< Ezekieli 42 >

1 Kisha yule mtu akanituma kwenda ua wa nje upande wa kaskazini, akanileta kwenye vyumba mbele ya ua wa nje na ukuta wa nje kaskazini.
Тогава ме изведе във външния двор при пътя към север: и заведе ме в стаята, която бе срещу отделеното място, и срещу зданието към север.
2 Hivyo vyumba vilikuwa dhiraa mia moja karibu na mbele yake na dhiraa hamsini upana.
В лицето му, което беше сто лакти дълго, имаше северната врата; а широчината му бе петдесет лакти.
3 Baadhi ya hivyo vyumba vilielekea ua wa ndani na vilikuwa na dhiraa ishirini kutoka patakatifu. Kulikuwa na vyumba vitatu vinavyolingana, na kingine juu kilichokuwa kimetazama chini kuelekea kingine vilikuwa vimefunguliwa, vilikuwa na pakutokea. Baadhi ya vyumba vilielekea nje kwenye ua wa nje.
Срещу двадесетте лакти, които принадлежаха на вътрешния двор, и срещу пода, който принадлежеше на външния двор, имаше галерия срещу галерия на третия етаж.
4 Njia dhiraa kumi upana dhiraa mia moja urefu kueleikea mbele ya vyumba. Milango ya vyumba ilikuwa mbele kaskazini.
И пред стаите имаше коридор десет лакти широк навътре - път сто лакти дълъг; и вратите на стаите бяха към север.
5 Lakini kumbi za juu zilikuwa ndogo, kwa ajili ya njia za kutembea zilichukua kutoka kwazo sehemu kubwa kulikuwa walivyofanya kwenye vyumba vya chini na katikati usawa wa jengo.
А най-горните стаи бяха по-тесни, понеже галериите отнемаха от тях повече, отколкото от долните и средните етажи на зданието.
6 Kwa kuwa orofa tatu hapakuwa na mihimili, kama zile nyua, ambazo zilikuwa na mihimili. Hivyo usawa wa vyumba vya juu vilikuwa sawa sawa katika kipimo cha kulinganisha na vyumba vya chini na usawa wa katikakati.
Защото те бяха на третия етаж, и нямаха стълбове като стълбовете на дворовете; затова, най-горният етаж се стесняваше повече нежели най-долният и средният етаж, почвайки от земята.
7 Ukuta wa nje karibu na vyumba mbele ya ua wa nje, ua uliokuwa mbele ya vyumba. Huo ukuta ulikuwa dhiraa hamsini urefu.
И на външната стена, която бе от страните на стаите, към външния двор, пред стаите, дължината бе петдесет лакти.
8 Urefu wa vyumba vya ua wa nje ulikuwa dhiraa hamsini, na vyumba vilivyokuwa vimeelekea patakatifu vilikuwa dhiraa mia moja urefu.
Защото дължината на стаите, които бяха във външния двор беше петдесет лакти; и, ето, пред храма имаше сто лакти.
9 Kulikuwa na mahali pa kuingilia kwenye vyumba vidogo zaidi kutoka upande mashariki, kuingia kutoka ua wa nje.
А под тия стаи беше входът от изток като се отива към тях от външния двор.
10 Karibu na ukuta wa ua wa nje juu ya upande wa mgaribi pa ua wa ndani, mbele ya patakatifu pa ua wa nje, pia kulikuwa na vyumba na njia ya mbele yao.
Стаите бяха в дебелината на дворовата стена към изток, пред определеното място, и пред зданието.
11 zilikuwa kama umbo la vyumba kwa upande wa kaskazini. Zilikuwa urefu ule ule na upana na matokeo yale yale na mipangilio na madirisha.
И коридорът пред тях беше на изглед като коридора пред стаите, които бяха към север; имаха еднаква дължина и широчина; и всичките им изходи бяха според техните кроежи и според техните врати.
12 Kwa upande wa kusini kulikuwa na madirisha kwenye vyumba ambavyo vilikuwa kama yale yaliyokuwa upande wa kaskazini. Aya iliyokuwa ndani ilikuwa na mlango kwenye kichwa chake, na njia ilifunguliwa kwenye vyumba tafauti. Upande mashariki kulikuwa na malango wa njia kwenye njia mwishoni.
И като имаше врати на стаите, които бяха на юг, така имаше и врата гдето почваше коридорът, коридорът право срещу стената към изток като се влиза в тях.
13 Kisha yule mtu akanambia, “Vyumba vya kaskazini na vyumba vya kusini vilivyokuwa mbele ya ua wa nje ni vyumba vitakatifu amabapo makuhani wafanyao kazi karibu sana na Yahwe waweze kula chakula kitakatifu sana. Wataweka vitu vitakatifu sana-sadaka ya chakula, sadaka ya dhambi, na sadaka ya hatia-kwa kuwa hapa ni mahali patakatifu.
Тогава ми рече: Северните стаи и южните стаи, които са пред отделеното място, са светите стаи, гдето свещениците, които се приближават при Господа, ще ядат пресветите неща; и хлебния принос, приноса за грях, и приноса за престъпление; защото мястото е свето.
14 Wakati makuhani watakapoingia hapo, wasitoke nje ya mahali patakatifu kwa ua wa nje, bila kuweka mavazi karibu mahali wahudumupo, kwa kuwa hapa ni patakatifu. Hivyo watavalia mahali pengine nguo kabla ya kwenda karibu na watu.”
Когато свещениците влизат в храма, да не излизат от светото място във външния двор, но там да слагат дрехите, с които служат, защото са свети; а когато обличат други дрехи, тогава да се приближават при онова, което принадлежи на людете.
15 Yule mtu akamaliza kupima ndani ya nyumba na kisha akanichukua nje ya lango lililokuwa limeelekea magharibi na kuzipima sehemu zote zilizokuwa zimepazunguka hapo.
А като свърши измерванията на дома отвътре, изведе ме по портата, която гледа към изток, и измери дома околовръст.
16 Akaupima upande wa mashariki na fimbo ya kupimia-dhiraa mia tano kwa fimbo ya kupimia.
Като измери източната страна с тръстикова мярка, тя беше петстотин тръстики, измерена наоколо с тръстикова мярка.
17 akaupima upande wa kaskazini-dhiraa mia tano na fimbo ya kupimia.
Като измери северната страна, тя беше петстотин тръстики, измерена наоколо с тръстиковата мярка.
18 Pia akaupima upande wa kusini dhraa mia tano na fimbo ya kupimia.
Измери южната страна с тръстиковата мярка; тя беше петстотин тръстики.
19 Pia akageuka na kuupima upande wa magharibi dhiraa mia tano kwa fimbo ya kupimia,
После се обърна към западната страна и я измери с тръстиковата мярка; тя беше петстотин тръстики.
20 Akaipima pande nne. Ilikuwa na ukuta umeizunguka ilikuwa dhiraa mia tano urefu, na dhiraa mia tano upana, kulitenganisha umbo takatifu kutoka ambapo ni pa kawada.
Измери го от четирите страни. Имаше и стена околовръст, дълга петстотин тръстики и широка петстотин тръстики, за да отделя светото от несветото място.

< Ezekieli 42 >