< Ezekieli 48 >

1 Haya ndiyo majina ya makabila. Kabila la Dani litapokea sehemu moja ya nchi; mipaka yake itakuwa karibu na upande wa mashariki mpaka wa Israeli karibu na njia ya Hethloni na Lebo Hamathi. Mpaka wake utaenda hata karibu na Hazari Enani na karibu na mpaka wa Damaskasi hata upande wa kaskazini na kisha karibu na Hamathi. Mpaka wa Dani utaenda kutoka mashariki moja kwa moja hata Bahari Kubwa.
Šie nu ir tie cilšu vārdi: no ziemeļa puses sānis Etlona ceļam, kur iet uz Hamatu, AcarEnons, Damaskus robeža pret ziemeļa pusi, sānis Hamatai: no rīta puses līdz vakara pusei lai ir Danam, viena daļa.
2 Kupakana na mpaka wa Dani, kutoka upande wa mashariki hata upande wa magharibi, Asheri itakuwa na fungu moja.
Un pie Dana robežas no rīta puses līdz vakara pusei Ašeram viena daļa.
3 Kupakana na mpaka wa Asheri kutoka upande wa mashariki hata magharibi, Naftali atakuwa na fungu moja.
Un pie Ašera robežas no rīta puses līdz vakara pusei Naftalum viena daļa.
4 Kupakana na mpaka wa Naftali kutoka upande wa mashariki hata magharibi, Manase atakuwa na fungu moja.
Un pie Naftalus robežas no rīta puses līdz vakara pusei Manasum viena daļa.
5 Kupakana na mpaka wa Manase kutoka upande wa mashariki hata magharibi, Efraimu atakuwa na fungu moja.
Un pie Manasus robežas no rīta puses līdz vakara pusei Efraīmam viena daļa.
6 Kupakana na mapaka wa Efraimu kutoka mashariki hata magharibi, Rubeni atakuwa na fungu moja.
Un pie Efraīma robežas no rīta puses līdz vakara pusei Rūbenam viena daļa.
7 Kupakana na mpaka wa Rubeni kutoka mashariki hata magharibi, Yuda atakuwa na fungu moja.
Un pie Rūbena robežas no rīta puses līdz vakara pusei Jūdam viena daļa.
8 Sadaka ya nchi ambayo mtaifanya itakuwa karibu na mpaka wa Yuda na hapohapo kutoka upande wa mashariki hata upande wa magharibi; itakuwa ridhaa elfu ishirini na tano upana. Urefu unakaribiana na fungu la kabila moja kutoka upande wa mashariki hata upande wa magharibi, na hekalu litakuwa katikati yake.
Un pie Jūda robežas no rīta puses līdz vakara pusei lai ir tas svētais zemes gabals, ko jums būs atšķirt, divdesmit un pieci tūkstošus (mērojamās kārtis) platumā un garumā, tā kā viena no tām citām daļām no rīta puses līdz vakara pusei, un tur vidū lai ir tā svētā vieta.
9 Huu mji mtakao utoa sadaka kwa ajili ya Yahwe utakuwa na ridhaa elfu ishirini na tano urefu wake na ridhaa elfu kumi upana.
Tas svētais zemes gabals, ko jums būs atšķirt Tam Kungam, lai ir garumā divdesmit un pieci tūkstošus (mērojamas kārtis) un platumā desmit tūkstošus.
10 Haya yatakuwa matoleo ya hili fungu takatifu la nchi: makuhani watakuwa na nchi watakayopewa kipimo chake ridhaa elfu ishirini na tano urefu kwa upande kaskazini; ridhaa elfu kumi upana upande wa magharibi; urefu wa ridhaa elfu kumi upande wa magharibi; na urefu rithaa elfu ishirini na tano upande wa kusini, pamoja na mahali patakatifu pa Yahwe katikati yake.
Un šiem lai tas svētais zemes gabals pieder: priesteriem, pret ziemeļa pusi divdesmit pieci tūkstošus (olektis), un pret vakara pusi desmit tūkstošus platumā, un pret rīta pusi desmit tūkstošus platumā, un pret dienasvidu divdesmit un pieci tūkstošus garumā. Un Tā Kunga svētā vieta lai ir viņa vidū.
11 Hii itakuwa wakfu na makuhani wa safu ya Zadoki, aliyenitumikia kwa uaminifu na ambaye hakwenda nje ya mstari wakati watu wa Israeli walipoeenda nje ya mstari, kama Walawi walivyofanya.
Tas būs priekš tiem priesteriem, tiem svētītiem, Cadoka bērniem, kas Manu kalpošanu izpildījuši, kas nav atkāpušies, kad Israēla bērni atkāpās, kā leviti ir atkāpušies.
12 Sadaka yao itakuwa fungu la hiyo nchi takatifu sana, karibu na mpaka wa Walawi.
Un tiem būs dabūt vienu gabalu no tā svētā gabala, kas tas vissvētākais gabals ir pie levitu robežas.
