< Ezekieli 48 >

1 Haya ndiyo majina ya makabila. Kabila la Dani litapokea sehemu moja ya nchi; mipaka yake itakuwa karibu na upande wa mashariki mpaka wa Israeli karibu na njia ya Hethloni na Lebo Hamathi. Mpaka wake utaenda hata karibu na Hazari Enani na karibu na mpaka wa Damaskasi hata upande wa kaskazini na kisha karibu na Hamathi. Mpaka wa Dani utaenda kutoka mashariki moja kwa moja hata Bahari Kubwa.
А ето племената начиная от северния край, покрай пътя за Етлон, до прохода на Емат, и Асаренан (при предела на Дамаск, северно край Емат). И племената ще имат страните си към изток и към запад. Дан ще има един дял.
2 Kupakana na mpaka wa Dani, kutoka upande wa mashariki hata upande wa magharibi, Asheri itakuwa na fungu moja.
А до Дановата граница, от източната страна до западната страна, Асир ще има един дял.
3 Kupakana na mpaka wa Asheri kutoka upande wa mashariki hata magharibi, Naftali atakuwa na fungu moja.
А до Асировата граница, от източната страна до западната страна, Нефталим ще има един дял.
4 Kupakana na mpaka wa Naftali kutoka upande wa mashariki hata magharibi, Manase atakuwa na fungu moja.
А до Нефталимовата граница, от източната страна до западната страна, Манасия ще има един дял.
5 Kupakana na mpaka wa Manase kutoka upande wa mashariki hata magharibi, Efraimu atakuwa na fungu moja.
А до Манасиевата граница, от източната страна до западната страна, Ефрем ще има един дял.
6 Kupakana na mapaka wa Efraimu kutoka mashariki hata magharibi, Rubeni atakuwa na fungu moja.
А до Ефремовата граница, от източната страна до западната страна, Рувим ще има един дял.
7 Kupakana na mpaka wa Rubeni kutoka mashariki hata magharibi, Yuda atakuwa na fungu moja.
А до Рувимовата граница, от източната страна до западната страна, Юда ще има един дял.
8 Sadaka ya nchi ambayo mtaifanya itakuwa karibu na mpaka wa Yuda na hapohapo kutoka upande wa mashariki hata upande wa magharibi; itakuwa ridhaa elfu ishirini na tano upana. Urefu unakaribiana na fungu la kabila moja kutoka upande wa mashariki hata upande wa magharibi, na hekalu litakuwa katikati yake.
И до Юдовата граница, от източната страна до западната страна, да бъде приносът, който ще посветите, двадесет и пет хиляди тръстики широк, а дълъг колкото всеки от другите дялове от източната страна до западната страна; и светилището да бъде всред него.
9 Huu mji mtakao utoa sadaka kwa ajili ya Yahwe utakuwa na ridhaa elfu ishirini na tano urefu wake na ridhaa elfu kumi upana.
Приносът, който ще посветите Господу, да бъде двадесет и пет хиляди тръстики на длъж, и десет хиляди на шир.
10 Haya yatakuwa matoleo ya hili fungu takatifu la nchi: makuhani watakuwa na nchi watakayopewa kipimo chake ridhaa elfu ishirini na tano urefu kwa upande kaskazini; ridhaa elfu kumi upana upande wa magharibi; urefu wa ridhaa elfu kumi upande wa magharibi; na urefu rithaa elfu ishirini na tano upande wa kusini, pamoja na mahali patakatifu pa Yahwe katikati yake.
И тоя свет принос да бъде за тях, за свещениците, дълъг към север двадесет и пет хиляди тръстики, широк към запад десет хиляди, широк и към изток десет хиляди, а дълъг към юг двадесет и пет хиляди; И Господното светилище ще бъде всред него.
11 Hii itakuwa wakfu na makuhani wa safu ya Zadoki, aliyenitumikia kwa uaminifu na ambaye hakwenda nje ya mstari wakati watu wa Israeli walipoeenda nje ya mstari, kama Walawi walivyofanya.
Това да бъде за осветените свещеници от Садоковите потомци, които пазиха заръчването Ми и не се заблудиха, когато израилтяните се заблудиха, както се заблудиха левитите.
12 Sadaka yao itakuwa fungu la hiyo nchi takatifu sana, karibu na mpaka wa Walawi.
И тоя посветен принос от приноса на земята ще им бъде пресвет, до предела на левитите.
