< Ezekieli 4 >

1 “Lakini wewe, mwana wa adamu, chukua tofali wewe mwenyewe na uliweke mbele yako. Kisha chonga mji wa Yerusalemu juu yake.
Un tu cilvēka bērns, ņem sev ķieģeli un liec to savā priekšā un raksti uz to Jeruzālemes pilsētu.
2 Kisha laza kuizunguka, ngome juu yake. Anza kushambulia juu yake na weka makambi kuizunguka. Weka shambulio la ghasia kuizunguka.
Un taisi aplēģerēšanu pret to un uztaisi bulverķus(ielenkšanas torņi) pret to un uzmet valni pret to un nostādi karaspēku pret to un liec tai āžus(mūru dragājamais) visapkārt.
3 Kisha chukua kwa ajili yako mwenyewe sufuria ya chuma na itumie kama ukuta wa chuma kati yako mwenyewe na mji na weka uso wako dhidi yake. Kwa kuwa utazingirwa, na utaweka ukombozi juu yake. Hii itakuwa alama kwa nyumba ya Israeli.
Un ņem sev dzelzs pannu un liec to par dzelzs mūri starp sevi un pilsētu, un griez savu vaigu pret to, un tā lai tā top apsēsta, un tu to apsēdi. Tā lai ir zīme Israēla namam.
4 Kisha, lala juu upande wako wa kushoto na weka dhambi ya nyumba ya Israeli juu yake; utazibeba dhambi zao kwa hesabu za siku ambazo ulizolala juu ya nyumba ya Israeli.
Un tu gulies uz saviem kreisiem sāniem un liec uz tiem Israēla nama noziegumu; pēc to dienu skaita, cik uz tiem gulēsi, tev būs nest viņu noziegumu.
5 Mimi mwenyewe nakuagiza kwako siku moja kuwakilisha kila mwaka wa adhabu yao: siku 390! Katika njia hii, utachukua dhambi ya nyumba ya Israeli.
Jo Es tos gadus, cik viņi grēkojuši, tev skaitīšu par dienām, trīssimt deviņdesmit dienas; tik ilgi tev būs nest Israēla nama noziegumu.
6 Wakati utakapomaliza hizi siku, kisha lala chini kwa mara ya pili kwa upande wako wa kulia, kwa kuwa utabeba dhambi ya nyumba ya Yuda kwa siku arobaini. Nakuteua wewe siku moja kwa kila mwaka.
Un kad tu šās pabeigsi, tad gulies otru reizi uz saviem labiem sāniem un tev būs nest Jūda nama noziegumu četrdesmit dienas; Es tev dodu ik dienu par ik gadu.
7 Weka uso wako chini kuelekea Yerusalemu ambayo ni chini ya ngome, na kwa mkono wako funua unabii dhidi
Un griez savu vaigu un savu atsegto elkoni pret apsēsto Jeruzālemi, un sludini pret viņu.
8 yake. Tazama! naweka vifungo juu yako hivyo hutarudi kutoka upande mmoja kwenda upande mwingine hadi utakapoliza siku zako za kuzingirwa kwako.
Un redzi, Es tev aplikšu virves, ka nevarēsi grozīties no vieniem sāniem uz otriem, kamēr būsi pabeidzis savas aplēģerēšanas(aplenkuma) dienas.
9 Chukua ngano kwa ajili yako, shayiri, dengu, mtama, kusemethi; viweke kwenye chombo kimoja na tengeneza mkate kwa ajili yako kulingana na hesabu ya siku ambazo utakazo lala katika ya upande wako. Kwa siku 390 utaula.
Un tu ņem sev kviešus un miežus un pupas un lēcas, putraimus un rudzus, un liec tos traukā, un taisi sev no tiem maizi, pēc to dienu skaita, cik tu gulēsi uz saviem sāniem, ka tev ir ko ēst trīssimt un deviņdesmit dienas.
10 Chakula utakachokula kitapimwa, shekeli ishirini kwa siku, na utakila kwa mda uliopangwa kila siku.
Tava barība, ko tu ēdīsi, lai sver divdesmit sēķeļus uz dienu; savos laikos tev to būs ēst.
11 Kisha utakunywa maji, kwa kuyapima sehemu ya sita ya hini, na utayanywa kwa mda uliopangwa.
Arī ūdeni tev būs dzert ar mēru, inna sesto tiesu, savos laikos tev to būs dzert.
12 Utakila kama keki za shayiri, lakini utaioka kwenye kinyesi kikavu cha mwanadamu mbele ya macho yao!”
Un tev būs ēst miežu karašas, un tās cept uz cilvēka sūdiem priekš viņu acīm.
13 Kwa kuwa Yahwe asema, “Hii inamaana kwamba ule mkate ambao watu wa Israeli watakula kitakuwa kinajisi, huko miongoni mwa mataifa ambapo nitakaowafukuza.”
Un Tas Kungs sacīja: Israēla bērni tāpat ēdīs savu maizi nešķīstu starp tiem pagāniem, kurp Es tos aizdzīšu.
14 Lakini nikasema, “Ee, Bwana Yahwe! Sijawahi kuwa najisi! sijawahi kula kitu chochote ambacho kimekufa au kitu chochote kilichouawa na wanyama, kutoka mdomoni mwangu hadi sasa, wala nyama ya kunuka haijawahi kuingia kinywani mwangu!”
Tad es sacīju: ak Kungs, Dievs! Redzi, mana dvēsele nekad nav sagānījusies, jo no savas jaunības es neesmu ēdis ne maitu, ne saplosītu, un neganta gaļa nav nākusi manā mutē.
15 Ndivyo alivvyo niambia, “Tazama! Nimekupa mbolea ya ng'ombe badala ya kinyesi cha mwanadamu ili uweze kuandaa mkate wako juu ya hayo.”
Un Viņš uz mani sacīja: redzi, Es tev atvēlu ņemt lopu sūdus cilvēku sūdu vietā, uz kuriem tev būs sataisīt savu maizi.
16 Pia akanambia, “Mwana wa adamu! Tazama! Nalivunja gongo la mkate katika Yerusalemu, na watakula mkate ukiwa umepimwa katika wasiwasi na kunywa maji kwa kuyapima katika hofu.
Un Viņš uz mani sacīja: cilvēka bērns! Redzi, Es atņemšu maizes padomu Jeruzālemē, un tie maizi ēdīs pēc svara un ar sirdēstiem, un dzers ūdeni ar mēru un ar izbailēm,
17 Kwa sabau watapungukiwa na mkate na maji, kila mtu atafadhaishwa na ndugu yake na kumpoteza kwa sababu ya udhalimu wao.”
Tādēļ ka tiem būs maizes un ūdens trūkums, un tie iztrūksies viens ar otru un ies bojā savos noziegumos.

< Ezekieli 4 >