne ya nchi.
Synu człowieczy, tak mówi Pan BÓG do ziemi Izraela: Koniec, koniec nadszedł dla [wszystkich] czterech stron ziemi.
3 Sasa mwisho uko juu yako, kwa kuwa natuma ghadhabu yangu juu yako, nitakuhukumu kulingana na njia zako; nitaleta machukizo yako yote juu yako.
Teraz nadejdzie koniec dla ciebie. Ześlę na ciebie swój gniew, będę cię sądził według twoich dróg i oddam ci według wszystkich twoich obrzydliwości.
4 Kwa kuwa macho yangu hayatakuhurumia, na sitakuharibu. Badala yake, nitaleta njia zako zote juu yako, na machukizo yako yote yatakuwa katikati yako, hivyo utajua kwamba mimi ni Yahwe.
Moje oko nie oszczędzi cię i nie zlituję się [nad tobą], ale oddam ci za twoje drogi, a twoje obrzydliwości zostaną pośród ciebie, i poznacie, że ja jestem PANEM.
5 Bwana Yahwe asema hivi: Msiba! Msiba wa pekee! Tazama, unakuja.
Tak mówi Pan BÓG: Utrapienie, oto nadchodzi jedno utrapienie.
6 Mwisho unakuja hakika. Mwisho umeamsha dhidi yenu. Tazama! unakuja!
Nadszedł koniec, przyszedł koniec, ocknął się przeciwko tobie, oto nadszedł.
7 Kifo chako kinakuja kwako ukaaye kwenye nchi. Mda umefika; siku ya uharibifu iko karibu, na milima haitakuwa na shangwe tena.
Nadszedł poranek dla ciebie, obywatelu ziemi. Nadszedł czas, zbliża się dzień grzmotu, a nie głosu rozlegającego się po górach.
8 Sasa baada ya mda mfupi nitamwaga dhahabu yangu juu yako na kujaza hasira yangu juu yako wakati nitakapokuhukumu kulingana na njia zako na kuleta machukizo yako yote juu yako.
Już wkrótce wyleję swój gniew na ciebie i dopełnię na tobie swojej zapalczywości. Osądzę cię według twoich dróg i oddam ci za wszystkie twoje obrzydliwości.
9 Kwa kuwa jicho langu halitaona kwa huruma, sitakuharibu, kama ulivyofanya, nitafanya kwako; na machukizo yako yatakuwa katikati yako hivyo utajua kwamba ni mimi Yahwe, anayekuadhibu.
Moje oko nie oszczędzi cię i nie zlituję się [nad tobą], ale oddam ci według twoich dróg i twoich obrzydliwości, które znajdują się pośród ciebie. I tak poznacie, że ja jestem PANEM, który uderza.
10 Tazama, siku! Tazama, inakuja! Kifo kimetoka! fimbo ya kuadhibia imechanua, kiburi kimechipua!
Oto ten dzień, oto nadszedł; nastał poranek, zakwitła rózga, wyrosła pycha.
11 Udhalimu umekua kwenye fimbo ya udhaifu-hakuna kati yao, na hakuna katika ya kundi lao, hakuna katika utajiri wao, na hakuna wa muhimu wao atakaye baki!
Przemoc wyrosła w rózgę niegodziwości. Nie pozostanie z nich [nic] – ani z ich mnóstwa, ani z ich bogactwa i nie [będzie] żadnego zawodzenia nad nimi.
12 Muda unakuja; siku imekaribia. Usimuache anayenunua shangwe, wala asihuzunike auzaye, kwa kuwa hasira yangu iko juu ya kikundi kizima!
Nadszedł czas, zbliża się dzień. Kto kupuje, niech się nie cieszy, a kto sprzedaje, niech się nie smuci, bo [przyjdzie] gniew na całe ich mnóstwo.
13 Kwa kuwa muuzaji hatarudia kile kilichouzwa, kadiri wanapoendelea kuishi, kwa kuwa maono yako juu yako kikundi kizima. Hawatarudi, kwa kuwa hakuna mtu anayeishi kwenye dhambi atakayejitia nguvu!
Bo ten, kto sprzedał, nie wróci do rzeczy sprzedanej, choćby jeszcze żył. Widzenie bowiem dotyczące całego ich mnóstwa nie będzie cofnięte i nikt nie wzmocni się w nieprawości swego życia.
14 Wamepiga tarumbeta na kufanya kila kitu tayari, lakini hakuna mtu anayeenda kupigana; kwa kuwa hasira yangu iko juu ya kundi zima.
Zadęli w trąbę i wszystko przygotowali, lecz nikt nie ruszy do walki. Mój gniew bowiem [jest skierowany] na całe ich mnóstwo.