13 Nchi ya Walawi karibu na mpaka wa nchi ya makuhani itakuwa ridhaa elfu ishirini na tano urefu na ridhaa elfu kumi upana. Urefu wote wa eneo la nchi utakuwa ridhaa elfu ishirini na tano urefu na ridhaa elfu ishirini upana.
И съответстващ на границата на свещениците, левитите ще имат дял двадесет и пет хиляди тръстики дълъг и десет хиляди широк; цялата дължина да бъде двадесет и пет хиляди, и широчината десет хиляди.
14 Hawataiuza au kuibadilisha; hakuna malimbuko ya hiyo nchi ya Israeli itakayogawanywa kutoka haya maeneo, kwa kuwa yote ni matakatifu kwa ajili ya Yahwe.
От него да не продават, нито да го дават в размяна, нито да предадат на други земните първаци; защото делът им е свет Господу.
15 Nchi iliyobaki, ridhaa elfu kumi na tano upana na ridhaa elfu ishirini na tano urefu, itakuwa kwa wote wanayoitumia hiyo nchi, nyumba, na sehemu ya malisho; huo mji utakuwa katikati yake.
А петте хиляди тръстики, които остават в широчината срещу двадесет и петте хиляди, да бъдат за обща употреба, за града, за живеене и за пасбища; а градът да бъде всред него.
16 Hivi ndivyo vitakuwa vipimo vya mji: upande wa kaskazini utakuwa ridhaa 4, 500 urefu; upande wa kusini utakuwa ridhaa 4, 500 urefu; upande wa magharibi utakuwa ridhaa 4, 500 urefu; na magharibi itakuwa ridhaa 4, 500 urefu.
И ето мерките му: северната страна четири хиляди и петстотин тръстики, южната страна четири хиляди и петстотин, източната страна четири хиляди и петстотин и западната страна четири хиляди и петстотин.
17 Kutakuwa na malisho ya mji kuelekea kaskazini, ridhaa 250 kwenda chini; hata kusini, ridhaa 250 kwenda chini; kuelekea mashariki, ridhaa 250 kwenda chini, na kuelekea magharibi ridhaa 250 kwenda chini.
И пасбищата на града да бъдат на север двеста и петдесет, на юг двеста и петдесет, на изток двеста и петдесет, и на запад двеста и петдесет.
18 Eneo lililobaki la matoleo matakatifu litanyooshwa ridhaa elfu kumi hata mashariki na ridhaa elfu kumi kuelekea magharibi. Litanyooshwa karibu na mpaka wa matoleo matakatifu, na mazao yake yatakuwa chakula kwa ajili ya wale wanaofanya kazi katika nchi.
И остатъкът от дължината, съответствуващ на светия принос, ще бъде десет хиляди тръстики на изток, и десет хиляди на запад; ще съответствува на светия принос; и рожбите му ще бъдат за храна на ония, които слугуват в града.
19 Wale wafanyao kazi katika mji, watu wote wa kabila za Israeli, watailima hiyo nchi.
Ония от всичките Израилеви племена, които слугуват в града, да го обработват.
20 Matoleo yote ya nchi yatapimwa ridhaa elfu ishirini na moja kwa ridhaa elfu ishirini na tano. Kwa njia hii mtatengeneza matoleo matakatifu ya nchi, pamoja na nchi kwa ajili mji.
Цялото посветено място да бъде двадесет и пет хиляди тръстики на двадесет и пет хиляди; четвъртит ще направите светия принос, включително градското притежание.
21 Mabaki ya nchi mojawapo upande wa matoleo matakatifu na eneo la mji litakuwa kwa ajili ya mwana wa mfalme. Eneo la nchi ya mwana wa mfalme kuelekea mashariki litanyooshwa kwa ridhaa elfu ishirini na tano kutoka kwenye mpaka wa matoleo matakatifu hata mpaka wa mashariki-na eneo lake kuelekea mpaka wa magharibi. Katikati kutakuwa matolea matakatifu, na mahali patakatifu pa hekalu patakuwa katikati yake.
И остатъкът да бъде за княза, от двете страни на светия принос и на градското притежание, пред посветеното място от двадесет и петте хиляди тръстики към източната граница, а на запад пред двадесет и петте хиляди към западната граница, съответстващ на всеки от дяловете; това да бъде за княза. А светият принос със светилището на дома ще бъде всред него.
