< Ezekieli 43 >

1 Yule mtu kisha akanileta hata kwenye lango lililokuwa linaelekea mashariki.
Te phoeiah kai te vongka taengla n'caeh puei. Vongka te khothoeng longpuei la mael.
2 Tazama! Utukufu wa Mungu wa Israeli ukaja kutoka mashariki; sauti yake ilikuwa kama sauti ya maji mengi, na nchi iling'aa kwa utukufu wake.
Te vaengah Israel Pathen kah thangpomnah tah khothoeng longpuei lamloh tarha ha thoeng. A ol te tui yet ol bangla lo tih diklai te a thangpomnah neh a tue.
3 Yalikuwa yanalingana na sura ya ono nililolona, kulingana na ono nililokuwa nimeliona wakati alipokuja kuuteketeza mji, na maono yalikuwa kama maono ambayo niliyokuwa nimeyaona Keberi Kanali nikaanguka kifudi fudi.
Mueimae pakhat te a mueimae phek ka hmuh. Khopuei phae ham kai taengla ha pawk vaengkah ka hmuh mueimae phek la om. Mangthui khaw Kebar tuiva kah ka hmuh mueimae bangla om tih ka maelhmai te ka buenglueng.
4 Hivyo utukufu wa Yahwe ukaja kwenye nyumba ya karibu na njia ya lango lililokuwa wazi kwa upande wa magharibi.
Te vaengah BOEIPA kah thangpomnah tah khothoeng longpuei lamloh a hmai vongka longah imkhui la kun.
5 Kisha Roho akanichukua na kunileta kwenye ua wa ndanni. Tazama! Utukufu wa Yahwe ulikuwa umeijaza nyumba.
Te phoeiah Mueihla loh kai te m'pom tih vongtung khui la kai te n'khuen. Te vaengah im te BOEIPA kah thangpomnah neh tarha bae.
6 Mtu alisimama karibu na mimi, na nikamsikia mtu mwingine akizungumza na mimi kutoka kwenye nyumba.
Te vaengah im lamloh kai m'voek te ka yaak tih kai taengah aka pai hlang pakhat om.
7 Akanambia, “Mwanadamu, hapa ndipo mahali pangu pa enzi na mahali kwa ajili ya ya miguu yangu, ambapo nitaishi kati ya watu wa Israeli milele. Nyumba ya Israeli haitalikufuru tena jina langu takatifu-wao au wafalme wao katika mahali patakatifu pao.
Te phoeiah kai taengah, “Hlang capa aw, he he ka ngolkhoel hmuen neh ka kho kah khopha hmuen ni. Israel ca rhoek lakli ah kumhal duela kho ka sak pahoi vetih ka ming cim te amih Israel imkhui neh a manghai rhoek loh a pumyoihnah nen khaw a hmuensang kah a manghai rhok nen khaw poeih uh voel mahpawh.
8 Hawatalikufuru tena jina langu takatifu kwa kuweka kizingiti chao karibu na kizingiti changu, na nguzo yao ya lango karibu na nguzo yangu ya lango, bila kitu lakini ukuta kati yangu na wao. Wamelikufuru jina langu kwa matendo yao machafu, hivyo nimewala kwa hasira yangu.
A cingkhaa te ka cingkhaa taengah, a rhungsut te ka rhungsut taengah a khueh uh tih kai laklo neh amih laklo ah pangbueng ni a om coeng. Ka ming cim he amamih kah tueilaehkoi a saii uh neh a poeih uh. Te dongah ni ka thintoek ah amih te ka thup.
9 Sasa waache waondoe udanganyifu wao na maiti za wafalme wao kutoka kwangu, na nitaishi katikati yao milele.
Amih kah pumyoihnah neh a manghai rhok te kai lamloh lakhla laeh saeh. Te daengah ni amih lakli ah kumhal duela kho ka sak eh.
10 Mwanadamu, wewe mwenyewe utaiambia nyumba ya Israeli kuhusu nyumba hii hivyo watajiskia aibu ya uovu wao. Wanaweza kutafakari kuhusu haya maelezo.