13 Nchi ya Walawi karibu na mpaka wa nchi ya makuhani itakuwa ridhaa elfu ishirini na tano urefu na ridhaa elfu kumi upana. Urefu wote wa eneo la nchi utakuwa ridhaa elfu ishirini na tano urefu na ridhaa elfu ishirini upana.
Tiem levitiem, sānis priesteru robežai, būs dabūt divdesmit un piectūkstoš (olektis) garumā un desmit tūkstošus platumā; viss garums lai ir divdesmit un pieci tūkstošus, un platums desmit tūkstošus (olektis).
14 Hawataiuza au kuibadilisha; hakuna malimbuko ya hiyo nchi ya Israeli itakayogawanywa kutoka haya maeneo, kwa kuwa yote ni matakatifu kwa ajili ya Yahwe.
Un tiem no tā nekā nebūs pārdot, nedz pārmainīt, nedz citam izdot zemes pirmajus; jo tas ir Tam Kungam svēts.
15 Nchi iliyobaki, ridhaa elfu kumi na tano upana na ridhaa elfu ishirini na tano urefu, itakuwa kwa wote wanayoitumia hiyo nchi, nyumba, na sehemu ya malisho; huo mji utakuwa katikati yake.
Bet tās piectūkstošas (olektis), kas platumā atlikušas no tām divdesmit pieci tūkstoš (olektīm), tās lai nav svētas, pilsētai priekš dzīvokļiem un ganībām, un tā pilsēta lai tur ir vidū.
16 Hivi ndivyo vitakuwa vipimo vya mji: upande wa kaskazini utakuwa ridhaa 4, 500 urefu; upande wa kusini utakuwa ridhaa 4, 500 urefu; upande wa magharibi utakuwa ridhaa 4, 500 urefu; na magharibi itakuwa ridhaa 4, 500 urefu.
Un šie ir viņas mēri: ziemeļa malā četrtūkstoš un piecsimt olektis, un dienvidu malā četrtūkstoš un piecsimt, un rīta malā četrtūkstoš un piecsimt, un vakara malā četrtūkstoš un piecsimt (olektis).
17 Kutakuwa na malisho ya mji kuelekea kaskazini, ridhaa 250 kwenda chini; hata kusini, ridhaa 250 kwenda chini; kuelekea mashariki, ridhaa 250 kwenda chini, na kuelekea magharibi ridhaa 250 kwenda chini.
Un pilsētas apgabals lai ir pret ziemeli divsimt un piecdesmit, un pret dienasvidu divsimt un piecdesmit, un pret rītiem divsimt un piecdesmit, un pret vakaru divsimt un piecdesmit (olektis).
18 Eneo lililobaki la matoleo matakatifu litanyooshwa ridhaa elfu kumi hata mashariki na ridhaa elfu kumi kuelekea magharibi. Litanyooshwa karibu na mpaka wa matoleo matakatifu, na mazao yake yatakuwa chakula kwa ajili ya wale wanaofanya kazi katika nchi.
Un tas atlikums garumā gar to svēto zemes gabalu desmit tūkstoši pret rīta pusi, un desmit tūkstoši pret vakara pusi, gar to svēto zemes gabalu; viņa augļi būs par uzturu pilsētas kalpotājiem.
19 Wale wafanyao kazi katika mji, watu wote wa kabila za Israeli, watailima hiyo nchi.
Un pilsētas kalpotāji lai to apstrādā no visām Israēla ciltīm.
20 Matoleo yote ya nchi yatapimwa ridhaa elfu ishirini na moja kwa ridhaa elfu ishirini na tano. Kwa njia hii mtatengeneza matoleo matakatifu ya nchi, pamoja na nchi kwa ajili mji.
Viss svētais zemes gabals lai ir divdesmit un pieci tūkstoš (olektis) garumā un divdesmit un piectūkstoš (olektis) platumā; to jums būs atšķirt par svētu zemes gabalu līdz ar to pilsētas tiesu.
21 Mabaki ya nchi mojawapo upande wa matoleo matakatifu na eneo la mji litakuwa kwa ajili ya mwana wa mfalme. Eneo la nchi ya mwana wa mfalme kuelekea mashariki litanyooshwa kwa ridhaa elfu ishirini na tano kutoka kwenye mpaka wa matoleo matakatifu hata mpaka wa mashariki-na eneo lake kuelekea mpaka wa magharibi. Katikati kutakuwa matolea matakatifu, na mahali patakatifu pa hekalu patakuwa katikati yake.
Un kas atliek, tas lai pieder valdniekam, tā svētā zemes gabala un pilsētas tiesas šinī un viņā pusē gar tā svētā gabala divdesmit pieci tūkstoš (olektīm) līdz rīta robežai un pret vakara pusi gar tām divdesmit piectūkstoš (olektīm) līdz vakara robežai, sānis tām citām daļām; tas būs priekš valdnieka. Un tas svētais zemes gabals ar tā nama svēto vietu lai ir viņa vidū.
