< Ezekieli 43 >

1 Yule mtu kisha akanileta hata kwenye lango lililokuwa linaelekea mashariki.
Un viņš mani noveda pie tiem vārtiem, kas pret rīta pusi.
2 Tazama! Utukufu wa Mungu wa Israeli ukaja kutoka mashariki; sauti yake ilikuwa kama sauti ya maji mengi, na nchi iling'aa kwa utukufu wake.
Un redzi, Israēla Dieva godība nāca no rīta puses, un viņa rībēšana bija kā varenu ūdeņu rūkšana, un zeme tapa apgaismota no Viņa godības.
3 Yalikuwa yanalingana na sura ya ono nililolona, kulingana na ono nililokuwa nimeliona wakati alipokuja kuuteketeza mji, na maono yalikuwa kama maono ambayo niliyokuwa nimeyaona Keberi Kanali nikaanguka kifudi fudi.
Un viņa parādīšanās bija tāda pati, kādu es redzēju, kad es nācu, to pilsētu postīt, un tā parādīšanās bija tā kā tā, ko es redzēju pie Ķebaras upes, un es kritu uz savu vaigu.
4 Hivyo utukufu wa Yahwe ukaja kwenye nyumba ya karibu na njia ya lango lililokuwa wazi kwa upande wa magharibi.
Un Tā Kunga godība nāca tai namā pa tiem vārtiem, kas pret rīta pusi.
5 Kisha Roho akanichukua na kunileta kwenye ua wa ndanni. Tazama! Utukufu wa Yahwe ulikuwa umeijaza nyumba.
Un Tas Gars mani pacēla un mani ieveda iekšējā pagalmā, un redzi, Tā Kunga godība piepildīja to namu.
6 Mtu alisimama karibu na mimi, na nikamsikia mtu mwingine akizungumza na mimi kutoka kwenye nyumba.
Un no tā nama es dzirdēju vienu ar mani runājam, un viens vīrs stāvēja pie manis.
7 Akanambia, “Mwanadamu, hapa ndipo mahali pangu pa enzi na mahali kwa ajili ya ya miguu yangu, ambapo nitaishi kati ya watu wa Israeli milele. Nyumba ya Israeli haitalikufuru tena jina langu takatifu-wao au wafalme wao katika mahali patakatifu pao.
Un Tas uz mani sacīja: “Cilvēka bērns, šī ir Mana godības krēsla vieta un Manu pēdu vieta, kur Es Israēla bērnu vidū dzīvošu mūžīgi. Un Israēla nams, viņi ar saviem ķēniņiem vairs nesagānīs Manu svēto Vārdu ar savu maucību un ar savu ķēniņu mirušām miesām pie viņu miršanas,
8 Hawatalikufuru tena jina langu takatifu kwa kuweka kizingiti chao karibu na kizingiti changu, na nguzo yao ya lango karibu na nguzo yangu ya lango, bila kitu lakini ukuta kati yangu na wao. Wamelikufuru jina langu kwa matendo yao machafu, hivyo nimewala kwa hasira yangu.
Kad tie savu slieksni lika pie mana sliekšņa un savus stabus pie maniem stabiem, ka tikai siena bija starp mani un viņiem, un sagānīja manu svēto vārdu ar savām negantībām, ko tie darīja; tāpēc es tos esmu aprijis savā dusmībā.
9 Sasa waache waondoe udanganyifu wao na maiti za wafalme wao kutoka kwangu, na nitaishi katikati yao milele.
Nu tie atņems savu maucību un savu ķēniņu mirušās miesas tālu nost no manis un es dzīvošu viņu vidū mūžīgi.
10 Mwanadamu, wewe mwenyewe utaiambia nyumba ya Israeli kuhusu nyumba hii hivyo watajiskia aibu ya uovu wao. Wanaweza kutafakari kuhusu haya maelezo.