15 Upanga uko nje, na tauni na njaa viko nje kwenye jengo. Wale walioko shambani watakufa kwa upanga, wakati njaa na tauni zitakapowala wale waliopo kwenye mji.
Miecz na zewnątrz, a zaraza i głód wewnątrz. Kto będzie na polu, umrze od miecza, a kto w mieście, tego pochłoną głód i zaraza.
16 Lakini watakao salia watatoroka kutoka miongoni mwao, na watakwenda kwenye milima. Kama hua wa mabondeni, wote watalia-kila mtu kwa ajili ya uovu wake.
Lecz ci, którzy z nich uciekną, będą w górach jak gołębice z dolin. Wszyscy będą lamentować, każdy nad swoją nieprawością.
17 Kila mkono utasita na kila goti litakuwa dhaifu kama maji, na watavaa nguo za magunia, na hofu kuu itawafunika,
Wszystkie ręce opadną i wszystkie kolana osłabną [jak] woda.
18 na aibu itakuwa juu ya kila uso, na upara juu ya vichwa vyao vyote.
Obleką się w wory, okryje ich strach, na wszelkiej twarzy będzie wstyd i na wszystkich ich głowach łysina.
19 Watatupa fedha yao kwenye mitaa na dhahabu yao itakuwa kama jalala. Fedha yao na dhahabu yao haitaweza kuwaokoa katika siku ya ghadhabu ya Yahwe. Maisha yao hayataokolewa, na njaa yao haitashiba, kwa sababu uovu wao umekuwa kizuizi.
Swoje srebro porzucą na ulice, a ich złoto będzie jak nieczystość. Ich srebro i złoto nie będzie ich mogło wybawić w dzień gniewu PANA. Nie nasycą [nimi] swojej duszy ani nie napełnią swych wnętrzności, bo były [dla nich kamieniem] potknięcia do nieprawości;
20 Kwenye fahari yao walichukua kito yake nzuri za mapambo, pamoja nao wakatengeza sanamu zao za vinyago, na vitu vyao vichukizavyo. Kwa hiyo, nayabadilisha haya kuwa kitu najisi kwao.
W sławie swojej ozdoby, którą [Bóg] wystawił na [swoją] chwałę, uczynili posągi swoich obrzydliwości i plugastw. Dlatego zamienię im ją w nieczystość.
21 Kisha nitawapatia hivyo vitu kwenye mikono ya wageni kama mateka na kwa waovu wa dunia kama mateka, na watapanajisi.
Wydam ją w ręce cudzoziemców na grabież i bezbożnych ziemi na łup, a oni ją splugawią.
22 Kisha nitaugeuza uso wangu mbali kutoka kwao watakapo najisi mahali pangu pa siri; maharamia wataingia humo na kupanajisi.
Odwrócę też od nich swą twarz, a zbezczeszczą moją świątynię. Wejdą bowiem do niej zbójcy i splugawią ją.
23 Tengeneza mnyororo, kwa sababu nchi imejaa hukumu ya damu, na mji umejaa udhalimu.
Uczyń łańcuch, bo ziemia jest pełna krwawych wyroków, a miasto pełne przemocy.
24 Hivyo nitaleta waovu wengi wa mataifa, na watamilki nyumba zao, na nitaleta mwisho kwenye fahari ya uweza, kwenda mahali pao patakatifu patanajisiwa!
Dlatego sprowadzę najgorszych z pogan, aby posiedli ich domy. Położę kres pysze mocarzy, a ich miejsca święte będą splugawione.
25 Hofu itakuja! Wataitafuta amani, lakini haitakuwepo.
Nadchodzi zniszczenie, dlatego będą szukać pokoju, ale [go] nie będzie.
26 Majanga juu ya majanga yatakuja juu yangu, na kutakuwa na tetesi juu ya tetesi. Kisha watatafuta ono moja kutoka kwa nabii, lakini sheria itawaangamiza kutoka kwa kuhani na shauri kutoka kwa wazee.
Przyjdzie klęska za klęską, wieść za wieścią nadejdzie; będą szukać widzenia od proroka, ale prawo przepadnie kapłanowi, a rada starcom.
27 Mfalme ataomboleza na mwana wa mfalme atakata tamaa, wakati mikono ya watu wa nchi itatetemeka kwa hofu. Kulingana na njia zao wenyewe nitafanya hivi kwao! Nitawahukumu sawa sawa na wanavyostahili hadi watakapojua yakwamba mimi ni Yahwe.'”
Król będzie w żałobie, książę okryje się smutkiem i ręce ludu ziemi będą strwożone. Uczynię im według ich drogi i według ich sądów osądzę ich. I poznają, że ja jestem PANEM.

< Ezekieli 7 >