22 Nchi imenyooka kutoka mali ya Walawi na eneo la mji katikati yake litakuwa kwa ajili ya mwana wa mfalme; itakuwa kati ya mpaka wa Yuda na mpaka wa Benjamini-hiyo nchi itakuwa kwa ajili ya mwana wa mfame.
Un (sākot) no levitu tiesas un no pilsētas tiesas, (vidū tam, kas valdniekam pieder, ) starp Jūda un Benjamina robežām, tas lai valdniekam pieder.
23 Kwa kabila zitakazobaki, mafungu yao yataunganishwa kutoka upande wa mashariki. Benjamini atapokea fungu moja.
Tad lai tās citas tiesas nāk; no rīta puses līdz vakara pusei Benjaminam viena daļa.
24 Kupakana na mpaka wa Benjamini kutoka upande wa mashariki hata magharibi, Simioni atakuwa na fungu moja.
Un pie Benjamina robežas no rīta puses līdz vakara pusei Sīmeanam viena daļa.
25 Kupakana na mpaka wa Isakari kutakuwa na fungu moja.
Un pie Sīmeana robežas no rīta puses līdz vakara pusei Īsašaram viena daļa.
26 Kupakana na mpaka wa Isakari kutoka mashariki hata magharibi, Zebuloni atakuwa na fungu moja.
Un pie Īsašara robežas no rīta puses līdz vakara pusei Zebulonam viena daļa.
27 Hata kusini mwa mpaka wa Zebuloni, kutoka upande wa mashariki hata upande wa magahribi, kutakuwa na nchi ya Gadi-fungu moja.
Un pie Zebulona robežas no rīta puses līdz vakara pusei Gadam viena daļa.
28 Mpaka wa kusini mwa Gadi kutanyooshwa kutoka Tamari hata kwenye maji ya Meriba Kadeshi, mbele hadi kijito cha Misri, na kisha hata Bahari kuu.
Un pie Gada robežas dienvidu malā pret dienvidiem būs tā robeža no Tamāra uz Kādeša strīdus ūdeni un tad uz to upi līdz lielai jūrai.
29 Hii ndiyo nchi ambayo mtakazo gawana; kutakuwa na urithi wa makabila ya Israeli. Haya yatakuwa mafungu yao. Hivi ndivy Bwana Yahwe asemavyo.
Šī ir tā zeme, ko jums ar mesliem būs izdalīt par mantību visām Israēla ciltīm, un šīs lai ir viņu daļas, saka Tas Kungs Dievs.
30 Hawa ndio watakaoishi kutoka kwenye nchi: upande wa kaskazini, ambapo patapimwa ridhaa 4, 500 kwa urefu,
Un šīs lai ir tās pilsētas robežas: ziemeļa pusē četrtūkstoš un piecsimt mēri.
31 kutakuwa na malango matatu, yaitwayo kwa ajili ya Israeli: lango moja kwa ajili ya Rubeni, lango moja kwa ajili ya Yuda, na lango moja kwa ajili ya Walawi.
Un pilsētas vārti lai ir pēc Israēla cilšu vārdiem, trīs vārti pret ziemeli: Rūbena vārti, vieni, Jūda vārti, vieni, Levja vārti, vieni.
32 Kwa upande wa mashariki, ambapo patapimwa ridhaa 4, 500 kwa urefu, kutakuwa na malango matatu: lango moja kwa ajili ya Yusufu, lango moja kwa ajili ya Benjamini, na lango moja kwa ajili ya Dani.
Un pret rītiem četrtūkstoši un piecsimt (mēri) un trīs vārti: Jāzepa vārti, vieni, Benjamina vārti, vieni, Dana vārti, vieni.
33 Kwa upande wa mashariki, kutakuwa na kipimo cha ridhaa 4, 500 urefu, kutakuwa na malango matatu: lango moja kwa ajili ya Simioni, lango moja kwa ajili ya Isakari, na moja kwa ajili ya Zebuloni.
Pret dienasvidu arīdzan četrtūkstoši un piecsimt mēri un trīs vārti: Sīmeana vārti, vieni, Īsašara vārti, vieni, Zebulona vārti, vieni.
34 Kwa upande wa magharibi, ambao kipimo chake kitakuwa ridhaa 4, 500, kutakuwa ba malango matatu: lango moja kwa ajili ya Gadi, lango moja kwa ajili ya Asheri, na lango moja kwa ajili ya Naftali.
Pret vakariem četrtūkstoš un piecsimt (mēri) un trīs vārti: Gada vārti, vieni, Ašera vārti, vieni, Naftalus vārti, vieni.
35 Umbali kuuzunguka mji utakuwa ridhaa elfu kumi na nane; kutoka hiyo siku, jina la huo mji litakuwa “Yahwe yupo hapo.”
Visapkārt astoņpadsmit tūkstoš (mēri). Un pilsētas vārds būs no tās dienas: še ir Tas Kungs.

< Ezekieli 48 >