Tu cilvēka bērns, dari zināmu Israēla namam šo namu, lai tie kaunas savu noziegumu dēļ, un lai tie to ēku mēro.
11 Kwa kuwa wameaibika kwa yote waliyoyafanya, kisha waonyeshe mchoro wa nyumba, maelezo yake, matokeo yake, maingio yake, na mchoro wake, sheria zake zote na kanuni. Kisha andika hivi chini mbele ya macho yao ili waweze kutunza michoro yote na kanuni zake zote, hivyo kama wazitiivo.
Kad tie nu kaunas par visu, ko tie darījuši, tad rādi tiem tā nama izskatu un viņa kārtību un viņa izejamās un ieejamās durvis un visu viņa izskatu un visus viņa likumus un visu viņa stāvu, un visu viņa bauslību dari tiem zināmu un raksti priekš viņu acīm, ka tie visu viņa izskatu un visus viņa likumus patur un tos dara.”
12 Hii ndiyo sheria kwa ajili ya nyumba: Kutoka kwenye kilele cha mlima hata mpaka wote unaoizunguka, patakuwa patakatifu sana. Tazama! Hii ndiyo sheria kwa ajili ya nyumba.
Šī ir Tā Dieva nama bauslība: kalna galā visapkārt līdz viņa robežām ir vissvētākā vieta; redzi, šī ir tā nama bauslība.
13 Hivi vitakuwa vipimo vya madhabahu katika dhiraa-hiyo dhiraa kuwa dhiraa ya kawaida na urefu wa kiganja. Hivyo mfereji ulio uzunguka madhabahu utakuwa dhiraa moja chini, na upana wake pia utakuwa dhiraa moja. Mpaka wa karibu uizungukayo machinjio shubiri moja. Hii itakuwa kitako cha madhabahu.
Un šie ir altāra mēri pēc tās olekts, kas ir lielāka nekā cita olekts par vienu plaukstu. Viņa pamats ir vienu olekti (augstumā) un vienu olekti garumā, un viņa malas zimze(apmale) ir vienu sprīdi visapkārt; un tas ir altāra augstums:
14 Usawa wa kutoka kwenye mferji hadi kwenye machinijo ya chini ya madhabahu itakuwa dhiraa mbili, na hiyo machinjio yenyewe itakuwa dhiraa moja upana. Kisha kutoka machinjio madogo hadi kwenye machinjio makubwa ya madhabahu, itakuwa dhiraa nne, na machinjio makubwa yatakuwa dhraa moja upana.
No pamata pie zemes līdz apakšējai pakāpei bija divas olektis un platums viena olekts. Bet no tās mazās pakāpes līdz tai lielai ir četras olektis un platums viena olekts.
15 Meko juu ya madhabahu kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa ni dhiraa nne juu, na kuna pembe nne zilizoelekea juu kwenye meku.
Un altāra ugunskurs bija četras olektis augstumā, un no ugunskura uz augšu bija tie četri ragi.
16 Meku ina dhiraa kumi na moja urefu na dhiraa kumi na mbili upana, za mraba.
Un altāra ugunskurs bija divpadsmit olektis garumā un divpadsmit olektis platumā, četrkantīgs uz saviem četriem sāniem.
17 Mpaka wake ni dhiraa kumi na nne urefu na dhiraa kumi na nne upana pande zake zote nne, na ukingo wake ni nusu dhiraa upana. Mfereji ni dhiraa moja upana kuzuka kote pamoja na ngazi zielekeazo mashariki.”
Un tā (augšēja) pakāpe bija četrpadsmit olektis garumā un četrpadsmit olektis platumā savos četros sānos, un tā mala ap viņu bija vienu pusolekti, un tas pamats pie tās bija viena olekts visapkārt, un uzkāpšana bija no rīta puses.