Nang hlang capa aw, Israel imkhui taengah im kawng te puen pah. Te daengah ni amamih kah thaesainah dongah a hmaithae uh vetih a cungkuemnah nen khaw a nueh u eh.
11 Kwa kuwa wameaibika kwa yote waliyoyafanya, kisha waonyeshe mchoro wa nyumba, maelezo yake, matokeo yake, maingio yake, na mchoro wake, sheria zake zote na kanuni. Kisha andika hivi chini mbele ya macho yao ili waweze kutunza michoro yote na kanuni zake zote, hivyo kama wazitiivo.
Im kah a khui a lam a saii uh boeih te a hmai a thae uh atah a hmuenmol khaw, a thoengnah neh a kunnah khaw, a khui a lam boeih neh a khosing boeih khaw, ka khui ka lam boeih neh a khui a lam khaw, a olkhueng cungkuem dongkah a olkhueng khaw amih te ming sak. Amih mikhmuh ah daek lamtah a khui a lam boeih ngaithuen uh saeh. Te daengah ni a khosing boeih te a vai uh eh.
12 Hii ndiyo sheria kwa ajili ya nyumba: Kutoka kwenye kilele cha mlima hata mpaka wote unaoizunguka, patakuwa patakatifu sana. Tazama! Hii ndiyo sheria kwa ajili ya nyumba.
He tah tlang som im kah olkhueng ni. A khorhi kaep, kaep boeih tah cim rhoela cim. He he im kah olkhueng ni ne.
13 Hivi vitakuwa vipimo vya madhabahu katika dhiraa-hiyo dhiraa kuwa dhiraa ya kawaida na urefu wa kiganja. Hivyo mfereji ulio uzunguka madhabahu utakuwa dhiraa moja chini, na upana wake pia utakuwa dhiraa moja. Mpaka wa karibu uizungukayo machinjio shubiri moja. Hii itakuwa kitako cha madhabahu.
He rhoek he a dong la a dong vaengkah hmueihtuk cungnueh coeng ni. [Te te dong khat neh kutsom pakhat lo]. Tungngol dong khat lo tih a daang dong khat neh a rhi hmoi ah khap at phueih om. He tah hmueihtuk dongkah sawn bong ni.
14 Usawa wa kutoka kwenye mferji hadi kwenye machinijo ya chini ya madhabahu itakuwa dhiraa mbili, na hiyo machinjio yenyewe itakuwa dhiraa moja upana. Kisha kutoka machinjio madogo hadi kwenye machinjio makubwa ya madhabahu, itakuwa dhiraa nne, na machinjio makubwa yatakuwa dhraa moja upana.
Diklai tungngol lamloh tungkha hmui hil dong nit neh a daang dong khat lo. Tungkha ca lamloh tungkha puei duela dong li neh a daang dong khat lo.
15 Meko juu ya madhabahu kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa ni dhiraa nne juu, na kuna pembe nne zilizoelekea juu kwenye meku.
Hmueihtuk tlang te hmueihtuk lamloh dong li hil a ki pali la cawn hang.
16 Meku ina dhiraa kumi na moja urefu na dhiraa kumi na mbili upana, za mraba.
Hmueihtuk te a yun hlai nit, a daang hlai nit neh a vae pali la hniboeng bangla om.
17 Mpaka wake ni dhiraa kumi na nne urefu na dhiraa kumi na nne upana pande zake zote nne, na ukingo wake ni nusu dhiraa upana. Mfereji ni dhiraa moja upana kuzuka kote pamoja na ngazi zielekeazo mashariki.”
Tungkha te a yun hlai li neh a daang hlai li lo saeh. A vae pali neh a rhi taengah dong kaek neh a tungngol te a kaepvai duela dong khat lo. A tangtlaeng te khothoeng la hooi saeh,” a ti.
18 Kisha akanambia, “Mwanadamu, Bwana Yahwe asema hivi: Hizi ndizo sheria kwa ajili ya madhabahu katika siku watakayoitengeza, kwa ajili kutoa sadaka ya kuteketezwa kwenye hiyo, na kwa jili ya kunyunyiza damu juu yake.
