< Ezekieli 42 >

1 Kisha yule mtu akanituma kwenda ua wa nje upande wa kaskazini, akanileta kwenye vyumba mbele ya ua wa nje na ukuta wa nje kaskazini.
Derpaa førte han mig ud i den indre Forgaard i nordlig Retning, og han førte mig til Kamrene, som laa ud imod den afspærrede Plads og Bagbygningen, nogle paa den ene Side, andre paa den anden.
2 Hivyo vyumba vilikuwa dhiraa mia moja karibu na mbele yake na dhiraa hamsini upana.
Længden var hundrede Alen og Bredden halvtredsindstyve.
3 Baadhi ya hivyo vyumba vilielekea ua wa ndani na vilikuwa na dhiraa ishirini kutoka patakatifu. Kulikuwa na vyumba vitatu vinavyolingana, na kingine juu kilichokuwa kimetazama chini kuelekea kingine vilikuwa vimefunguliwa, vilikuwa na pakutokea. Baadhi ya vyumba vilielekea nje kwenye ua wa nje.
Over for Portene, som hørte til den indre Forgaard, og over for Stenbroen, som hørte til den ydre Forgaard, var der Gang over for Gang i tre Stokværk.
4 Njia dhiraa kumi upana dhiraa mia moja urefu kueleikea mbele ya vyumba. Milango ya vyumba ilikuwa mbele kaskazini.
Foran Kamrene var der en Forgang, ti Alen bred og hundrede Alen lang, og deres Døre vendte mod Nord.
5 Lakini kumbi za juu zilikuwa ndogo, kwa ajili ya njia za kutembea zilichukua kutoka kwazo sehemu kubwa kulikuwa walivyofanya kwenye vyumba vya chini na katikati usawa wa jengo.
De øvre Kamre var de snævreste, thi Gangen tog noget af deres Plads, saa at de var mindre end de nederste og mellemste.
6 Kwa kuwa orofa tatu hapakuwa na mihimili, kama zile nyua, ambazo zilikuwa na mihimili. Hivyo usawa wa vyumba vya juu vilikuwa sawa sawa katika kipimo cha kulinganisha na vyumba vya chini na usawa wa katikakati.
Thi de havde tre Stokværk og ingen Søjler svarende til den ydre Forgaards; derfor var de øverste snævrere end de nederste og mellemste.
7 Ukuta wa nje karibu na vyumba mbele ya ua wa nje, ua uliokuwa mbele ya vyumba. Huo ukuta ulikuwa dhiraa hamsini urefu.
Der løb en Mur udenfor langs Kamrene i Retning af den ydre Forgaard; foran Kamrene var dens Længde halvtredsindstyve Alen;
8 Urefu wa vyumba vya ua wa nje ulikuwa dhiraa hamsini, na vyumba vilivyokuwa vimeelekea patakatifu vilikuwa dhiraa mia moja urefu.
thi Kamrene, som laa ved den ydre Forgaard, havde en samlet Længde af halvtredsindstyve Alen, og de laa over for hine, i alt hundrede Alen.
9 Kulikuwa na mahali pa kuingilia kwenye vyumba vidogo zaidi kutoka upande mashariki, kuingia kutoka ua wa nje.
Neden for disse Kamre var Indgangen paa Østsiden, naar man gik ind i dem fra den ydre Forgaard,
10 Karibu na ukuta wa ua wa nje juu ya upande wa mgaribi pa ua wa ndani, mbele ya patakatifu pa ua wa nje, pia kulikuwa na vyumba na njia ya mbele yao.
ved Begyndelsen af den ydre Mur. Derpaa førte han mig mod Syd; og der var ogsaa Kamre ud imod den afspærrede Plads og Bagbygningen
11 zilikuwa kama umbo la vyumba kwa upande wa kaskazini. Zilikuwa urefu ule ule na upana na matokeo yale yale na mipangilio na madirisha.
med en Gang foran; de saa ud som Kamrene mod Nord; havde samme Længde og Bredde, og alle Udgange var her som hist, ligesom de var indrettet paa samme Maade.
12 Kwa upande wa kusini kulikuwa na madirisha kwenye vyumba ambavyo vilikuwa kama yale yaliyokuwa upande wa kaskazini. Aya iliyokuwa ndani ilikuwa na mlango kwenye kichwa chake, na njia ilifunguliwa kwenye vyumba tafauti. Upande mashariki kulikuwa na malango wa njia kwenye njia mwishoni.
Men deres Døre vendte mod Syd .......
13 Kisha yule mtu akanambia, “Vyumba vya kaskazini na vyumba vya kusini vilivyokuwa mbele ya ua wa nje ni vyumba vitakatifu amabapo makuhani wafanyao kazi karibu sana na Yahwe waweze kula chakula kitakatifu sana. Wataweka vitu vitakatifu sana-sadaka ya chakula, sadaka ya dhambi, na sadaka ya hatia-kwa kuwa hapa ni mahali patakatifu.
Og han sagde til mig: »Kamrene mod Nord og Syd, som ligger ud mod den afspærrede Plads, er de hellige Kamre, hvor Præsterne, der nærmer sig HERREN, skal spise det højhellige; der skal de gemme det højhellige, Afgrødeofrene, Syndofrene og Skyldofrene, thi Stedet er helligt;
14 Wakati makuhani watakapoingia hapo, wasitoke nje ya mahali patakatifu kwa ua wa nje, bila kuweka mavazi karibu mahali wahudumupo, kwa kuwa hapa ni patakatifu. Hivyo watavalia mahali pengine nguo kabla ya kwenda karibu na watu.”
og naar Præsterne træder ind — de maa ikke fra Helligdommen træde ud i den ydre Forgaard — skal de der nedlægge deres Klæder, som de gør Tjeneste i, da de er hellige, og iføre sig andre Klæder; da først maa de nærme sig det, der hører Folket til.«
15 Yule mtu akamaliza kupima ndani ya nyumba na kisha akanichukua nje ya lango lililokuwa limeelekea magharibi na kuzipima sehemu zote zilizokuwa zimepazunguka hapo.
Da han var til Ende med at udmaale Templets Indre, førte han mig hen til den Port, hvis Forside vendte mod Øst, og maalte til alle Sider;
16 Akaupima upande wa mashariki na fimbo ya kupimia-dhiraa mia tano kwa fimbo ya kupimia.
han maalte med Maalestangen Østsiden; den var efter Maalestangen 500 Alen; saa vendte han sig og
17 akaupima upande wa kaskazini-dhiraa mia tano na fimbo ya kupimia.
maalte med Maalestangen Nordsiden til 500 Alen;
18 Pia akaupima upande wa kusini dhraa mia tano na fimbo ya kupimia.
saa vendte han sig og maalte med Maalestangen Sydsiden til 500 Alen;
19 Pia akageuka na kuupima upande wa magharibi dhiraa mia tano kwa fimbo ya kupimia,
og han vendte sig og maalte med Maalestangen Vestsiden til 500 Alen.
20 Akaipima pande nne. Ilikuwa na ukuta umeizunguka ilikuwa dhiraa mia tano urefu, na dhiraa mia tano upana, kulitenganisha umbo takatifu kutoka ambapo ni pa kawada.
Til alle fire Sider maalte han Pladsen; og der var en Mur rundt om, 500 Alen lang og 500 Alen bred, til at sætte Skel mellem det, som er helligt, og det, som ikke er helligt.

< Ezekieli 42 >