< Ezekieli 4 >

1 “Lakini wewe, mwana wa adamu, chukua tofali wewe mwenyewe na uliweke mbele yako. Kisha chonga mji wa Yerusalemu juu yake.
Nang hlang capa namah loh laiboeng lo lamtah namah mikhmuh ah tloeng laeh. A soah Jerusalem khopuei te tarhit laeh.
2 Kisha laza kuizunguka, ngome juu yake. Anza kushambulia juu yake na weka makambi kuizunguka. Weka shambulio la ghasia kuizunguka.
A taengah vong khueh pah lamtah a taengah buep khueh pah. A taengah tanglung khueng lamtah a taengah rhaehhmuen khueh. A kaepvai te maehdoelh khueh pah.
3 Kisha chukua kwa ajili yako mwenyewe sufuria ya chuma na itumie kama ukuta wa chuma kati yako mwenyewe na mji na weka uso wako dhidi yake. Kwa kuwa utazingirwa, na utaweka ukombozi juu yake. Hii itakuwa alama kwa nyumba ya Israeli.
Te phoeiah namah loh thi thiphael te namah ham lo lamtah namah laklo neh khopuei laklo ah thi pangbueng la khueh. Te vaengah na maelhmai te a taengla hoi pah. Vongup ah a om bangla la khopuei te na dum bitni. He miknoek he Israel imkhui ham ni.
4 Kisha, lala juu upande wako wa kushoto na weka dhambi ya nyumba ya Israeli juu yake; utazibeba dhambi zao kwa hesabu za siku ambazo ulizolala juu ya nyumba ya Israeli.
Te phoeiah nang te banvoei kah na vae neh yalh lamtah Israel imkhui kah thaesainah te a soah tloeng pah. A soah na yalh khohnin tarhing ah amih kah thaesainah te na phueih ni.
5 Mimi mwenyewe nakuagiza kwako siku moja kuwakilisha kila mwaka wa adhabu yao: siku 390! Katika njia hii, utachukua dhambi ya nyumba ya Israeli.
Amih kah thaesainah kum tarhing bangla nang te kan tueih tih khohnin ya thum neh hnin sawmko ah Israel imkhui kah thaesainah te na phueih van ni.
6 Wakati utakapomaliza hizi siku, kisha lala chini kwa mara ya pili kwa upande wako wa kulia, kwa kuwa utabeba dhambi ya nyumba ya Yuda kwa siku arobaini. Nakuteua wewe siku moja kwa kila mwaka.
Te rhoek te na coeng van neh na vae bantang dongah yalh lamtah Judah imkhui kah thaesainah te khohnin la hnin sawmli phueih pah. A kum la kum ham te hnin at ni nang kan tueih.
7 Weka uso wako chini kuelekea Yerusalemu ambayo ni chini ya ngome, na kwa mkono wako funua unabii dhidi
Te phoeiah Jerusalem vong la na maelhmai hooi lamtah na ban te khawn lamtah, a taengah tonghma pah.
8 yake. Tazama! naweka vifungo juu yako hivyo hutarudi kutoka upande mmoja kwenda upande mwingine hadi utakapoliza siku zako za kuzingirwa kwako.
Te vaengah nang dongah rhuivaeh kang khih ni ne. Te dongah na vongup kah khohnin na poeng hil na vae khat ben lamloh na vae khat ben duela na hoi uh thai mahpawh.
9 Chukua ngano kwa ajili yako, shayiri, dengu, mtama, kusemethi; viweke kwenye chombo kimoja na tengeneza mkate kwa ajili yako kulingana na hesabu ya siku ambazo utakazo lala katika ya upande wako. Kwa siku 390 utaula.
Te phoeiah namah loh namah ham cang neh cangtun, maidawn neh rhacik, malket neh cangkuem khaw lo ne. Te te amrhaeng pakhat dongah pae uh lamtah na vae neh na yalh khohnin tarhing ah na buh la te te khueh. Khohnin ya thum sawmko khuiah te te ca.
10 Chakula utakachokula kitapimwa, shekeli ishirini kwa siku, na utakila kwa mda uliopangwa kila siku.
Na caak te khaw a khiing la shekel pakul mah ca. A khohnin ham te a tue, a tue vaengah ca.
11 Kisha utakunywa maji, kwa kuyapima sehemu ya sita ya hini, na utayanywa kwa mda uliopangwa.
Tui khaw khoe dongah bunang parhuk o lamtah a tue a tue vaengah o.
12 Utakila kama keki za shayiri, lakini utaioka kwenye kinyesi kikavu cha mwanadamu mbele ya macho yao!”
Cangtun buh te na caak vaengah hlang kah natcaeh aek neh amih mikhmuh ah hai.
13 Kwa kuwa Yahwe asema, “Hii inamaana kwamba ule mkate ambao watu wa Israeli watakula kitakuwa kinajisi, huko miongoni mwa mataifa ambapo nitakaowafukuza.”
Te dongah BOEIPA loh, “Israel ca he tlam ni a buh rhalawt te a caak uh eh. Amih te namtom taengah pahoi ka heh ni,” a ti.
14 Lakini nikasema, “Ee, Bwana Yahwe! Sijawahi kuwa najisi! sijawahi kula kitu chochote ambacho kimekufa au kitu chochote kilichouawa na wanyama, kutoka mdomoni mwangu hadi sasa, wala nyama ya kunuka haijawahi kuingia kinywani mwangu!”
Tedae, “Ka Boeipa Yahovah aw, ka hinglu he maehrhok saha neh a poeih vai moenih ne. Ka camoe lamloh tahae hil ka ca vai pawt tih maeh khaw ka ka ah dikyik dikyak ka a kun moenih,” ka ti nah.
15 Ndivyo alivvyo niambia, “Tazama! Nimekupa mbolea ya ng'ombe badala ya kinyesi cha mwanadamu ili uweze kuandaa mkate wako juu ya hayo.”
Te vaengah kai te, “Ana so, hlang aek yueng la vaito aek ni nang taengah aek la kam paek vetih na buh te a soah tawn,” a ti.
16 Pia akanambia, “Mwana wa adamu! Tazama! Nalivunja gongo la mkate katika Yerusalemu, na watakula mkate ukiwa umepimwa katika wasiwasi na kunywa maji kwa kuyapima katika hofu.
Te phoeiah kai te, “Hlang capa aw, Jerusalem kah thahuelnah buh te ka bawt pah coeng. Te dongah buh te amah tarhing ah mawnnah neh a caak uh vetih tui te khoe dongah a maehmanah neh a ok uh ni.
17 Kwa sabau watapungukiwa na mkate na maji, kila mtu atafadhaishwa na ndugu yake na kumpoteza kwa sababu ya udhalimu wao.”
Buh neh tui a vaitah vetih hlang neh a manuca pong ni. Te vaengah amamih kah thaesainah dongah muei uh ni.

< Ezekieli 4 >