Te phoeiah kai taengah, “Hlang capa aw, ka Boeipa Yahovah loh he ni a thui. A soah hmueihhlutnah khuen ham neh a soah thii haeh ham hmueihtuk kah khosing he amah a saii khohnin ah coeng.
19 Utatoa ng'ombe kutoka kwenye kundi kama sadaka ya dhambi kwa ajili ya Walawi makuhani ambao ni uzao wa Zadoki, wale wajao karibu nami kunitumikia-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
Te dongah Levi khosoih rhoek taengah pae kuekluek laeh. Amih Zadok tiingan lamloh ka taengah ha yoei uh. He tah ka Boeipa Yahovah kah olphong ni. Vaitotal te kai aka bong la, saelhung ca te boirhaem la om saeh.
20 Kisha utachukua baadhi ya damu yake na kuiweka juu pembe nne za madhabahu na pande nne za machinjio na kuuzunguka ukingo; utaitakasa na kufanya upatanisho kwa ajili yake.
A thii te lo lamtah a ki pali dongah khaw, tungkha bangkil pali dongah khaw, a rhi kaepvai ah hluk. Te dongah te te cim sak lamtah dawth kuekluek.
21 Kisha chukua ng'ombe kama sadaka ya dhambi na iteketezwe katika eneneo lililotengwa la nje ya patakatifu.
Vaitotal te boirhaem la khuen lamtah rhokso voel kah im hloeh ah hoeh.
22 Kisha katika siku ya pili utatoa mbuzi dume asiyekuwa na dosari kutoka kundini kama sadaka ya dhambi; makuhani wataisafisha madhabahu kama walivyoisafisha kwa ng'ombe.
A hnin bae ah maae ca hmabuet te boirhaem la khuen. Te vaengah hmueihtuk te vaitotal neh a ciim uh bangla ciim uh saeh.
23 Utakapomaliza kusafisha, toa ng'ombe asiyekuwa na dosari kutoka kwenye mifugo na kondoo dume asiyekuwa na dosari kutoka kundini.
Na ciim bawt bawt ah saelhung ca khuikah vaitotal hmabuet neh boiva khui lamloh tutal hmabuet te na nawn ni.
24 Watoe mbele ya Yahwe; makuhani watanyunyiza chumvi juu yao na kuwainua juu kama sadaka ya kutekezwa kwa Yahwe.
Te te BOEIPA mikhmuh la khuen lamtah khosoih rhoek loh lungkaeh phul thil saeh. Te phoeiah BOEIPA taengah hmueihhlutnah la khuen saeh.
25 Utaandaa mbuzi dume kama sadaka ya dhambi kila siku kwa mda wa siku saba, na makuhani pia wataandaa ng'ombe asiye na dosari kutoka kwenye kundi na kondoo dume kutoka kwenye kundi.
Hnin rhih khuiah saii lamtah, hnin at dongkah boirhaem la maae khaw, saelhung ca khuikah tah vaitotal khaw, boiva khuikah tah tutal khaw a hmabuet te nawn uh saeh.
26 Wataipatanisha madhabahu kwa siku saba na kuitakasa, wataitakasa kwa njia hii.
Hnin rhih khuiah hmueihtuk te dawth uh saeh lamtah caihcil uh saeh. Te daengah ni a kut, a kut ah a cung u eh.
27 Watamaliza hizi siku saba, na katika siku ya nane na kuendelea itakuwa kwamba makuhani wataandaa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani kwenye madhabahu, ndipo nitakapowakubali-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”
Khohnin te cup tih hnin rhet dongla ana om ni. Te phoeiah tah nangmih kah hmueihhlutnah neh rhoepnah te khosoih rhoek loh hmueihtuk dongla khueh uh saeh lamtah nangmih te kan moeithen bitni. He tah ka Boeipa Yahovah kah olphong ni,” a ti.

< Ezekieli 43 >