< Ezekieli 6 >

1 Neno la Yahwe likanijia, likisema,
Un Tā Kunga vārds notika uz mani sacīdams:
2 “Mwana wa adamu, weka uso wako dhidi ya milima ya Israeli na uwatabirie.
Cilvēka bērns! Griez savu vaigu pret Israēla kalniem un sludini pret tiem
3 Sema, 'Milima ya Israeli, silikilizeni neno la Bwana Yahwe! Bwana Yahwe asema hivi kwenye milima kwenye vilele, kwenye vijito na kwenye mabonde: Tazama! Naleta upanga dhidi yenu, na nitapaharibu pahali penu pa juu.
Un saki: Israēla kalni, klausāties Tā Kunga Dieva vārdu! Tā saka Tas Kungs Dievs uz kalniem un pakalniem, uz upēm un ielejām: redzi! Es vedu pār jums zobenu un izdeldu jūsu elku altārus.
4 Kisha madhabahu zenu zitakuwa ukiwa na nguzo zenu zitaharibiwa, na nitatupa chini wafu wenu mbele ya sanamu zao.
Un jūsu altāri taps nopostīti un jūsu saules stabi nolauzti, un es gāzīšu jūsu nokautos jūsu elku priekšā.
5 Nitalaza miili iliyokufa kwa watu wa Israeli mbele ya sanamu zao, na kuitawanya mifupa yenu kuzizunguka madhabahu zenu.
Un Es nodošu Israēla bērnu trūdus viņu elku priekšā un kaisīšu jūsu kaulus ap jūsu altāriem.
6 Kila mahali utaishi, miji itaharibiwa na mahali pa juu kuangamia, hivyo basi madhabahu zenu zitaharibiwa na kufanywa ukiwa. Kisha zitavunjwa na kupotea, nguzo zenu zitaangushwa chini na kazi zenu zitafutwa mbali.
Visur, kur jūs mājojat, pilsētas būs postītas un elku kalni atstāti, jo jūsu altāri būs sagāzti un nopostīti un jūsu elki būs salauzti un izdeldēti, un jūsu saules stabi tiks nocirsti un jūsu darījumi iznīcināti.
7 Waliokufa wataanguka chini kati yenu nanyi mtajua kwamba mimi ni Yahwe.
Un jūsu vidū gulēs nokauti, un jūs samanīsiet, ka Es esmu Tas Kungs.
8 Lakini nitahifadhi mabaki kwenu, na kutakuwa na wale watakao toroka upanga miongoni mwa mataifa,
Bet Es (kādus) atlicināšu, ka jums paliek, kas zobenam izmūk starp pagāniem, kad jūs tapsiet izkaisīti pa zemēm.
9 Kisha wale watakao toroka watanikumbuka miongoni mwa mataifa amabapo watakapochukuliwa mateka, ndivyo nitakavoyowaponda mioyo yao ya kikahaba ambayo imeniacha, na kwa macho yao ya kikahaba kufuata sanamu zao. Kisha wataonyesha chuki kwenye nyuso zao kwa udhaifu walioufanya kwa machukizo yao yote.
Tad jūsu izglābtie mani pieminēs starp pagāniem, kur tie būs cietumā, kad Es būšu salauzis viņu mauku sirdis, kas no Manis atkāpušās, un viņu acis, kas mauko pakaļ viņu elkiem, un tiem riebsies tas ļaunums, ko tie darījuši visās savās negantībās.
10 Hivyo watajua kwamba mimi ni Yahwe. Kulikuwa na sababu kwamba nimesema nitaleta huu uovu kwao.
Un tiem būs samanīt, ka Es esmu Tas Kungs; Es nebūt neesmu velti runājis, ka viņiem darīšu šo ļaunumu.
11 Bwana Yahwe asema hivi: Piga makofi na kanyaga kwa mguu wako! Sema! 'Ole!' kwa sababu ya uovu wote wa chukizo wa nyumba ya Israeli! Wataanguka kwa upanga, njaa, na tauni.
Tā saka Tas Kungs Dievs: sasit savas rokas un sit ar kāju pie zemes un sauc: ak vai! Pār visām niknām Israēla nama negantībām, jo tie kritīs caur zobenu, caur badu un caur mēri.
12 Yule aliye mbali sana atakufa kwa tauni, na yule aliyekaribu ataanguka kwa upanga. Wale watakaobaki na kuishi watakufa kwa upanga. Kwa njia hii ndivyo nitakavyo kamilisha madhabahu yangu dhidi yao.
Kas tālu, tas kritīs caur mēri, un kas tuvu, tas kritīs caur zobenu, bet kas atliksies un izglābsies, nomirs badā. Tā Es pret tiem izdarīšu savu bardzību.
13 Kisha mtajua kwamba mimi ni Yahwe, wakati waliokufa watakapolala kati ya sanamu zao, kuzizunguka madhabahu, kwa kila mlima mrefu-juu ya vilele vya mlima, na chini ya mti wenye majani mabichi na mwalo mnene-sehemu wanapochomea ubani kwa sanamu zao zote.
Tad jūs samanīsiet, ka Es esmu Tas Kungs, kad viņu nokautie gulēs viņu elku priekšā ap viņu altāriem pa visiem augstiem pakalniem, pa visiem kalnu galiem un apakš visiem zaļiem kokiem un apakš visiem kupliem ozoliem, tais vietās, kur tie saldu smaržu upurēja visiem saviem elkiem.
14 Nitapiga kwa mkono wangu na kuifanya nchi ukiwa na isiyofaa, kutoka jangwa hata Dibla, kupita sehemu zote wanapoishi. Kisha watajua kwamba mimi ni Yahwe.”
Un Es izstiepšu savu roku pār viņiem, un darīšu zemi par postažu un tuksnesi vairāk nekā Diblas tuksnesi, visur, kur viņi mājo; un tie samanīs, ka Es esmu Tas Kungs.

< Ezekieli 6 >