< Ezekieli 42 >

1 Kisha yule mtu akanituma kwenda ua wa nje upande wa kaskazini, akanileta kwenye vyumba mbele ya ua wa nje na ukuta wa nje kaskazini.
Entonces me llevó al patio externo que estaba hacia el norte. Me introdujo en la cámara que estaba frente al espacio abierto que estaba frente al edificio, hacia el norte.
2 Hivyo vyumba vilikuwa dhiraa mia moja karibu na mbele yake na dhiraa hamsini upana.
Por delante, la puerta del norte tenía una longitud de 50 metros, y una anchura de 25 metros.
3 Baadhi ya hivyo vyumba vilielekea ua wa ndani na vilikuwa na dhiraa ishirini kutoka patakatifu. Kulikuwa na vyumba vitatu vinavyolingana, na kingine juu kilichokuwa kimetazama chini kuelekea kingine vilikuwa vimefunguliwa, vilikuwa na pakutokea. Baadhi ya vyumba vilielekea nje kwenye ua wa nje.
Frente al patio interno, que era de diez metros, y al lado del patio externo, había unos pasillos, en los tres niveles.
4 Njia dhiraa kumi upana dhiraa mia moja urefu kueleikea mbele ya vyumba. Milango ya vyumba ilikuwa mbele kaskazini.
Delante de las cámaras había un pasillo de cinco metros de anchura hacia adentro y 50 metros de longitud, con sus puertas hacia el norte.
5 Lakini kumbi za juu zilikuwa ndogo, kwa ajili ya njia za kutembea zilichukua kutoka kwazo sehemu kubwa kulikuwa walivyofanya kwenye vyumba vya chini na katikati usawa wa jengo.
Las cámaras más altas eran más pequeñas, porque los pasillos les quitaban más espacio que las de abajo y las de en medio del edificio,
6 Kwa kuwa orofa tatu hapakuwa na mihimili, kama zile nyua, ambazo zilikuwa na mihimili. Hivyo usawa wa vyumba vya juu vilikuwa sawa sawa katika kipimo cha kulinganisha na vyumba vya chini na usawa wa katikakati.
porque estaban en tres niveles, y no tenían columnas como las de los patios. Por tanto eran más angostas que las más bajas y las intermedias.
7 Ukuta wa nje karibu na vyumba mbele ya ua wa nje, ua uliokuwa mbele ya vyumba. Huo ukuta ulikuwa dhiraa hamsini urefu.
La pared exterior, paralela a las cámaras en dirección al patio externo, frente a las cámaras, tenía 25 metros de longitud,
8 Urefu wa vyumba vya ua wa nje ulikuwa dhiraa hamsini, na vyumba vilivyokuwa vimeelekea patakatifu vilikuwa dhiraa mia moja urefu.
porque la longitud de las cámaras que estaban hacia el patio externo era de 25 metros, mientras que las que estaban hacia el frente del Santuario eran de 50 metros.
9 Kulikuwa na mahali pa kuingilia kwenye vyumba vidogo zaidi kutoka upande mashariki, kuingia kutoka ua wa nje.
Por debajo de estas cámaras estaba la entrada al lado oriental para entrar en él desde el patio externo.
10 Karibu na ukuta wa ua wa nje juu ya upande wa mgaribi pa ua wa ndani, mbele ya patakatifu pa ua wa nje, pia kulikuwa na vyumba na njia ya mbele yao.
A lo largo de la pared del patio, hacia el oriente, enfrente del patio y delante del pasillo, había también cámaras
11 zilikuwa kama umbo la vyumba kwa upande wa kaskazini. Zilikuwa urefu ule ule na upana na matokeo yale yale na mipangilio na madirisha.
con un pasadizo delante de ellas. Se parecían a las cámaras que estaban hacia el norte. Tanto su longitud como su anchura eran iguales. También sus salidas, sus puertas y sus entradas eran iguales.
12 Kwa upande wa kusini kulikuwa na madirisha kwenye vyumba ambavyo vilikuwa kama yale yaliyokuwa upande wa kaskazini. Aya iliyokuwa ndani ilikuwa na mlango kwenye kichwa chake, na njia ilifunguliwa kwenye vyumba tafauti. Upande mashariki kulikuwa na malango wa njia kwenye njia mwishoni.
Así también eran las puertas de las cámaras que estaban hacia el sur, con una puerta que estaba al comienzo del pasillo del lado oriental para el que entraba en las cámaras.
13 Kisha yule mtu akanambia, “Vyumba vya kaskazini na vyumba vya kusini vilivyokuwa mbele ya ua wa nje ni vyumba vitakatifu amabapo makuhani wafanyao kazi karibu sana na Yahwe waweze kula chakula kitakatifu sana. Wataweka vitu vitakatifu sana-sadaka ya chakula, sadaka ya dhambi, na sadaka ya hatia-kwa kuwa hapa ni mahali patakatifu.
Entonces me dijo: Las cámaras que están delante del pasillo, hacia el norte y hacia el sur, son las cámaras santas, donde los sacerdotes que se acercan a Yavé comen las ofrendas sagradas. Allí pondrán las cosas sagradas: la ofrenda vegetal, el sacrificio que apacigua por el pecado y el sacrificio por la culpa, porque el lugar es santo.
14 Wakati makuhani watakapoingia hapo, wasitoke nje ya mahali patakatifu kwa ua wa nje, bila kuweka mavazi karibu mahali wahudumupo, kwa kuwa hapa ni patakatifu. Hivyo watavalia mahali pengine nguo kabla ya kwenda karibu na watu.”
Cuando los sacerdotes entren, no saldrán del Lugar Santo al patio externo, sino allí dejarán sus ropas con las cuales ministran, porque son santas. Para salir vestirán otras ropas con las cuales se acercarán al pueblo.
15 Yule mtu akamaliza kupima ndani ya nyumba na kisha akanichukua nje ya lango lililokuwa limeelekea magharibi na kuzipima sehemu zote zilizokuwa zimepazunguka hapo.
Cuando terminó de medir el interior de la Casa, me llevó por el camino de la puerta que está hacia el oriente, y midió todo lo que había alrededor.
16 Akaupima upande wa mashariki na fimbo ya kupimia-dhiraa mia tano kwa fimbo ya kupimia.
Midió el lado oriental, 1,5 kilómetros, medidos alrededor con la caña de medir.
17 akaupima upande wa kaskazini-dhiraa mia tano na fimbo ya kupimia.
Luego midió el lado del norte, 1,5 kilómetros antiguos.
18 Pia akaupima upande wa kusini dhraa mia tano na fimbo ya kupimia.
Después midió el lado sur, 1,5 kilómetros.
19 Pia akageuka na kuupima upande wa magharibi dhiraa mia tano kwa fimbo ya kupimia,
Dio la vuelta hacia el lado del occidente y midió 1,5 kilómetros.
20 Akaipima pande nne. Ilikuwa na ukuta umeizunguka ilikuwa dhiraa mia tano urefu, na dhiraa mia tano upana, kulitenganisha umbo takatifu kutoka ambapo ni pa kawada.
Midió por los cuatro puntos cardinales. La pared que lo rodeaba era de 1,5 kilómetros de longitud y de anchura, para separar lo santo de lo profano.

< Ezekieli 42 >