18 Kisha akanambia, “Mwanadamu, Bwana Yahwe asema hivi: Hizi ndizo sheria kwa ajili ya madhabahu katika siku watakayoitengeza, kwa ajili kutoa sadaka ya kuteketezwa kwenye hiyo, na kwa jili ya kunyunyiza damu juu yake.
Un viņš uz mani sacīja: cilvēka bērns, tā saka Tas Kungs Dievs: šie ir altāra likumi tai dienā, kad viņš taps taisīts, uz tā upurēt dedzināmos upurus un uz to slacināt asinis.
19 Utatoa ng'ombe kutoka kwenye kundi kama sadaka ya dhambi kwa ajili ya Walawi makuhani ambao ni uzao wa Zadoki, wale wajao karibu nami kunitumikia-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
Un tiem priesteriem, Levja bērniem, kas ir no Cadoka dzimuma, kas man tuvojās, man kalpot, saka Tas Kungs Dievs: tiem tev būs dot vienu jaunu vērsi par grēku upuri.
20 Kisha utachukua baadhi ya damu yake na kuiweka juu pembe nne za madhabahu na pande nne za machinjio na kuuzunguka ukingo; utaitakasa na kufanya upatanisho kwa ajili yake.
Un tev no viņa asinīm būs ņemt un to likt pie viņa četriem ragiem un pie tiem četriem pakāpes stūriem un pie tās apkārtējās malas, tā tev to būs šķīstīt un svētīt.
21 Kisha chukua ng'ombe kama sadaka ya dhambi na iteketezwe katika eneneo lililotengwa la nje ya patakatifu.
Un tev būs ņemt grēku upura vērsi, un to būs sadedzināt ierādītā nama vietā, ārā no tās svētās vietas.
22 Kisha katika siku ya pili utatoa mbuzi dume asiyekuwa na dosari kutoka kundini kama sadaka ya dhambi; makuhani wataisafisha madhabahu kama walivyoisafisha kwa ng'ombe.
Un otrā dienā tev būs upurēt vienu āzi, kas bez vainas, par grēku upuri, un altāri būs svētīt, tā kā to svētīja ar to vērsi.
23 Utakapomaliza kusafisha, toa ng'ombe asiyekuwa na dosari kutoka kwenye mifugo na kondoo dume asiyekuwa na dosari kutoka kundini.
Kad tu nu to svētīšanu būsi pabeidzis, tad tev no ganāmā pulka būs upurēt vienu jaunu vērsi, kas bez vainas, un vienu aunu, kas bez vainas.
24 Watoe mbele ya Yahwe; makuhani watanyunyiza chumvi juu yao na kuwainua juu kama sadaka ya kutekezwa kwa Yahwe.
Un tev tos būs upurēt Tā Kunga priekšā, un priesteriem būs sāli uz tiem mest un tos upurēt par dedzināmo upuri Tam Kungam.
25 Utaandaa mbuzi dume kama sadaka ya dhambi kila siku kwa mda wa siku saba, na makuhani pia wataandaa ng'ombe asiye na dosari kutoka kwenye kundi na kondoo dume kutoka kwenye kundi.
Septiņas dienas tev būs upurēt ikdienas vienu āzi par grēku upuri, viņiem arī būs upurēt vienu jaunu vērsi un vienu aunu no ganāmā pulka, kas abi bez vainas.
26 Wataipatanisha madhabahu kwa siku saba na kuitakasa, wataitakasa kwa njia hii.
Septiņas dienas tiem altāri būs svētīt un viņu šķīstīt un savas rokas pildīt.
27 Watamaliza hizi siku saba, na katika siku ya nane na kuendelea itakuwa kwamba makuhani wataandaa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani kwenye madhabahu, ndipo nitakapowakubali-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”
Un pēc šīm dienām priesteriem astotā dienā un joprojām būs upurēt jūsu dedzināmos upurus un jūsu pateicības upurus uz altāra, un man būs labs prāts pie jums, saka Tas Kungs Dievs.

< Ezekieli 43 >