22 Nchi imenyooka kutoka mali ya Walawi na eneo la mji katikati yake litakuwa kwa ajili ya mwana wa mfalme; itakuwa kati ya mpaka wa Yuda na mpaka wa Benjamini-hiyo nchi itakuwa kwa ajili ya mwana wa mfame.
И така, мястото от притежанието на Левитите и от притежанието на града, като е по средата между границата на Юда и границата на Вениамина, ще бъде на княза; на княза ще бъде.
23 Kwa kabila zitakazobaki, mafungu yao yataunganishwa kutoka upande wa mashariki. Benjamini atapokea fungu moja.
А колкото за останалите племена: от източната страна до западната страна Вениамин ще има един дял.
24 Kupakana na mpaka wa Benjamini kutoka upande wa mashariki hata magharibi, Simioni atakuwa na fungu moja.
А до Вениаминовата граница, от източната страна до западната страна, Симеон ще има един дял.
25 Kupakana na mpaka wa Isakari kutakuwa na fungu moja.
А до Симеоновата граница, от източната страна до западната страна, Исахар ще има един дял.
26 Kupakana na mpaka wa Isakari kutoka mashariki hata magharibi, Zebuloni atakuwa na fungu moja.
А до Исахаровата граница, от източната страна до западната страна, Завулон ще има един дял.
27 Hata kusini mwa mpaka wa Zebuloni, kutoka upande wa mashariki hata upande wa magahribi, kutakuwa na nchi ya Gadi-fungu moja.
А до Завулоновата граница, от източната страна до западната страна, Гад ще има един дял.
28 Mpaka wa kusini mwa Gadi kutanyooshwa kutoka Tamari hata kwenye maji ya Meriba Kadeshi, mbele hadi kijito cha Misri, na kisha hata Bahari kuu.
А до Гадовата граница, на южната страна към юг, границата да бъде от Тамар до водата на Мерива Кадис, и през Египетския поток до голямото море.
29 Hii ndiyo nchi ambayo mtakazo gawana; kutakuwa na urithi wa makabila ya Israeli. Haya yatakuwa mafungu yao. Hivi ndivy Bwana Yahwe asemavyo.
Тая е земята, която ще разделите с жребие на Израилевите племена в наследсвто, и тия са дяловете на всяко от тях, казва Господ Иеова.
30 Hawa ndio watakaoishi kutoka kwenye nchi: upande wa kaskazini, ambapo patapimwa ridhaa 4, 500 kwa urefu,
А ето предградията на града: на северната страна четири хиляди и петстотин тръстики по мярка;
31 kutakuwa na malango matatu, yaitwayo kwa ajili ya Israeli: lango moja kwa ajili ya Rubeni, lango moja kwa ajili ya Yuda, na lango moja kwa ajili ya Walawi.
а градските порти да се наричат с имената на Израилевите племена; три от портите да гледат към север - Рувимовата порта една, Юдовата порта една, и Левиевата порта една;
32 Kwa upande wa mashariki, ambapo patapimwa ridhaa 4, 500 kwa urefu, kutakuwa na malango matatu: lango moja kwa ajili ya Yusufu, lango moja kwa ajili ya Benjamini, na lango moja kwa ajili ya Dani.
и на източната страна четири хиляди и петстотин тръстики, и три порти - Иосифовата порта една, Вениаминовата порта една, и Дановата порта една;
33 Kwa upande wa mashariki, kutakuwa na kipimo cha ridhaa 4, 500 urefu, kutakuwa na malango matatu: lango moja kwa ajili ya Simioni, lango moja kwa ajili ya Isakari, na moja kwa ajili ya Zebuloni.
и на южната страна четири хиляди и петстотин тръстики по мярка, и три порти - Симеоновата порта една, Исахаровата порта една и Завулоновата порта една;
34 Kwa upande wa magharibi, ambao kipimo chake kitakuwa ridhaa 4, 500, kutakuwa ba malango matatu: lango moja kwa ajili ya Gadi, lango moja kwa ajili ya Asheri, na lango moja kwa ajili ya Naftali.
а на западната страна четири хиляди и петстотин тръстики, и три порти - Гадовата порта една, Асировата порта една и Нефталимовата порта една.
35 Umbali kuuzunguka mji utakuwa ridhaa elfu kumi na nane; kutoka hiyo siku, jina la huo mji litakuwa “Yahwe yupo hapo.”
Окръжността да бъде осемнадесет хиляди тръстики; и от оня ден името на града ще бъде Иеовашама.

< Ezekieli 48 >